Ufafanuzi kuhusiana na namba 666

Ufafanuzi kuhusiana na namba 666

Huna uwezo wa kunichallenge wwakati wewe mwenyewe umecpoy tu kutoka katika makanisa ya watu hiyo biblia unayoitegemea tu imeandikwa na watu na hao ndio wanaondeleza hizo consipiracy theory...
Na haya unayoandika umefundishwa na watu...
 
Barcodes ni 666.
Meno corona ni 666 ukijumlisha herufi zake.
 
Kwa kuwa source yako ni Biblia acha nikusaidie kidogo, kama ni wa kusaidika na sio sikio la kufa. Nimesoma andiko lako ila inaonekana hata hujui unachokisema, umenakili mahali au umekurupuka toka mahali kuandika au tu umeamua kupotosha kwa makusudi yako.

Vyovyote iwavyo vile, acha nijaribu kukusaidia, kama ni msaidika!

Sura ya 13 ya Kitabu ulichonukuu inaongelea juu ya wanyama wawili. Kwa kuwa unamuongelea wa kwanza (mpinga Kristo) acha nibakie hapo. Kwa mwenye akili timamu, na anayetafuta kujua, sifa za huyu mnyama zipo kuanzia mstari wa kwanza kabisa:

Ufunuo 13
1 Kisha nikaona mnyama akitoka katika bahari, mwenye pembe kumi, na vichwa saba, na juu ya pembe zake ana vilemba kumi, na juu ya vichwa vyake majina ya makufuru. 2 Na yule mnyama niliyemwona alikuwa mfano wa chui, na miguu yake ilikuwa kama miguu ya dubu, na kinywa chake kama kinywa cha simba, yule joka akampa nguvu zake na kiti chake cha enzi na uwezo mwingi.

3 Nikaona kimoja cha vichwa vyake kana kwamba kimetiwa jeraha la mauti, na pigo lake la mauti likapona. Dunia yote ikamstaajabia mnyama yule. 4 Wakamsujudu yule joka kwa sababu alimpa huyo mnyama uwezo wake; nao wakamsujudu yule mnyama, wakisema, Ni nani afananaye na mnyama huyu? Tena ni nani awezaye kufanya vita naye? 5 Naye akapewa kinywa cha kunena maneno makuu, ya makufuru. Akapewa uwezo wa kufanya kazi yake miezi arobaini na miwili.

6 Akafunua kinywa chake amtukane Mungu, na kulitukana jina lake, na maskani yake, nao wakaao mbinguni. 7 Tena akapewa kufanya vita na watakatifu na kuwashinda, akapewa uwezo juu ya kila kabila na jamaa na lugha na taifa. 8 Na watu wote wakaao juu ya nchi watamsujudu, kila ambaye jina lake halikuandikwa katika kitabu cha uzima cha Mwana-Kondoo, aliyechinjwa tangu kuwekwa misingi ya dunia.

9 Mtu akiwa na sikio na asikie.

Sasa kama una sikio nadhani umesikia. Mtu ambaye kichwa kimejaa makufuru, anapewa uwezo na shetani, anasimamia enzi ya shetani, dunia nzima inamsujudia kana kwamba ni mungu, anamtukana Mungu na kuua watu wa Mungu, huyo sio mtu muovu, ila ni taswira iliyojengwa blah, blah? Kama una sikio la kusikia basi naamini umesikia!

Ufunuo 20
11 Kisha nikaziona mbingu zimefunuka, na tazama, farasi mweupe, na yeye aliyempanda, aitwaye Mwaminifu na Wa-kweli, naye kwa haki ahukumu na kufanya vita. 12 Na macho yake yalikuwa kama mwali wa moto, na juu ya kichwa chake vilemba vingi; naye ana jina lililoandikwa, asilolijua mtu ila yeye mwenyewe. 13 Naye amevikwa vazi lililochovywa katika damu, na jina lake aitwa, Neno la Mungu. 14 Na majeshi yaliyo mbinguni wakamfuata, wamepanda farasi weupe na kuvikwa kitani nzuri, nyeupe, safi. 15 Na upanga mkali hutoka kinywani mwake ili awapige mataifa kwa huo. Naye atawachunga kwa fimbo ya chuma, naye anakanyaga shinikizo la mvinyo ya ghadhabu ya hasira ya Mungu Mwenyezi. 16 Naye ana jina limeandikwa katika vazi lake na paja lake, MFALME WA WAFALME, NA BWANA WA MABWANA.
Mnyama na Jeshi lake Washindwa

