Recent content by Deogratius B shayo

  1. D

    Tujikumbushe watangazaji wa zamani wa Redio na TV

    Salim Kikeke, Jilus Nyeisanga, Abdalla Majura na Flora Nducha. Ee bwana hiyo combination usipime
  2. D

    Bila Lissu Bungeni tungeburuzwa sana

    kwa kweli Lisu ni jembe la kuotea mbali, tuwe wa kweli tu hata mwanasheria mkuu wa serikali alikiri jana kukubaliana katika vifungu nyeti kabisa. hata alipompinga alipata wakati mgumu sana kujieleza na mwishowe ikabidi maamuzi yapitishwe kwa kura ya sauti za ndio au hapana.
  3. D

    Audio: Alichosema Askofu Dkt. Josephat Gwajima kwa Kardinali Pengo

    kwa hili pengo kachemsha kwa sababu maazimio yalivyokuwa yanafanyika yeye alishiriki kama askofu, sasa leo haiwezekani atofautiane na wenzake kiasi hicho. kwa hili tunaomba ufafanuzi wake zaidi.
  4. D

    Msiba wa Komba: Kanisa Katoliki Mmejidhalilisha, Mmetufedhehesha

    Hakika uliyoyanena hapa ni ukweli mtupu kwani hata mimi nimeshuhudia mara kadhaa tena hawataki hata jumuiya isali, anazikwa mithili ya mbwa bila sala yoyote. kwa hili tunataka maelezo kwa kweli.
  5. D

    ITV huu ni unafiki Mkubwa

    wewe utakua umetumwa, hakuna tv inayotoa habari za ukweli na uwazi hapa tz kama ITV na kama ulimsikiliza Masaku vizuri alisema anadhani kilichokua kinaendelea hakina manufaa kwa watanzania kwa sababu waanzania walitaka kuona na kusikiliza mada sio vurugu. hivyo wewe ni mchochezi tu kama makonda
  6. D

    A single lawyer wanted

    Wanasheria vigori changamkien dili hiyoo.
  7. D

    Auditor II

    Acha haraka... serikalini utasubiri hata miezi sita mpaka washortlist.
  8. D

    Serikali imepiga marufuku matangazo ya tiba za asili kwenye vyombo vya habari

    Akina Dr. Rahabu Rubago na Dr Manyaunyau wataathirika sana.
  9. D

    Waajiri na na BODi mbalimbali-CPA,ACCA,NBMM...... Etc

    Hilo ni kweli kabisa, CPA mtaani zimeshaanza kudharaulika coz vijana wengi baada ya kumaliza degrees zao wanaunga moja kwa moja kufanya mitihani ya board so wakimaliza hawana experience, hapo ndipo waajiri wanapowabana na kuishia kulipwa hata laki nne na sio laki saba. cha kufanya ni board...
  10. D

    Aibu Kuu Uhamiaji: Uchakachuaji wa matokeo ya usaili wa nafasi za koplo na konstebo

    Kwa hali hiyo, fungulia mbwa hatuna nafasi. tukubali tu this is bongo land bwana ukubali ukatae..
  11. D

    Wanaoshabikia urais wa Lowassa walimwona Kikwete jana kwenye sherehe za mashujaa?

    wewe umetumwa, kwani kupepesuka ndio kunaendesha nchi? Lowasa is the best of the best whether u like or not. Achalia mbali mapungufu yake angalia utendaji kazi wake alivyokua PM, na CCM wakimsimamisha mwingine wataambulia patupu 2015. Mimi sio CCM.
  12. D

    Yanayojiri Bungeni Dodoma: Ijumaa Tarehe 11 Aprili 2014 - Uwasilishaji wa Taarifa za Kamati

    yani huyu mwenyekiti wa kamati no.1 amehongwa na ccm coz hasomi anasema yake, hamna kitu kabisa. sasa bungeni kumekua kama kariakoo.
  13. D

    Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

    Ndugu wanaJF hasa vijana wenzungu tulio mtaani. Nahitaji mtu aniandikie kwa umahiri kabisa business plan ukipewa mtaji wa shilingi laki tatu utafanya biashara gani? ukimaanisha mtaji wako ni shilingi laki tatu, bainisha mapato yako yatakua yapi, matumizi na faida yako kwa muda wa mwaka mmoja...
  14. D

    Mwaka wa Saba tangu Nimalize chuo Sina Kazi

    Dah, pole sana mdada. mimi nadhani cha muhimu sasa hivi ni kuwa na mbinu za kujiajiri kwa kujaribu kuchakachua akili yako zaid. Jaribu kufungua shule ya awali ya watu wa kawaida tu, then utajua cha kufanya ni nn.
Back
Top Bottom