Master detectie
Member
- Mar 4, 2011
- 34
- 3
oooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
sawa dada kama hjapata na0mba tuwasiliane dada..ili tu0ngee zaidi..sm yangu ni 0784567432/0753082524Wapendwa wana JF,
Hii ni post yangu ya kwanza, lakini sio mgeni sana humu Jf kwa sababu nilikuwa naingia kama mgeni.
Najitokeza jamvini kutafuta mkaka au mwanaume ambaye ana lengo la kufunga ndoa nami. Kifupi wasifu wangu ni kama ufuatao:
1. Nina miaka 25, mnene kiasi, urefu wa 165 cm.
2. Elimu yangu ni kidato cha nne.
3. Sijawahi kuolewa au kuwa na mtoto,
4. Rangi yangu ni maji ya kunde.
5.Dini yangu ni mkristo wa roman catholic.
Mume ninayemtaka:
1. Awe mwenye upendo wa kweli,
2. Awe tayari kupima afya zetu kabla hatujakutana mapenzi
3.Awe na kipatocha kuwezesha tuishi maisha bora na sio bora maisha.
4. Sichagui dini, kabila
5. Elimu yake ianzie kidato cha nne na kuendelea.
Kwa mkaka anayejiona yupo serious naomba anitumie msg / pm lakini kama haupo seious naomba usipoteze muda wako coz sitaki kuchezewa kama mpira.
Asanteni, na karibuni sana.
I love your post... I wish you all the best katika kumpata....
Nakutakia Mema Kumpata Mumeo...lakini Dada Kipato Ni Suala La Ziada Tu Kwani Kwani Kama Mmeo Atakuwa Na Kipato Kikishuka Ndo Mnaachana? N.B Karibuni wana JF kwenye party yakumtambulisha mchumba wangu niliyempata humuhumu(Maeneo ya areaD Dom)
i hope utampata tuu aliye wakoWapendwa wana JF,
Hii ni post yangu ya kwanza, lakini sio mgeni sana humu Jf kwa sababu nilikuwa naingia kama mgeni.
Najitokeza jamvini kutafuta mkaka au mwanaume ambaye ana lengo la kufunga ndoa nami. Kifupi wasifu wangu ni kama ufuatao:
1. Nina miaka 25, mnene kiasi, urefu wa 165 cm.
2. Elimu yangu ni kidato cha nne.
3. Sijawahi kuolewa au kuwa na mtoto,
4. Rangi yangu ni maji ya kunde.
5.Dini yangu ni mkristo wa roman catholic.
Mume ninayemtaka:
1. Awe mwenye upendo wa kweli,
2. Awe tayari kupima afya zetu kabla hatujakutana mapenzi
3.Awe na kipatocha kuwezesha tuishi maisha bora na sio bora maisha.
4. Sichagui dini, kabila
5. Elimu yake ianzie kidato cha nne na kuendelea.
Kwa mkaka anayejiona yupo serious naomba anitumie msg / pm lakini kama haupo seious naomba usipoteze muda wako coz sitaki kuchezewa kama mpira.
Asanteni, na karibuni sana.
Wapendwa wana JF,
Hii ni post yangu ya kwanza, lakini sio mgeni sana humu Jf kwa sababu nilikuwa naingia kama mgeni.
Najitokeza jamvini kutafuta mkaka au mwanaume ambaye ana lengo la kufunga ndoa nami. Kifupi wasifu wangu ni kama ufuatao:
1. Nina miaka 25, mnene kiasi, urefu wa 165 cm.
2. Elimu yangu ni kidato cha nne.
3. Sijawahi kuolewa au kuwa na mtoto,
4. Rangi yangu ni maji ya kunde.
5.Dini yangu ni mkristo wa roman catholic.
Mume ninayemtaka:
1. Awe mwenye upendo wa kweli,
2. Awe tayari kupima afya zetu kabla hatujakutana mapenzi
3.Awe na kipatocha kuwezesha tuishi maisha bora na sio bora maisha.
4. Sichagui dini, kabila
5. Elimu yake ianzie kidato cha nne na kuendelea.
Kwa mkaka anayejiona yupo serious naomba anitumie msg / pm lakini kama haupo seious naomba usipoteze muda wako coz sitaki kuchezewa kama mpira.
Asanteni, na karibuni sana.
wewe unakipato gani hadi unataka na mwenzio awe na kipato cha juu??????????
unafanya kazi?????unabiashara au kitega uchumi chochote??????
mama siku hizi mambo ni cost sharing u've to know that.