Ile kijani ni nuksi sana, tumeistukia long lakini inapiga goli la mkono bwana.Labda yule aliyegombea na picha peke yake hakuna mwingine alyeingia au atakae ingia ikulu kiulaini. Si Mkapa, si Kikwete, si Magufuli jasho lilitoka na magoli ya mkono kufungwa hata bank kuu iliipata, na huenda escrow pia ililalia huko. CDM mfanye kazi- mpiganie mazingira ya uchaguzi yawe sawa, mkonge nyoyo za wananchi (mijini na vijijini), muache kubadili gea angani, muwe na ajenda inayofahamika na kuaminika. Mshikamano wa wapinzani muujenge mapema kuondoa mitafaruku kati yenu dakika za mwisho (kwenye kusimamisha wagombea wa pamoja). Hayo yakitimia uwezekano wa kushinda upo.
Basi hata majambazi mtawarudishia bunduki zao na kuwambia wabadilishe mienendo yao... you are a joke.Yeah sisi chadema hatuungi kufukuza awafanyakazi walioko kazini kwa sababu ya tofauti ya vyeti..sisi tungewambia wajiendeleze taratibu kufikia kiwango kinachotakiwa.
Jamaa hao ni chama dola na likatiba libovu linawapendelea kwani tume, polisi, UWT wamegeuza kuwa mali zao. Wakishindwa kabisa wana ita Jecha game inalala na ndio maana huyu mjomba anasema katiba mpya siyo muhimu kwake. Kama hatupati katiba mpya angalao vipengele vya uchaguzi kama vilivyokubaliwa kati ya JK na wapinzani vipitishwe. Hata JK dakika ya mwisho alisita na hapo ndio JECHA alipoingilia. Huku bara walisambaratisha tallying centre ya CDM mchezo kwisha.Ile kijani ni nuksi sana, tumeistukia long lakini inapiga goli la mkono bwana.
Hawa ni wabakaji, tangia enzi za Chama kushika hatamu pesa za serikali zilitumia kujenga ofisi za CCM. UWT, Umoja wa Wazazi na Vijana ni jumuia za chama huko ndiko kulikozalisha mabashite.Jamaa hao ni chama dola na likatiba libovu linawapendelea kwani tume, polisi, UWT wamegeuza kuwa mali zao. Wakishindwa kabisa wana ita Jecha game inalala na ndio maana huyu mjomba anasema katiba mpya siyo muhimu kwake. Kama hatupati katiba mpya angalao vipengele vya uchaguzi kama vilivyokubaliwa kati ya JK na wapinzani vipitishwe. Hata JK dakika ya mwisho alisita na hapo ndio JECHA alipoingilia. Huku bara walisambaratisha tallying centre ya CDM mchezo kwisha.
Bila Tume huru sahau hiyo ndoto ya mchana.Kufuatia hatua zinazochukuliwa na Mh Rais za kupambana na wafanyakazi waliotumia vyeti feki na kuondoa wafanyakazi hewa, na mengineyo unaonyesha Mh Rais Magufuri atashindwa urais na CHADEMA kuchukua uskani kwa sababu zifuatazo;
- 90% ya wafanyakazi 550,000 wa serikali hawamtaki Mh Magufuri kwani hakuwaongezea Mshahara na pia amewaondoa wafanyakazi wenye vyeti hewa kwenye mfumo wa mishahara
- Wafanyakazi walisomea secondary nje ya nchi kama Kenya na Uganda wameondolewa kwenye utumishi wa uma kwa kusingizwa kuwa hawana cheti cha form four.
- Vijana wengi kukatika kwa biashara hivyo kuwa maskini wa kutupwa, hili kundi halitampa kura mh Magufuri
- Balozi za nje hazijafurahishwa na uamzi wa Mh Rais kuangalia kwa undani bishara ya Madini na Gesi hivyo kuamua kufadhili upinzani
- Makampuni ya simu kukaguliwa miamala yao ili kulipa kodi stahidi hawajafurahishwa na Mh Magufuri kufanya hayo hivyo kuanza kampeni za kusapoti CHADEMA
- Sekta binafisi kunyimwa tenda ya kujenga Hostel za UDSM na majengo mengine lakini pia kitendo cha serikali kupunguza safari kwa wafanyakazi wa serikali kumepelekea Serikali kufanya wafanyakazi washindwe kuspendi hivyo kufanya sekta binafsi kukoswa pesa kama dhamani hivyo wanaona CHADEMA ambayo tunajipambanua kuhakikisha kila anayeharibikiwa sasa atarudishiwa uchumi kama zamani kama suluhisho.
