Yahaya akiwa tapeli na haeleweki eleweki haimaanishi waislam woote wapo ivyo, lengo la Jide ni kufikisha ujumbe na wala hakulenga dini.. Ni sawa na Juma Nature alivyoimba Mtoto Iddi, Offside Trick walivyoimba Ahmada, Nyimbo kama Mario nk.. Usifikirie sana dini coz zote zimeletwa na meli
Lyamungo Second enzi izooo, Nguna la kutosha, maharage yamesimama kama yapo kwenye gwaride basi tunaweka dagaa na mafuta kidogoo... Asubuhi uji aka FONGO... Siezi sahau haya maisha
Singita Gurmet ndani ya Serengeti, Hotel bora zaidi duniani kuwahi kutokea... Sehemu ambayo mabilionea wa dunia hupenda kupumzika bila kufuatiliwa na vyombo vya habari....
Sijawah kuona afande ndani ya gwanda na hijabu juu, walinzi wa Gadafi walikuwa wanawake na walikuwa hawazingatii mambo ya dini, jeshi ni free generation na hawajui dini
Huyu ni mbwa koko anayebweka bweka hovyo lkn hawezi kung'ata,
leo ndo unagundua kuwa millya alikuwa mzigo????
Mtu yeyote makini na mzalendo hawezi kuvumilia kuwa chama cha magamba unless ana maslahi binafsi au anatumiwa na baadhi ya makundi ya watu kama wewe,
Wonders has no end na nazi ni nyingi kuliko vichwa, how comes umpangie mtu matumizi ya hela zake???
Anzeni kujichunguza nyie wenyewe ndani ya chama then mkijikuta wasafi ndo mje kwa Sabodo, mwenye fedha halali pekee ndo anaweza kusimama mbele za watu na kuipinga ccmagamba na sio hao wanaozipata...
Hakuna mtu anayeogopa huyu vuvuzela asiye na busara wala subira, future yake kisiasa haionekani n the bad thing he doesnt work for the party bt anatumiwa na wachache kwa interest binafsi,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.