Denis Elias Manyama
Member
- Dec 17, 2016
- 37
- 22
Hakuna somo gumu wakuu kama ukikaa na ukasilikiliza walimu kwa makini. Tatizo watu wengi hua tunasoma Physics huku tukiwa tumepanic na wasiwasi kwa sababu ya stori tunazoambiwa na watu waliotangulia
Heshima yako pacha
Umenikumbusha milambo high '11 Physics nilikuwa nasoma mara moja kwa wki hili nina D sasa cheki msuli wa Bios kila sku Hila DKwa sisi tuliosoma PCB advanced Physics ndio somo rahisi na huwa hatulipi kipaumbele...
Watu Waache Uongo Japo ni A ya Phsycs (enzi hizo Engineering Science school kwetu) na Advance piaNlipiga A but was Never Easy yaani inahitaji Jitihada za Kutosha Kuliko ata Namba!
Nakumbuka Miaka Hiyo swali la A89 na A91 la RogerMuncaster Nilifanyaga wiki nzima Bado Nikapewa za Uso!
Anyway Respect Kubwa kwa Physics-Somo Ninalolipenda Mpaka Leo!
physics na math's kamwe huwezi kuvitenganisha
Muongo huyu.....PCB hawalipi kipaumbele PHYSICS kwasabab kwao calcultns zinawasumbua....wanatafutaga E tu hao......physics na PCM ndo nafuuu....hakuna urahis wala kawaida physics.....PCB hana uwezo WA kusovu ideas za problems ktk.,Daaahhh, heshima yangu kwako...
Muongo huyu.....PCB hawalipi kipaumbele PHYSICS kwasabab kwao calcultns zinawasumbua....wanatafutaga E tu hao......physics na PCM ndo nafuuu....hakuna urahis wala kawaida physics.....PCB hana uwezo WA kusovu ideas za problems ktk.,
-Rogermuncaster,Nelkon,ABC physics,Tom Dancan,Scholarship physics,3000question physics,Sc.Chands class xi&xii,Engneering physcs,Calculation for Alevel physcis....(mm nakwambia hvyo coz nina A olevel na B advance,coz mwaka wetu hakukuwa na A.)
Viroba vmezuiwa mkuuu....vilivyobak kavtupe shimonPhysics ndiyo somo rahisi sana,ila history ndiyo somo gumu sana.
Ha ....Mwalimu wangu wa Physics Mr. Macharia a.k.a Shingoo alikuwa anatupia harufu kali sana kutoka kwa mdomo wake. Uvundo wa samaki+vitunguu+viroba na kadhalika akiongea unajaa darasa nzima. Ndo maana sasa hivi nipo kwenye team ilaaniwe physics.
Mkuu, nimeongea somo gumu na rahisi kwangu,hapo viroba vinatoka wapi?Viroba vmezuiwa mkuuu....vilivyobak kavtupe shimon
Mkuu Form one tu chali nikasema acha nikomae na H kunani.ndo hayo hayo nimekaza nayo hadi chuo.nimecheka lol
Mkuu Form one tu chali nikasema acha nikomae na H kunani.ndo hayo hayo nimekaza nayo hadi chuo.