- SISI CHADEMA TUNAAMINI KWA KILA MTU KUTUMIA FURSA ILIYOPO HIVYO KAMA TUKIPEWA DOLA 2020 HAYA YANAYOTOKEA SASA YOTE TUTAYAFUTA NA WALIFUKUZWA KAZI WATARUDISHWA KWENYE NAFASI ZAO KAMA ZAMANI. WAFANYABIASHARA WATANZA KUFAIDI KAMA ZAMANI IKIWA PAOMJA NA WAFANYAKAZI WA SERIKALI NK.
CDM iingie Ikulu? Thubutu? Labda 2055Labda yule aliyegombea na picha peke yake hakuna mwingine alyeingia au atakae ingia ikulu kiulaini. Si Mkapa, si Kikwete, si Magufuli jasho lilitoka na magoli ya mkono kufungwa hata bank kuu iliipata, na huenda escrow pia ililalia huko. CDM mfanye kazi- mpiganie mazingira ya uchaguzi yawe sawa, mkonge nyoyo za wananchi (mijini na vijijini), muache kubadili gea angani, muwe na ajenda inayofahamika na kuaminika. Mshikamano wa wapinzani muujenge mapema kuondoa mitafaruku kati yenu dakika za mwisho (kwenye kusimamisha wagombea wa pamoja). Hayo yakitimia uwezekano wa kushinda upo.
CDM iingie Ikulu? Thubutu? Labda 2055Labda yule aliyegombea na picha peke yake hakuna mwingine alyeingia au atakae ingia ikulu kiulaini. Si Mkapa, si Kikwete, si Magufuli jasho lilitoka na magoli ya mkono kufungwa hata bank kuu iliipata, na huenda escrow pia ililalia huko. CDM mfanye kazi- mpiganie mazingira ya uchaguzi yawe sawa, mkonge nyoyo za wananchi (mijini na vijijini), muache kubadili gea angani, muwe na ajenda inayofahamika na kuaminika. Mshikamano wa wapinzani muujenge mapema kuondoa mitafaruku kati yenu dakika za mwisho (kwenye kusimamisha wagombea wa pamoja). Hayo yakitimia uwezekano wa kushinda upo.
CDM kwenda Ikulu? Thubutu? Labda 2055Kufuatia hatua zinazochukuliwa na Mh Rais za kupambana na wafanyakazi waliotumia vyeti feki na kuondoa wafanyakazi hewa, na mengineyo unaonyesha Mh Rais Magufuri atashindwa urais na CHADEMA kuchukua uskani kwa sababu zifuatazo;
- 90% ya wafanyakazi 550,000 wa serikali hawamtaki Mh Magufuri kwani hakuwaongezea Mshahara na pia amewaondoa wafanyakazi wenye vyeti hewa kwenye mfumo wa mishahara
- Wafanyakazi walisomea secondary nje ya nchi kama Kenya na Uganda wameondolewa kwenye utumishi wa uma kwa kusingizwa kuwa hawana cheti cha form four.
- Vijana wengi kukatika kwa biashara hivyo kuwa maskini wa kutupwa, hili kundi halitampa kura mh Magufuri
- Balozi za nje hazijafurahishwa na uamzi wa Mh Rais kuangalia kwa undani bishara ya Madini na Gesi hivyo kuamua kufadhili upinzani
- Makampuni ya simu kukaguliwa miamala yao ili kulipa kodi stahidi hawajafurahishwa na Mh Magufuri kufanya hayo hivyo kuanza kampeni za kusapoti CHADEMA
- Sekta binafisi kunyimwa tenda ya kujenga Hostel za UDSM na majengo mengine lakini pia kitendo cha serikali kupunguza safari kwa wafanyakazi wa serikali kumepelekea Serikali kufanya wafanyakazi washindwe kuspendi hivyo kufanya sekta binafsi kukoswa pesa kama dhamani hivyo wanaona CHADEMA ambayo tunajipambanua kuhakikisha kila anayeharibikiwa sasa atarudishiwa uchumi kama zamani kama suluhisho.
