Recent content by deprecious

  1. D

    JamiiForums Tanzania TBC wanaonyesha mkutano wa UKAWA

    wewe umeamkia wapi naona aupo sawa...
  2. D

    JamiiForums Tanzania Natafuta nafasi ya field training

    picha ya chuo nilichosoma au ya nini sasa please am serious and wish u get to be serious too
  3. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kupeana nafasi kwenye mahusiano, toa uzoefu wako

    duu Mimi ni muhanga wa hili miezi kama mitatu iv imepita niliombwa space na kijana wangu duu tumedumu miaka mitatu kwenye relationship naona tulikua tumechokana kiukwelii tunapendana ila tukikutana hatuwezi bila kugombana sasa yeye aliniambia space mwaka mzima nikasema uyu ananipima imani na...
  4. D

    JamiiForums Tanzania Natafuta nafasi ya field training

    ninasoma bachelor degree my dear mwaka wa pili
  5. D

    JamiiForums Tanzania Natafuta nafasi ya field training

    habari zenu wanandugu heshima kwenu naomba msaada wenu natafuta mahali pa kufanyia fld nipo arusha nimesomea mambo ya clearing and forward taxation and customs kwa ujumla na tax laws..ntafurahi nikifanikiwa..ila pia naweza Fanya kwenye eneo LA business au economical related areas mawasiliano...
  6. D

    JamiiForums Tanzania Nguvu ya marafiki wapya na nafasi ya kutafuta kazi

    Nmegundua kitu hapa maana mtoa mada umenipa uhakika wa idea ambayo na Mimi ilikua on my head over years now na ckuwahi kuja kama ni applicable on real life asante sana
  7. D

    JamiiForums Tanzania Msaada wa haraka sana wakuu....

    Mimi Nina s4 lakini imeweka mstari kwenye display Mara unakua mweupe Mara wa pink msaada tafadhali
  8. D

    JamiiForums Tanzania Need a Sales & Marketing female representative asap

    I think you have to explain in details which part of dareslaam may be and the likes
  9. D

    JamiiForums Tanzania Je, unakumbuka nini enzi zako za JKT? Ni mambo gani yalikufurahisha au kukukwaza?

    Umejuaje....ndio mujibu bwana
  10. D

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi ya muda

    Mimi ni mschana mwanafunzi wa chuo mwaka wa pili Nina miaka 22 ninahitaji kazi yoyote ya muda kama party time job maana mda mwingi nakuja free sana naomba yeyote mwenye uhitaji wa mtu wakumsaidia saidia kazi ofisini anipm tafadhali malipo japo nauli tuu kwani nia yangu ni kupata uzoefuu na...
  11. D

    JamiiForums Tanzania Je, unakumbuka nini enzi zako za JKT? Ni mambo gani yalikufurahisha au kukukwaza?

    Jaman mmenikumbusha vya jkt Mimi nlienda ruvu uwiiiiiii ni shida nmemiss Yale maisha kwa kweli mwendo wa kujila na jeshi amna shubwela hata sekunde mabio ya kutoshaaa daaa acha kabisaa
Back
Top Bottom