Chamsingi ni kuanzisha na kuchochea mabidiliko ya kikatiba kupitia ushawishi kwa hao ambao tunao ndio wadau muhimu katika kukamilishi jambo kama hili
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu zangu , mimi sio mwanasiasa na wala sishabikii chama chochote cha siasa. Ila nimekuwa nikifuatilia mambo mbalimbali yanayotendeka katika nchi yetu na nimekuwa nikiunga mkono kwa yale mazuri na kupingana na mabaya yote yanayo fanywa na watendaji wa serikali na wasio wa kiserikali .
Ngoja...
Watani zangu simba nawaombea mfanye vibaya kwenye hatua inayofuata. Maana kwa hali ilivo hivi sasa huku mtaani sisi watanizenu hatupumui kwa raha . Tena nawaomba sana watani zangu hiyo hatua inayofuata ikiwezekana mvurunde kwa makusudi maana mkifanya vizuri mtakosa mtani wa kucheka naye. Chonde...
Watu wenye maono ya kweli ni wachache sana , naomba wanajukwaa na jf kwa ujumla ungewekwa utaratibu nzuri wakutunuku zawadi ilonono kwa wale tu watakaofanya vzr katika maono mbalimbali ambayo baadae yakapata kuwa kweli.
Nawasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukimiliki chombo chochote cha habar ni lazima utafahamika na wengi . Utafahamika na wengi sio kwasababu umefanya kitu cha kipekee , kwakuwa Watanzania wanahulka ya kupenda kulinganisha kwa macho baina ya kitu anachomiliki mtu husika na mhusika kimtazamo na kiumbo .
Najua nimetumia lugha ngumu...
Jamani Watanzania tubadilike maana sura na familia zilezile kwenye uongozi haipendezi hata kidogo. Siwengine familia zetu hakuna hata mmja aliye kwenye nafasi muhimu za kiuongoz . Muangalie na familia yetu Watanzania ili maisha yabalansi kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo la vijana wengi wa kitanzania ni kuwa wanapokuwa chuo wanaona maisha wameyapatia sana na badala yake huwaona walioko mtaana hawana ajira ama kabiashara chochote cha kujikimu maisha kuwa ni wavivu kwakuwa hataki kijishughulisha . Ndugu yangu kwakuwa na wewe ni mhitimu wa chuo na uko...
Umetaka wanasheria wakufungue macho kuhusu upelelezi wa Mh.Lissu . Umeuliza maswali na kupitia maswali hayo wanasheria waje na majibu ya kisheria ila cha ajabu umeshatoa jibu juu ya maswali uliyoyauliza nadhani wataalamu hawana nafasi ya kukujibu maana jibu ushotoa na hata wakija na majibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.