- SISI CHADEMA TUNAAMINI KWA KILA MTU KUTUMIA FURSA ILIYOPO HIVYO KAMA TUKIPEWA DOLA 2020 HAYA YANAYOTOKEA SASA YOTE TUTAYAFUTA NA WALIFUKUZWA KAZI WATARUDISHWA KWENYE NAFASI ZAO KAMA ZAMANI. WAFANYABIASHARA WATANZA KUFAIDI KAMA ZAMANI IKIWA PAOMJA NA WAFANYAKAZI WA SERIKALI NK.
Endelea kuamini hivyo!!!! Nilicho andika ni kwamba hakuna ushindi ulio laini. Kama ni 2020 au 2055 kazi iko kwao.CD
CDM iingie Ikulu? Thubutu? Labda 2055
kweli chagadema ni ya wavuta cha ARUSHA kama alivyojipambanua mbowe kwa kumvuta haraka wema alipobainika anatumia cha ARUSHA na hata mleta mada inaonyesha umetoka kutumia na hauna muda mrefu toka uanze kutumia sambamba na kuingia chagademaKufuatia hatua zinazochukuliwa na Mh Rais za kupambana na wafanyakazi waliotumia vyeti feki na kuondoa wafanyakazi hewa, na mengineyo unaonyesha Mh Rais Magufuri atashindwa urais na CHADEMA kuchukua uskani kwa sababu zifuatazo;
- 90% ya wafanyakazi 550,000 wa serikali hawamtaki Mh Magufuri kwani hakuwaongezea Mshahara na pia amewaondoa wafanyakazi wenye vyeti hewa kwenye mfumo wa mishahara
- Wafanyakazi walisomea secondary nje ya nchi kama Kenya na Uganda wameondolewa kwenye utumishi wa uma kwa kusingizwa kuwa hawana cheti cha form four.
- Vijana wengi kukatika kwa biashara hivyo kuwa maskini wa kutupwa, hili kundi halitampa kura mh Magufuri
- Balozi za nje hazijafurahishwa na uamzi wa Mh Rais kuangalia kwa undani bishara ya Madini na Gesi hivyo kuamua kufadhili upinzani
- Makampuni ya simu kukaguliwa miamala yao ili kulipa kodi stahidi hawajafurahishwa na Mh Magufuri kufanya hayo hivyo kuanza kampeni za kusapoti CHADEMA
- Sekta binafisi kunyimwa tenda ya kujenga Hostel za UDSM na majengo mengine lakini pia kitendo cha serikali kupunguza safari kwa wafanyakazi wa serikali kumepelekea Serikali kufanya wafanyakazi washindwe kuspendi hivyo kufanya sekta binafsi kukoswa pesa kama dhamani hivyo wanaona CHADEMA ambayo tunajipambanua kuhakikisha kila anayeharibikiwa sasa atarudishiwa uchumi kama zamani kama suluhisho.
- SISI CHADEMA TUNAAMINI KWA KILA MTU KUTUMIA FURSA ILIYOPO HIVYO KAMA TUKIPEWA DOLA 2020 HAYA YANAYOTOKEA SASA YOTE TUTAYAFUTA NA WALIFUKUZWA KAZI WATARUDISHWA KWENYE NAFASI ZAO KAMA ZAMANI. WAFANYABIASHARA WATANZA KUFAIDI KAMA ZAMANI IKIWA PAOMJA NA WAFANYAKAZI WA SERIKALI NK.
Haitakuja kuna kutokea CDM kupata kura nyingi tena! 2020 watapotea kabisa. Kwanza hawana MgombeaEndelea kuamini hivyo!!!! Nilicho andika ni kwamba hakuna ushindi ulio laini. Kama ni 2020 au 2055 kazi iko kwao.
Endelea kuamini hivyo!!!Haitakuja kuna kutokea CDM kupata kura nyingi tena! 2020 watapotea kabisa. Kwanza hawana Mgombea
Chadema isahau kabisa hiloEndelea kuamini hivyo!!!