Recent content by DEO mtiifu

  1. DEO mtiifu

    JamiiForums Tanzania Iwambi siyo kwa kujenga nyumba! Nyumba kubwa hata milion 15 nimekosa

    Kuna shida gan iwambi mzed mbona weng wanakimbilia kujenga huko
  2. DEO mtiifu

    JamiiForums Tanzania Wale tulioko Mbeya tujuane na tushirikishane namna ya kutumia fursa ili kuingiza hela mji huu

    Ni wazo zuri mi uchumi wa kati wa chini mzaz
  3. DEO mtiifu

    JamiiForums Tanzania Wale tulioko Mbeya tujuane na tushirikishane namna ya kutumia fursa ili kuingiza hela mji huu

    Ah hoja ni anataka akanipee madini kwenye viti virefu malafyale
  4. DEO mtiifu

    JamiiForums Tanzania Wale tulioko Mbeya tujuane na tushirikishane namna ya kutumia fursa ili kuingiza hela mji huu

    K Kwahiyo kipande gn mkuu ukajitupa
  5. DEO mtiifu

    JamiiForums Tanzania Wale tulioko Mbeya tujuane na tushirikishane namna ya kutumia fursa ili kuingiza hela mji huu

    Mzee mbona maduka yapo msururu kiasi dereva anaita tuu chapu 😂😂 bro kwa maneno yako nahisi nakufahamu, mi nashindaga sana kwa hamisi kijiwe cha kahawa hapo kabwe unapajua?
  6. DEO mtiifu

    JamiiForums Tanzania Wale tulioko Mbeya tujuane na tushirikishane namna ya kutumia fursa ili kuingiza hela mji huu

    😂😂😂😂 kumbe sio ana kwa ana
  7. DEO mtiifu

    JamiiForums Tanzania Wale tulioko Mbeya tujuane na tushirikishane namna ya kutumia fursa ili kuingiza hela mji huu

    Hapo dawa kutimka mapema bfr saa 4 maana wenye sifa weng mle
  8. DEO mtiifu

    JamiiForums Tanzania Staili za ulaji koni

    Mkikosa vya kupost sasa
  9. DEO mtiifu

    JamiiForums Tanzania Wale tulioko Mbeya tujuane na tushirikishane namna ya kutumia fursa ili kuingiza hela mji huu

    Ko hahaw Hao wana njaa hata bei hawajui vyema emb ngoja
Back
Top Bottom