Uliyeposti nazani haufahamu maana halisi ya siasa, kitu ambacho hautakiwi kujiaminisha kuwa all da time wew umeteka akili Za watu bila ya kuwa mtendaji mzuri wa kujituma, Kuna wakat watu hubadilika Sasa wew sema hvyo muaminishe lema alafu ajibweteke ataona anguko Lake vizur tu siasa Haina...
Yani nyie manyumbu posti Za kijinga kama hii ulitaka uonyeshwe mzigo wako, huyo mtto wa shule ya msingi anaweza kupinda nondo, au kuvuta Lile gari LA Tani 7, au vile virungu kuvunjikia mwilini,,, siku nyingine usituletee uzi wa kijingaa
Wanaume waliosoma seminary Kwanzaa ni waaminifu na watiii, huwa Wacha mungu kutokana na misingi waliokulia, pia ni wachapa kazi Sana sio watu legelege,, watu wanaopenda kumsikiliza mtu kwa umakini
Kwanzaa haueleweki na umetumwa bahati mbaya aliyekutuma alikuchanganyia Habari, aliyekutuma toka chadema Muambie akupe maelekezo mengne,,, mara kijana WA lipumba, mara alimteka Roma Ulikua wapi Roma alipotafutwa uumtaje, msibebeshe watu matukio na kujiona unaakili Sana, punguza mehemko tumia...
Ulietoa post usilete Habari yenye kichwa cha Habari kama Cha gazeti,,, endapo raia watakutilia mashaka then wakatoa taarifa police, na police wamekusimamisha then wew unakimbilia vichakani basi wew utakuwa jambazi,, kama ni raia usiyekuwa na tatzo utasimama na police kujiridhisha kuwa wew ni mtu...
Achane aseme aliowatuma mnakataa nini Wakati walishatuma vijana Wao wakajua Kuna kimchezo kichafu Kati ya chadema na kafu na vinaanza onekana,,, alafu muanze singizia serikali uchu wa madaraka utawaua
Sahau kama vitu vya jeshi haswa LA Tz kama vitaanikwa ovyo,, kikubwa Kuna mipaka na using'ang'ania kupata inaitwaje, alafu sometimes tujiongezee vipo vitu vya kuonyesha au kuzungumza wazi, ila si vya jeshi au taasisi yoyote ya usalam kama wew ni mtanzania litambue Hilo,,, vita ya sikuhizi ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.