Natafuta mwl wa kubadilishana nae yeye aje kilimanjaro wilaya ya Same . Mm nije kati ya njombe mji,mbeya jiji, iringa municipal,songea municipal. Aliye tayari anicheki Pm tupeane mawasiliano! Idara ni elimu sekondari.
nn chanzo cha mauaji ya kikatili yanayoendelea hapa nchini? kumekua na mfululizo wa mauaji hivi karibun tukianzia Mwanza kule msikitini, dar kiwalani familia kuteketezwa na kule kigambon yule dada wa bilionea msuya na kadhalika. Nimekua nikijiuliza bila kupata majibu kwamba mfumo wetu wa ulinzi...
hiv balozi akirudishwa nchin ina maana kuwa utumishi wake umekoma au? Mana baloz wetu nchin uingereza amerdishwa nyumban na leo hii nimeskia Dr. Asha migiro kateuliwa na kesho ataapishwa kuchukua nafasi hyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.