Excel
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 19,730
- 10,057
wala sikupata pigo bali niliamua tu baada ya kuona sivielewi vijimambo vya fb...na uko badoo wala sipajui..na wala sitaenda uko...yani siko kwenye social network yoyote zaidi ya JF..
mmmhh.. umenilazimisha niamini. so yule jamaa yako hakukuambia ujiunge na fb?