Recent content by denzo

  1. denzo

    Binadamu ni kiumbe cha tofauti sana pindi giza linapoingia

    Wachaw, majambazi, wazinzi n.k ndo mida yao
  2. denzo

    Gloomy Sunday: Wimbo uliosababisha watu zaidi ya 100 kujiua

    Nimeusikiliza huo wimbo mara kadhaa kwa version zote mbili (Hungarian na Kiingereza). Kilichoimbwa kwenye huo wimbo kina maudhui ya mtu aliyefiwa na mpenzi wake na anataka kujiua ili ajiunge nae huko alipokwenda. Hata hivyo, kwenye comments za watu huko youtube licha ya kwamba wamekiri huo wimbo...
  3. denzo

    Vijana oeni mabinti wenye kwao

    Waliofungiwa sana wakipata uhuru ni tatizo. Bora makonkod hakuna kipya tena kwao. Wakiamua kutulia wanatulia
  4. denzo

    Msaada kabla ya kupima HIV

    Kutojiamini na kuulizia Jf ni miongoni mwa dalili za HIV
  5. denzo

    Mke wangu amepata tatizo la kutoa harufu ukeni

    Harufu ina sababu yake. Ni vema kwenda hospitali kujiridhisha kama sababu ni bakteria wa ukeni au vinginevyo. Mambo ya kugongewa ukiwa mbali sio kipaumbele kwa sasa kwani yapo na hayazuiliki kwa maneno.
  6. denzo

    Mwanamke kukataa kukutumia picha zake Whatsap ni ishara gani?

    Kama mzigo hajala kutakua na tatizo la kiufundi. Hapo hatusemi wapo kwenye mahusiano, watakua wanafahamiana
  7. denzo

    Mwanamke kukataa kukutumia picha zake Whatsap ni ishara gani?

    As long as mzigo anatoa, picha sio ishu sana. Kuna watu wengine hawapendi kupiga picha
  8. denzo

    Elimu ya juu ni matangazo tosha kwa mmarekani

    Kwa sababu ya mawazo mgando
  9. denzo

    #COVID19 Je, Tanzania tutegemee lockdown tena?

    Umetumia neno tena kama vile Tanzania ilishawahi kuwa na Lockdown
  10. denzo

    Kumbe neno 'mnyonge' maana yake ni mbumbumbu!

    Nilishaanza kumaindi ila nimelitafuta neno mbumbumbu kwenye uchambuzi wa maana ya MNYONGE sijafanikiwa kuliona. Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom