denoo49
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 6,113
- 6,937
Tehehehehehehe siku hizi ofisi kaihamishia AICC, kesho Ukipata nafasi muulize eti lile suala la ujenzi hospitali waliokwaruzana na Mh. Lema limeishia wapi?Mikono mushaiweka nyinyi Kichwa ni, ile ni namba ingine Mkuu. Yule kijana ni nomaaaa. Wale Wana Arusha tunamkubali sanaaaa
Ngojea sasa uone kituko cha huu wito alioufanya wa kumuita Mkurugenzi aliyetoka arudi kujibu tuhuma za upotevu wa pesa.