Saa nyingine ukimsikiliza kibonde unajiuliza kama ana akili timamu au ana upungufu kwa yale anayokuwa akiongea? Ila siku hizi nimegundua ni kumpuuza tu kwani kama mtu mzima bila shaka huwa ana sababu zake.
[Obwato: Wanajamvi leo nimeokota cheti kwenye gari linalotoka Mwenge kwenda T/mikoroshini. Muhusika anaitwa EMELDA J. MALLYA ni cha kozi ya Computer Aqlication cha OUT. Anayemfahamu muhusika ampe taarifa na anipigiie kwa namba 0717491574.
Mr Obwato peleka pale chuoni kwao watajaribu kumpata...
Yote katka yote hakikisha hapati tabu, kwani yeye hana hatia ni kwa ajili ya machezo yako na mama yake ndio yamemleta hapa duniani. so hakikisheni anapata malezi yanyofaa na asije juta kuzaliwa.
Mi nakumbuka kwa ule msoto niliopiga pale Buhemba JKT chini ya mkuu wa kombania A afande Kaburu hao asingerudi hata mmoja, waache kucheza maigizo bana.
Mh!! hii hali inaumiza sana sijui hawa watawala wanionaje au wanaichukulia vipi?
Kwanza kabisa I think kawambwa should go back to bagamoyo akawe diwani aachie wengine wakae watatue tatizo, uwezo wake ni mdogo na hasa katika kuona njia za kutatua matatizo vinginevo anasaidia kututengenezea bomu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.