deniskamanzi
Member
- Jun 19, 2013
- 16
- 0
:smile-big::smile-big:
"usilitaje bure jina la Mungu wako".
ni Mungu gani wa kusikiliza dua la mashetani yaliyojazana bungeni.
Mie sioni umuhimu wowote wa kuwepo na Bunge nchini zaidi ya kuongeza gharama kubwa kwa walipa kodi.
lazima tuwe na wawakilishi mkuu,.
Serikali haina dini sasa dua ya nini tena?!
Hiyo ni sawa na kuchukua(kuteka) maji kwenye kisoda kisha kwenda kumwagia baharini kisha unasema na mimi nimechangia mchango wangu wa maji baharini
Hao wawili uliowataja wana imani(dini) zao.mbona jambazi au mwizi kabla ya kuenda iba au kufanya tukio kwanza anaomba dua unalitambuaaa hilo
Laana wameshaichuma maana wanayojadili hawayatekelezi,kweli kuna haja ya kuiheshimu Dua la sivyo tunachuma laana bila kujua..
Hakuna cha maombi wala dua hapo bunge limekuwa mojawapo ya kazi za shetani!!ni ushetwaani mtupu ni majizi yenye mwavuli wa dini zao.
Kuna uhusiano wowote wa dua katika kuombea bunge la katiba na yale matendo ambayo yanafanywa na wajumbe wa katiba hasa ukizingatia manung'uniko mengi yamekuwa yakitolewa na wananch juu ya uwezekano wa baadh ya wajumbe kuchakachua katiba ambayo kiukweli ni maoni ya wananchi wa jamhuri ya muungano wa tz.
Je kunaweza kukawa na athari kubwa kwa maana kwamba ni kumdhihaki mwenyezi Mungu?
=======
dua ni nzuri ila anaeisoma dua hiyo si mtu mwema