Recent content by Demimi

  1. Demimi

    Wanaopinga uwepo wa Mungu ni wakaidi

    Umeandika Nimekuelewa sana ndugu .. Ila najarbu kuishi na ndugu zangu kwa kuwaelewa wanachokosea .. na na kuishi kwenye changu ambacho sikijui .. WELCOME
  2. Demimi

    Wanaopinga uwepo wa Mungu ni wakaidi

    Wote mnafurahia maisha kabisa hapo Mmoja anaamin mmoja haamini .. Kila mtu anafurahia kutoamini .. upande wa mwenzake .. maana Kila mtu ana hoja anazozimini yeye... YEYE alietuumba ananifurahisha sana... Nayapenda maisha alio nipatia maana nayapenda ninavyopendezwa na vile watu ambao...
  3. Demimi

    Kifo kinakuzuia au kinakulazimisha kufanya nini?

    Ule mda wewe unazaliwa , ukizaliwa tu. Ile thamani ulionza kujipa kabla hujafa, hio ndo ukizaliwa unaanza nayo katika familia iliokuzaa.. HUJACHELEWA KABISA
  4. Demimi

    Biashara ya nguo za watoto za mitumba

    Unaweza kupata kwetu bo 1900 tunauza Ila kuanzia PC 50 Tunauza sketi za watoto tu uzuri wetu ni kwamba unaweza badilisha mzigo mfano Umechukua PC 100 umeuza 75 ... Zile 25 ZILOBAKI unaruhusiwa kurudisha na ukachukua 25 zingine ambazo ni Aina ya wateja wako wanazo penda .. karbu sana
  5. Demimi

    Biashara ya nguo za mitumba za watoto

    1900 tunauza Ila kuanzia PC 50 Ni sketi za watoto tu miaka 2 mpaka 12 Unaweza kurud kubadilisha mzigo mfano umechukua PC 200 ukauza 150 .. unakuja na zile 50 zilizobaki unachagua nzuri zaidi Tupo karbu sana
  6. Demimi

    Ufafanuzi kuhusiana na namba 666

    ***** nmekuelewa sana
  7. Demimi

    Kama unatamani kufanya Biashara za Sketi za watoto za mtumba na huna Mtaji nafasi yako hii

    KIJANA MTAFUTAJI: Kama unatamani kufanya Biashara za Sketi za mtumba na hauna mtaji njoo ofisini. WEKA NAMBA YAKO YA WHAT'S AAP INBOX YANGU, UWE DAR ES SALAAM Ila kwa wateja wa mikoani tunauza moja kwa moja. Utapewa Skert nzuri kwa Bei ya 1900 kwa kukopeshwa .. nawewe utauza mpaka 4500...
  8. Demimi

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nahitaji kupewa ushauri kabla ya kuanza Nyie ndo mtanipa ushauri kabla sjaingia Kwakua mnajua sara Nataka nitafute vijana wa 3 Niwakodie nyumba Kisha nianze kazi yao iwe ni kila mmoja anabet team moja tu kwa siku ambayo Ambayo ndo itakua kazi yake kila siku Kufukuzwa kaz ni kuloss mech...
  9. Demimi

    List ya Movies ambazo smart people wataziona zipo More interesting

    The Triangle , Tenet , butterfly effect , Shawshank redemption , predestination , interstellar ,
  10. Demimi

    Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

    Tumeni na picha za bidhaa hususan nguo ,nguo kila fashion ina bei zake
  11. Demimi

    Nahitaji kufahamu vitu muhimu vinavyohitajika katika biashara ya nguo

    Unaopoanza biasharab unanza na wastani ,,Biashara ya nguo ni biashara ambayo inahitaji flam ya location na sio wing wa mavazi yan nikimaniisha kuwa ukuweka milion 20 dukan wakati fashion inaisha miez miwili ijayo jua umeingia loss So tunachofanya hua tunakua na marafiki wa aina moja...
Back
Top Bottom