Msaada wa haraka sana wakuu....

Msaada wa haraka sana wakuu....

KikulachoChako

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2013
Posts
19,880
Reaction score
40,040
Heshima kwenu wanajamii wenzangu....
Nina Samsung galaxy S4...tatizo la hii simu ni kwamba kila nikiingia youtube kutazama videos.....nakutana na video zikiwa hazina ubora kabisa na vivuli karibia nusu ya picha....sasa sijui kuwa hili tatizo ni la simu yangu tu au ni matatizo ya mtandao....??
Nisaidieni wanajamii nashindwa kuifurahia simu yangu....
 
Mi cm yangu ni Huaweii 530 Tangu asbh haichukua picha kutoka jf wa kwenye whatssaap mwenye kuweza kunsaidia
 
tupe screenshot kidogo tukuelewe zaidi

Nashindwa kufanya hivyo mkuu...lakini kinakuja kivuli cha kijivu kinachotenganisha video....kila nikiplay video inafanya hivyo......unaweza ukanielekeza namna ya kuweka screenshot
 
Heshima kwenu wanajamii wenzangu....
Nina Samsung galaxy S4...tatizo la hii simu ni kwamba kila nikiingia youtube kutazama videos.....nakutana na video zikiwa hazina ubora kabisa na vivuli karibia nusu ya picha....sasa sijui kuwa hili tatizo ni la simu yangu tu au ni matatizo ya mtandao....??
Nisaidieni wanajamii nashindwa kuifurahia simu yangu....

tumia app ya YouTube... pia kwenye setting ya player yako utaona sehem ya kuchagua quality unayotaka chagua iliyo andikwa HD, video zko ztacheza zikiwa safi
 
tumia app ya YouTube... pia kwenye setting ya player yako utaona sehem ya kuchagua quality unayotaka chagua iliyo andikwa HD, video zko ztacheza zikiwa safi

Asante ndugu ngoja nijaribu....
 
Mimi Nina s4 lakini imeweka mstari kwenye display Mara unakua mweupe Mara wa pink msaada tafadhali
 
Nashindwa kufanya hivyo mkuu...lakini kinakuja kivuli cha kijivu kinachotenganisha video....kila nikiplay video inafanya hivyo......unaweza ukanielekeza namna ya kuweka screenshot

jaribu kuiupdate .
 
Back
Top Bottom