17 Kisha nikaona malaika mmoja amesimama katika jua; akalia kwa sauti kuu, akiwaambia ndege wote warukao katikati ya mbingu, Njoni mkutane kwa karamu ya Mungu iliyo kuu; 18 mpate kula nyama ya wafalme, na nyama ya majemadari, na nyama ya watu hodari, na nyama ya farasi na ya watu wawapandao, na nyama ya watu wote, waungwana kwa watumwa, wadogo kwa wakubwa.

19 Kisha nikamwona huyo mnyama, na wafalme wa nchi, na majeshi yao, wamekutana kufanya vita na yeye aketiye juu ya farasi yule, tena na majeshi yake. 20 Yule mnyama akakamatwa, na yule nabii wa uongo pamoja naye, yeye aliyezifanya hizo ishara mbele yake, ambazo kwa hizo aliwadanganya watu wale walioipokea ile chapa ya huyo mnyama, nao walioisujudia sanamu yake; hao wawili wakatupwa wangali hai katika lile ziwa la moto liwakalo kwa kiberiti; 21na wale waliosalia waliuawa kwa upanga wake yeye aliyeketi juu ya yule farasi, upanga utokao katika kinywa chake. Na ndege wote wakashiba kwa nyama zao.

Hii sura ni mwisho wa wanyama hawa wawili. Kristo original anapokuja, kwenye vita kuu kule Meggido, mpinga kristo anaongoza vita dhidi ya Kristo. Kwa mujibu wa Biblia, ambayo ndio chanzo chako, Masihi ndio starring. Hapa jamaa wanatupwa kwenye ziwa la moto, kabla hata ya shetani. That's how bad this dictator is going to be. Shetani atawa join miaka 1,000 baadaye.

Pasipo na shaka, huyu mpinga Kristo kwa mujibu wa Biblia ambacho ndio chanzo chako, ni mtu muovu sana. Na ameelezewa vizuri sana tabia zake na atakayoyafanya. Na kwa sababu hiyo, bandiko lako ni la uongo.

Nimesoma sehemu iliyobakia ya andiko lako, umejichanganya tu. Inawezekana kabisa hata hiyo Biblia sio msomaji. Maana si kwa kupuyanga huko!

Kwa akili zako unadhani kuna mnyama kama huyo uliye muelezea hapo? Unadhani miaka yote huyo mnyama mwenye descriprion kama hiyo hajawahi kutokea wala kuonekana. Jikite kwenye mada yangu mkuu hicho ni kitisho tuu ili kuficha ukweli the whole system of religion utaangushwa na anti christ ambaye nyie mme mpa lebo ya kuwa mnyama mbaya.

Mpka sasa ni miaka zaidi ya 2000 na hakuna utabiri wowote wa biblia uliotimia na kuwa kweli. Lugha iliyotumika hapo ni alegory tuu. Wewe huujui ukristo kama unavyodhani na wala kitabu cha biblia hukijui wala sio kwa ajili yako wala waumini wenzako. Ni kitabu cha watu wachache wenye lengo ovu la kuwapa watu illussion ya kusubiri mwokozi kuficha ukweli kuwa hakuna yoyote atakaye kuwa mwokozi wako isipokiwa wewe.

Hofu yao watu wa dini ni kwamba ipo siku mtu mmoja atazaliwa na baba na mama wenye asili ya kidunia (earth born) ambaye atakuwa msaada mkubwa kwa wanadamu. Huyo mtu amesha pewa sifa mbaya sana. Na huyo mtu anti christ hatakuwa na nguvu wala miujiza yoyote wala hatajitamba yeye ni mungu au mwokozi.
 
Yes it is. The man is writing something that he seems to understand not. The whole post is like headless chicken!

You just angry of being exposed. Hapo nimeandika mambo mengi lakini unauliza maswali ambayo ni pointless.
 
