tokea ilipobainika kuonekana kwa viungo hivyo,nilipata taarifa kuwa uenda ni kutaka kulipiza kisasi kwa kufukuzwa,kwa aliyekuwa mhadhiri wa chuo hicho ambaye ni pro frola fabian inasemekana alifukuzwa na sasa yupo chuo cha udom.nilipata taarifa kuwa mtu ambae anahusika kuhifadhi viungo hivyo...
tatzo siasa imetawala,na watu wanaoneana aibu alisema atawataja vigogo wa dawa za kulevya na picha zao,matokeo yake anaweka ya masogange wkt yy ni punda au mbebaji tu.alitakiwa ataje mabosi wake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.