Usiwaze mimi ni me nina g/f wa hivyo ni bora tukafarijiana katika kipindi hiki kigumu...Hali zenyu bhana! Hope hamjambo wanajamii wenzangu. mimi ni ke nina b/f wangu yupo mkoani. To be honestly ninampenda jamani. Tatizo ni kwamba yeye haoneshi kama ananipenda. Naweza m-call hata cku tatu mfululizo yeye wala hata hastuki akacall back, najikaza ili aanze lakini najikuta tu mi ndo naanza kumpigia ili tu roho yangu iridhike, nashindwa kujicontrol.. sms ndo kwanza mpaka nimuulize umepata sms yangu ndo anakujibu, TENA jibu lenye la kawaida sana kama anamjibi man mwenzie. NATAMANI KUSIKIA I LOVE, NATAMANI KUSIKIA I MISS U, NATAMANI MANENO MATAMU YA KIMAPENZI TOKA KWA MTU NINAYEMPENDA. lakini siyapati naumia natamani kuachana naye ila roho yangu bado inampenda kwa kweli. Me binafsi napenda sana kuchat, kuongea hasa nyakati za ucku ukizingatia tupo mbali walau tupeane pole, tuambiane maneno matamu matamu ila yeye mkavu sana katika maongezi cjui hani-feel??? Tena ndio huwa wa kwanza kuaga utadhani kapiga yeye. Nashindwa kupata jibu yuko upande gani, nikijaribu kuumuuliza anasema yuko sawa. Mara nyingi hana story jamani nifanyeje........ naumia kwa kweli........
hebu anza tuone vibweka vyako vipo vipi. kama poa nageuza fasta mbona
Hongera sana Preta...pole sana......dah.....kumbe am lucky eeh......
Ngoja nifanye juu chini nijaribu kumpindua jamaa...lol..ooh yeah.......
Mbona hujanigongea LIKE? Hebu kagonge bana kikojoleo changu kisisimke....!
Asante mkuu,hapo anaongelea miaka miwili ni mda ambao unatosha watu kufahamiana,na anasema kila akiongea naye mwenzie anaona ni kitu cha kawaida tu means hajali,na katika mapenzi sidhani swala la makabila au eneo analotoka linaweza kumfanya mtu asiwe tayari kuwasiliana na mwenzie.Kwanza nikusifu umependeza,unatabasamu eeh............mwambie binti mwenzio avunje ukimya amwambie ukweli kwamba hapendi anavyofanyiwa (awe na kifua hasa) halafu aone reaction yake.Kama ataonyesha kuelewa basi ajue ni swaga zake tu, wakati mwingine wanaume tunapenda deko fulani hivi hasa kama tunapendwa hatutaki kuonyesha sana eti tumekufa (hiyo siri usimwambie mtu).
Halafu kingine muulize huyo binti (me naogopa kumuuliza moja kwa moja ni dada yangu) kama huyo B/F ni wa kutoka maeneo ya kwao,kama ndivyo ohoooooooooooooo.........jasiri haachi asili!!!
Hahaha hahaha hahaha,nimekuelewa mkuu.mamy D back to topic, huyu babu ni mchakachuaji mkubwa wa thread halafu na yule mwenzake Krolokwin akija hapa ndio itakua balaa...
hapo sawa ntajitahidi may be nikipata likizo make yupo mkoani!
Pole!halafu umenichekesho kwelo pale uliposema "Halafu ndio huwa wa kwanza kuaga utadhani kapiga yeye"kwekwekwekwekwe teh teh teh teh teh...!