pombe na nyege vimeniponza

pombe na nyege vimeniponza

As long as umekula mbususu haina shida pesa inatafutwa. Ila nakushangaa sayansi inadai kwamba pombe huwa inapunguza sex libido. Sijajua wewe umetumia pombe ipi ambayo ilikufanya mpaka ukapqndisha nyegera
 
Oy dogo nakuua, hela angu umekula? Nakudinya leo. Hayo yalikua majibu ya mweny tv
 
Kosa la kiufund lilianzia hapo kwenye Konyagi. Na pengne ulichanganya na Bia baadae. Na pia ulikunywa vyote hivyo wakat tumbon pako empty.

Kwahiyo mwili ukawa hauna nguvu, akili ikapoteza umakini na nyege ndio sasa ikashika hatamu. 😊😊😊😊. Ni balaa sana hii.

Mm nilishajiamulia miaka 15+ huko nyuma kuwa bora ninywe vibia havileweshi kwa haraka na nikamaliza 20k taratibu mwenyewe tena mdogo mdogo na nisilewe sana ila akili ikawepo na muda nikiamua kunyanyuka bar nanyanyuka na asubuh naamka mwepesi kabisa.

Kuliko kunywa Kvant/konyag kwa buku 10 useme unabana matumizi alaf baada ya lisaa 1 unapoteza umakin unaanza kununulia bia watu usiowajua na kununulia wahudumu chakula 😊😊😊😊. Na kuomba namba za simu na Jagina.
Weng hupoteza pesa wakilewa kwa kunywa konyag, kvant na vikali vingine, hazina adabu zile unaanza kununulia watu, mara ule mshangaz unaanza kuushobokea na kuomba collabo ya gest!
 
Aseeh mm nina nidhamu hasa upande wa kunywa pombe nikisema ni 20k ni hiyo no excuse sihitaji kampani wala demu wa kunichangamsha sina hela ya kununulia watu pombe hasa wenyewe nao wamelewa

Nakunywa kistaarabu mno smart and classy cc min -me
 
Back
Top Bottom