Kwa maoni yangu,hata rais alipaswa kujiuzulu ukafanyika uchaguzi mkuu upya make inaonekana tumekoswa rais kwa kipindi chote hiki,nafikiri ulikuwa ni wakati muafaka ambapo wananchi wangefanya maamuzi sahihi tukapata rais make wengi sio mbumbumbu kwa sasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.