Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 20,684
- 20,439
Ngoja tumalize hili la Acacia, usiwatoe watu kwenye mstari. Huu mtindo wa kuunda tume halafu kuliacha jambo hewani na kuleta lingine ndio unalea madudu yote hayo. Huko Buzwagi iundwe tume lakini hili la vigogo wa CCM kuliibia taifa lisibakizwe hewaniNitoe wito kwa Rais Magufuli. Usirudi nyuma. Pambana na kila aliyehusika na baada ya hapo tutakuwa salama. Upo ushahidi wa wazi wa Lowasa kuhusika kwenye maskandali mengi hapa nchini. Suala la IPTL na uuzwaji wa mgodi wa Buzwagi. Ushahidi upo na hakuna mahala Lowasa ataponea. Hizi mbeleko za Lowasa kwa Rais Magufuli kwa sasa ni too late.