Jamanii mimi naona hii kitu ya dudu ndogo a.k.a vibamia ingekua inaongelewa katika namna ya kuwasaidia "victims" sababu nao ni watu na wanahitaji sex life. Tusiwafanye wajisikie kwamba sio watu. Mimi naamini hii kitu ikigusa mtu ambaye niwakaribu yako hutojisikia vzr
Hakuna somo gumu wakuu kama ukikaa na ukasilikiliza walimu kwa makini. Tatizo watu wengi hua tunasoma Physics huku tukiwa tumepanic na wasiwasi kwa sababu ya stori tunazoambiwa na watu waliotangulia
Forex sio rahisi mkuu. Hao wanaopata faida bado wanatrade chini ya uangalizi wa wajuzi wa forex siku wakianza kutrade wenyewe wataanza kuziona hasara nahakika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.