frakitosho
JF-Expert Member
- Dec 13, 2012
- 802
- 256
Clement mshana mkurugenzi wa tbc ni adui namba moja wa ukombozi wa watanzania
Wapi wewe na mimi naangalia tbc hapa kuna bonge la rap music linaendelea mfyuuuu
NashangaTunafika mwisho wa dunia? au ni nini jamani?
Chama dola nasikia wako live TV zaidi ya tatu mlio karibu na TV mtuhabarishe
Mmhhhhh.........ngoja niweke akiba ya maneno.
Kweli nimeshangaa leo tbc wanarusha matangazo ya ukawa haya kweli mabadilikoView attachment 302369
Wapo live tv 6! TBC1, Star tv, Clouds, Azam 2, Channel ten na ITV.
Wallah leo itanyesha mvua ya kinyesi.