[4/27, 21:22] dj massawe: A: Orodha ya Walimu na Mafundi Sanifu Maabara Ajira Mpya.
Ofisi ya Waziri Mkuu - TAMISEMI inatangaza ajira ya wahitimu wa mafunzo ya ualimu na mafundi sanifu maabara katika mamlaka ya Serikali za Mitaa kama ifuatavyo:-
i. Walimu wa cheti (Daraja IIIA) kwa ajili ya...
Facebook in Social website ya kimataifa. Kaeni mkitambua kuwa anayemiliki FB ni miongoni mwa Mabilionea Marekani. Na huo utajiri aliupata kwaajili ya FB. Jamiiforum nice social website ya kitaifa, ya Haitambuliki sana kimataifa.
These theories will apply if all factors remain constant (ceteris peribus).
Factors:
1.Mihemko (nyege) sio nyingi
2.Asiwe ana tabia za umalaya.
3.Anapenda sana pesa
Antiviruses zote ni nzuri cha msingi uwe una update, Kespersky ni nyepesi kwahiyo kama kompyuta yako RAM yake na CPU ni ndogo, tumia kespersky. Na kama RAM/CPU ni kubwa tumia McAfee or Symantec. Usitumie antivirus 2, ila kuna free antiviruses unaweza kudownload Microsoft essential security na...
Amu wewe unachekeha kweli eti: sijawahi kupenda mtu kabla hajanipenda.
Sasa na unayetaka akupende kwanza ili wewe umpende naye akifanya mgomo kama wewe akisema mpaka umpende ndipo akupende itakuwaje? Acha ubinafsi.
Wazee CPA ni kama leseni ya uhasibu sio academic, ndio maana inaitwa certified public accountant (Tanzania) pia kuna ya Kenya CPA(K). Hata ukiwa na master ya uhasibu kama hauna CPA hutambuliki kitaaluma kwa kuwa sio registered, utaratibu ni wa kidunia na upo kwenye professionals zote, Udaktari...
Nina master ya Sheria ya LLB natarajia kujiunga na JWTZ mwakani. Inaonekana huyu mdau alisoma chuo Kikuu cha kata cha UDOM na alipata degree ya sheria ya Pichu. Amedhalilisha professional ya Law
Umejuaje ana bikra, mwaka huu wengi tutadanganyika, huyo anakuibia kaweka ndimu, ndiyo maana unahisi ana bikra, wasichana wa siku hizi huwa wanakamulia ndimu.
Acha umbulula wewe, english sio elimu ni media (lugha) tu kwa ajili ya kujifunzia maarifa, kushindwa kupangilia grammer (sarufi) isiwe tatizo, hata nchi za asia, nyingi hazijui kiingereza ni india tu ndio wanajua kiingereza kizuri cha grammer kuliko hata waingereza wenyewe. Mbona wewe umeandika...
Halafu anaomba assigment hajaspecify ni aina gani? Uchumi, Sheria, Sociology, Uhasibu n.k. kweli huyu ni zaidi ya kilaza wa University, huyu inabidi tumuite MBULULA; nahisi hawa ndio wale waliofaulu la darasa la saba wasiojua kusoma na kuandika, form wakapewa majibu yote, form six wakapewa...
Lakini wakati wa kusahihisha zinatumika namba mfano P.2345/123; P=Primary, 2345=Namba ya shule na /123 Ni namba ya mwanafunzi; kwahiyo wakati wa kusahihisha huwezi gundua hata ni shule gani, jinsia, kabila wala dini. Halafu tukianza kufikiri negative hata wavulana watasema wasichana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.