Hernia operation

Hernia operation

Muxt

Member
Joined
Jun 25, 2022
Posts
45
Reaction score
62
Nimefanya operation ya hernia lakin Toka nimeanza kupata nafuu nikijarib kukakaa au kutembea kichwa kinauma hatar.
Nilifanya operation juma nne tar 21
Shida ni Nini wakuu na nisharuhusiwa
 
Jazia nyama kidogo kwenye uzi wako.. kwa mfano hernia ya sehemu ipi, n.k.
 
Nimefanya operation ya hernia lakin Toka nimeanza kupata nafuu nikijarib kukakaa au kutembea kichwa kinauma hatar.
Nilifanya operation juma nne tar 21
Shida ni Nini wakuu na nisharuhusiwa
You have big problem bro
That is back pain ya dawa ya usingizi

Ulipigwa nusu kaputi hivyo haukupumzika vya kutosha wakati wa operation na uliinua kichwa ndani ya masaa 24 ya operation.

It will take you days and months to heal

Relax and have a deep sleep everyday but avoid Valium but also don't walk around use your time to sleep and have some water .
Iam very sorry
 
You have big problem bro
That is back pain ya dawa ya usingizi

Ulipigwa nusu kaputi hivyo haukupumzika vya kutosha wakati wa operation na uliinua kichwa ndani ya masaa 24 ya operation.

It will take you days and months to heal

Relax and have a deep sleep everyday but avoid Valium but also don't walk around use your time to sleep and have some water .
Iam very sorry
Duhh kumbe Asante sana bro kwa maelekez may God bless you
 
You have big problem bro
That is back pain ya dawa ya usingizi

Ulipigwa nusu kaputi hivyo haukupumzika vya kutosha wakati wa operation na uliinua kichwa ndani ya masaa 24 ya operation.

It will take you days and months to heal

Relax and have a deep sleep everyday but avoid Valium but also don't walk around use your time to sleep and have some water .
Iam very sorry
Kwahiyo kiongoz hamna medical assistance yeyote nayoweza kupata ili kutatua tatizo incase nikirudi hospital???
 
You have big problem bro
That is back pain ya dawa ya usingizi

Ulipigwa nusu kaputi hivyo haukupumzika vya kutosha wakati wa operation na uliinua kichwa ndani ya masaa 24 ya operation.

It will take you days and months to heal

Relax and have a deep sleep everyday but avoid Valium but also don't walk around use your time to sleep and have some water .
Iam very sorry
Kwani hadi 24hrs ipite ndo unyenyue kichwa? Mbona wanafanya ata 12hrs haipiti unaambiwa amka fanya zoezi? Iyo imenitokea mwaka jana ni operation ya kutoa mtoto ila kichwa kiliniuma vibaya jamani nlikuwa nalia, ikitokea nikainama na kuinuka kichwa naskia km kinapasuka dah nliteseka
 
Kwani hadi 24hrs ipite ndo unyenyue kichwa? Mbona wanafanya ata 12hrs haipiti unaambiwa amka fanya zoezi? Iyo imenitokea mwaka jana ni operation ya kutoa mtoto ila kichwa kiliniuma vibaya jamani nlikuwa nalia, ikitokea nikainama na kuinuka kichwa naskia km kinapasuka dah nliteseka
Kiliponaje sasa
Na kilichukuwa mda gan?? Please maan nd nipo kw hiyo Hali asahiv
 
Kwani hadi 24hrs ipite ndo unyenyue kichwa? Mbona wanafanya ata 12hrs haipiti unaambiwa amka fanya zoezi? Iyo imenitokea mwaka jana ni operation ya kutoa mtoto ila kichwa kiliniuma vibaya jamani nlikuwa nalia, ikitokea nikainama na kuinuka kichwa naskia km kinapasuka dah nliteseka
Kiliponaje sasa
Na kilichukuwa mda gan?? Please maan nd nipo kw hiyo Hali asahiv
 
Nimefanya operation ya hernia lakin Toka nimeanza kupata nafuu nikijarib kukakaa au kutembea kichwa kinauma hatar.
Nilifanya operation juma nne tar 21
Shida ni Nini wakuu na nisharuhusiwa
Nilifanyiwa hiyo mwaka 2013,kilichokuja kunipata kichwa Acha kabisa,yaaan nimekumbuka maneno y yule doctor,alikuwa anasisitiza sana wasinisemeshe,ila tulikuwa tunaongea na kucheka sana ndipo nilipo kitafuta kichwa

CHA KUFANYA

Rudi palepale waambie ukipata muungwana watakupa data hizi hapa (NEURON) sijui kama nitakuwa sahihi hizi ndio zitapunguza hiyo kitu
 
Nimefanya operation ya hernia lakin Toka nimeanza kupata nafuu nikijarib kukakaa au kutembea kichwa kinauma hatar.
Nilifanya operation juma nne tar 21
Shida ni Nini wakuu na nisharuhusiwa
katafute dawa hizi NEURON NDIO UTAPONA,TOFAUTI NA HAPO ITAKUSUMBUA SANA
 
Nilifanyiwa hiyo mwaka 2013,kilichokuja kunipata kichwa Acha kabisa,yaaan nimekumbuka maneno y yule doctor,alikuwa anasisitiza sana wasinisemeshe,ila tulikuwa tunaongea na kucheka sana ndipo nilipo kitafuta kichwa

CHA KUFANYA

Rudi palepale waambie ukipata muungwana watakupa data hizi hapa (NEURON) sijui kama nitakuwa sahihi hizi ndio zitapunguza hiyo kitu
Asante sana mkuu 🤝🤝
 
Kiliponaje sasa
Na kilichukuwa mda gan?? Please maan nd nipo kw hiyo Hali asahiv
Tumia muda mwingi kupumzika mkuu maumivu yatapungua taratibu yataisha nlikuwa natumia tu panadol ni kama nlimaliza miezi 2 napata maumivu ya kichwa adi nahisi kuchanganyikiwa
 
Haina dawa iyo hali unayoifeel saiv....lazma iwe ivooo, ganzi inafanya yake apo....itaisha yenyewe japo kwa miez kma kadhaaa ivi kuwa mpoleee hakuna dawa ya kuponesha wala kupunguzaaa
 
Back
Top Bottom