Wakati esta anaingia malangoni pa mfalme kuomba ili awakomboe wayahudi mikonon mwa Haman wayahud walikua wakifunga na kuomba juu ya malikia nashangaa sana kuona viongozi wa dini hadi sasa wako kimya badala ya kuwasihi waumini kufunga na kuomba juu ya Serikali na raisi wetu ili tutakapo kutana na...
Kama dhahabu ni yao kuna chembe chembe ambozo huvunjika kutoka kwenye dhahabu na kubaki kwenye mchanga xo wakawaomba wauchukue na mchanga wakatafute hizo chembe zilizobaki huko ccm walivyo mabwege wakawaruhusu wakawasainia na mkataba xo mchanga wote n wao kihalali
We mwenyewe mwizi kila mahali ni wizi yaan ukilala kidogo tuu lazma ukatwe kidizain flan.lowassa na kikwete walikua washirika kuuza raslimali za nchi kwenye uchumi hatumtetei mtu ila hawa watu hawafungiki gerezan
Rong parking inahusisha watu wa manispaa na sio polisi kuleta defender ya polis kwa kupaki gari vibaya tena kwa mtu kama yule alieitumikia serikal wazir na kufyatua risas juu et unatuliza vurugu ni kosa kwa kua hakukua na fujo yoyote kama aligoma anafungwa pingu kwenye difender then kituon.lkn...
Watu wanapenda kujifunza historia na sio mapenzi movie za kibongo zimejaa mapenz na mtu hawez kuchukua na kutazama na familia yake watu wanashikana ovyo kitandan sebulen yuko baba mama na watoto wanaobalehe then unawaambia waendelee kukodelea macho uchaf.muvi zetu huwez shindanisha na season za...
Sis tutaiona hatumaanishi tnangangania madaraka bal tunataka haki sawa kwa wote nchi hii sio Mali ya ccm waha hakuna mwenye hat miliki ya nchi acha ubwege
Kughushi vyet ni kosa kisheria chadema hatuungi mkono hilo kuhusu wafanyakaz hewa ilikua ni kiki watanzania tulidanganywa tunataka hao watumishi tuwaone mahakaman na fedha zirudishwe kama hazipo wafungwe ili watanzania tujue zoez ni endelevu maana sahiv sisikii tena na wapo bado
Kama rais anachukua hela hazina mwenyewe na kununua bila kuhusisha wizara husika na bila kutuma wataalam wa kuikagua na kulipa hela yote kabla hata ndege hazijaja hata kama kuna ufisad utahusisha wizara gan iliyohusika ili wajiuzulu?hana washauri rais huyu tunamwomba ahutubie taifa kila mwisho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.