Natafuta mchumba/ mume wa ndoa

Wapendwa wana JF,

Hii ni post yangu ya kwanza, lakini sio mgeni sana humu Jf kwa sababu nilikuwa naingia kama mgeni.

Najitokeza jamvini kutafuta mkaka au mwanaume ambaye ana lengo la kufunga ndoa nami. Kifupi wasifu wangu ni kama ufuatao:

1. Nina miaka 25, mnene kiasi, urefu wa 165 cm.
2. Elimu yangu ni kidato cha nne.
3. Sijawahi kuolewa au kuwa na mtoto,
4. Rangi yangu ni maji ya kunde.
5.Dini yangu ni mkristo wa roman catholic.

Mume ninayemtaka:
1. Awe mwenye upendo wa kweli,
2. Awe tayari kupima afya zetu kabla hatujakutana mapenzi
3.Awe na kipatocha kuwezesha tuishi maisha bora na sio bora maisha.
4. Sichagui dini, kabila
5. Elimu yake ianzie kidato cha nne na kuendelea.

Kwa mkaka anayejiona yupo serious naomba anitumie msg / pm lakini kama haupo seious naomba usipoteze muda wako coz sitaki kuchezewa kama mpira.

Asanteni, na karibuni sana.
sawa dada kama hjapata na0mba tuwasiliane dada..ili tu0ngee zaidi..sm yangu ni 0784567432/0753082524
 
dada nime0na t0pic yak0 lakini pia hata mimi natafuta mke..kama hutajali tuwasiliane kwa simu 0753082524
 
Nakutakia Mema Kumpata Mumeo...lakini Dada Kipato Ni Suala La Ziada Tu Kwani Kwani Kama Mmeo Atakuwa Na Kipato Kikishuka Ndo Mnaachana? N.B Karibuni wana JF kwenye party yakumtambulisha mchumba wangu niliyempata humuhumu(Maeneo ya areaD Dom)
 
Nakutakia Mema Kumpata Mumeo...lakini Dada Kipato Ni Suala La Ziada Tu Kwani Kwani Kama Mmeo Atakuwa Na Kipato Kikishuka Ndo Mnaachana? N.B Karibuni wana JF kwenye party yakumtambulisha mchumba wangu niliyempata humuhumu(Maeneo ya areaD Dom)
 
Nakutakia Mema Kumpata Mumeo...lakini Dada Kipato Ni Suala La Ziada Tu Kwani Kwani Kama Mmeo Atakuwa Na Kipato Kikishuka Ndo Mnaachana? N.B Karibuni wana JF kwenye party yakumtambulisha mchumba wangu niliyempata humuhumu(Maeneo ya areaD Dom)
 
Nakutakia Mema Kumpata Mumeo...lakini Dada Kipato Ni Suala La Ziada Tu Kwani Kwani Kama Mmeo Atakuwa Na Kipato Kikishuka Ndo Mnaachana? N.B Karibuni wana JF kwenye party yakumtambulisha mchumba wangu niliyempata humuhumu(Maeneo ya areaD Dom)

party inafanyika wapi mkuu! Ningependa kuja kumjua shem.
 
Wapendwa wana JF,

Hii ni post yangu ya kwanza, lakini sio mgeni sana humu Jf kwa sababu nilikuwa naingia kama mgeni.

Najitokeza jamvini kutafuta mkaka au mwanaume ambaye ana lengo la kufunga ndoa nami. Kifupi wasifu wangu ni kama ufuatao:

1. Nina miaka 25, mnene kiasi, urefu wa 165 cm.
2. Elimu yangu ni kidato cha nne.
3. Sijawahi kuolewa au kuwa na mtoto,
4. Rangi yangu ni maji ya kunde.
5.Dini yangu ni mkristo wa roman catholic.

Mume ninayemtaka:
1. Awe mwenye upendo wa kweli,
2. Awe tayari kupima afya zetu kabla hatujakutana mapenzi
3.Awe na kipatocha kuwezesha tuishi maisha bora na sio bora maisha.
4. Sichagui dini, kabila
5. Elimu yake ianzie kidato cha nne na kuendelea.

Kwa mkaka anayejiona yupo serious naomba anitumie msg / pm lakini kama haupo seious naomba usipoteze muda wako coz sitaki kuchezewa kama mpira.

Asanteni, na karibuni sana.
i hope utampata tuu aliye wako
 
Uliza wenzako kwanza,walijitokeza kama ww wakakutana na chinga boys kudadadeki mpaka leo sijuwi wamèfia wapi utagongwa na mume hupati hata ukajifanya nn chezea w'me ww
 
Wapendwa wana JF,

Hii ni post yangu ya kwanza, lakini sio mgeni sana humu Jf kwa sababu nilikuwa naingia kama mgeni.

Najitokeza jamvini kutafuta mkaka au mwanaume ambaye ana lengo la kufunga ndoa nami. Kifupi wasifu wangu ni kama ufuatao:

1. Nina miaka 25, mnene kiasi, urefu wa 165 cm.
2. Elimu yangu ni kidato cha nne.
3. Sijawahi kuolewa au kuwa na mtoto,
4. Rangi yangu ni maji ya kunde.
5.Dini yangu ni mkristo wa roman catholic.

Mume ninayemtaka:
1. Awe mwenye upendo wa kweli,
2. Awe tayari kupima afya zetu kabla hatujakutana mapenzi
3.Awe na kipatocha kuwezesha tuishi maisha bora na sio bora maisha.
4. Sichagui dini, kabila
5. Elimu yake ianzie kidato cha nne na kuendelea.

Kwa mkaka anayejiona yupo serious naomba anitumie msg / pm lakini kama haupo seious naomba usipoteze muda wako coz sitaki kuchezewa kama mpira.

Asanteni, na karibuni sana.

Ningekutafuta mimi ila kipato changu sasa mh! nahisi hakitoshi kuishi maisha bora.......ila nakutakia mafanikio mema
 
wewe unakipato gani hadi unataka na mwenzio awe na kipato cha juu??????????

unafanya kazi?????unabiashara au kitega uchumi chochote??????

mama siku hizi mambo ni cost sharing u've to know that.

Hilo neno mkuu maana wadada wengine huwa wanaweka vigezo kibao kama awe na kazi nzuri wakati yeye yupo hoi, anataka akute kitu ready made
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom