Wakati wakulala unatumia chandarua(NET) mbu pia zinachangia ongezeko la chunusi usoni kama unangozi ya mafuta, omba Mungu atakuponya, nami nakuombea upone haraka hili tatzo la ngozi.....Mimi pia nilikua muhanga wa chunusi nimetumia vitu vingi sana (ikiwepo ule mkojo wa asubuhi ndio nikawa na...
Hapo masaa ni ya usiku kuanzia saa saba (7) usiku mpk saa kumi (10)usiku. Wewe umesoma masaa kwaki inglishi kwa hapo ni saa moja 7 usiku mpk saa nne (10) usiku.
Huu mchezo unajulikana kama kindege ni live betting upo kutufilisi walah, ukiuangalia kwajujuu unaweza ona ni betting rahisi kupata mshiko ila ingia uwanjani ujionee.
Huwezi amini wiki hizi mbili nimepoteza almost 200k kwaajili ya hii betting kisa tu kusaka hela ya kula bata la Xmass na New year.
Nauza simu yangu aina ya iPhone 7 yenye Gb 128
Battery Health 100%
FingurePrint[emoji106][emoji736]
Iko clean no scratches at all[emoji91]
Haina kipengelee chochoteee
Karibuni
Price 330k
Haina dawa iyo hali unayoifeel saiv....lazma iwe ivooo, ganzi inafanya yake apo....itaisha yenyewe japo kwa miez kma kadhaaa ivi kuwa mpoleee hakuna dawa ya kuponesha wala kupunguzaaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.