Barcodes ni 666.
Meno corona ni 666 ukijumlisha herufi zake.


Huo sio mtandao mkuu ni hii dunia nzima ni 666 ambao kuna nguvu sita ndio wana mamlaka ya dunia hii. Dunia zipo nyingi ambazo ni 111,222,333,444,555,666,777,888,999. Siri ya dunia ni namba 3,6,9 unajua maana yake? Nikolas tesla alishasema siri ya ulimwengu ni namba 369. Nimekuwekea fumbo hapo fungua kama wewe ni mtu wa maarifa achana na ushuhuda sometimes wanachanganya ukweli na uongo.
 
Huo sio mtandao mkuu ni hii dunia nzima ni 666 ambao kuna nguvu sita ndio wana mamlaka ya dunia hii. Dunia zipo nyingi ambazo ni 111,222,333,444,555,666,777,888,999. Siri ya dunia ni namba 3,6,9 unajua maana yake? Nikolas tesla alishasema siri ya ulimwengu ni namba 369. Nimekuwekea fumbo hapo fungua kama wewe ni mtu wa maarifa achana na ushuhuda sometimes wanachanganya ukweli na uongo.
Nipe Siri ya 369
 
You have no body in this earth hence you have no power. I am the most high chosen one. Huna mwili unafanya kazi kupitia NPC empty soul. I am the most high chosen one you got no power over me. I dont follow the bible teachings. And if you think nilivyoandika hapo ni vitu vya uongo prove me rwong. I dont follow mila ninazojua umezianzisha wewe. Huna mamlaka. I am a very rare humim earth born from a rock you dont even know where to find it. Prove me rwong. Nina siri nyingi sana kuhusiana na wewe i just drop it slowly so you can feel it.
dah! hii bangi umevuta ni gani?
 
Leo sita andika mada ndefu bali nitatoa ufafanuzi mfupi kuhusiana na hii namba ya mnyama 666. Nitatumia mstari ulioipa umaarufu mkubwa hii namba kutoka katika kitabu cha biblia.

Namba ya mnyama inayotajwa katika Ufunuo 13:18 humrejea Mpinga-Kristo. Ambapo pia kuna upotoshaji mkubwa sana kuhusiana na mpinga kristo kuonekana ni mtu muovu au kiumbe muovu na kumfananisha mpinga kristo na shetani. Hii sio kweli watu wengi wamefungwa macho na kujenga taswira mbaya kuhusu mpinga kristo lakini leo nitaweka machache kuhusu mpinga kristo ili watu wajue ukweli.

Katika nakala nyingi za mstari huo, namba hiyo ni 666 ambamo Maneno yenyewe ya kitabu hicho cha biblia ni ni haya: "Hapa ndipo penye hekima. Yeye aliye na akili, na aihesabu hesabu ya mnyama huyo; maana ni hesabu ya kibinadamu. Na hesabu yake ni mia sita, sitini na sita."

Sasa basi ngoja nikufungue akili kidogo ili ufahamu ni wapi ulipodanganywa toka upo madrasa na sunday school. Mwili wa mwanadamu ni Carbon Body umekamilishwa na vitu vitatu ambavyo ni 6 Protons, 6 electrones pamoja na 6 Neutrons hii kila mtu anajua kwaiyo mwili wa mwanadamu ndio mwili wa beast au Mnyama. Nakupa hekima leo ujue kuwa hapa ndipo penye hekima hesabu ya mnyama huyo ni 666 ikimaanisha 6 neutrons na 6 electrons pamoja na 6 neutrons.

Lugha yetu ya kiswahili sio lugha ya knowledge au maarifa lugha zenye nguvu za kiroho hapa duniani ni chache sana kama kigiriki, kiyahudi, kiaramaiki na kiingereza kwa mbali hivyo nitatumia lugha ya kiingereza kwa uchache ili mtu aweze kuelewa.

Toka ukiwa mtoto umeshawahi kufundishwa kuwa utaenda motoni ukifanya dhambi mf kuiba au kuzini hizo ndio zambi zao kuu. Lakini hapa nakufundisha motoni ni wapi. Helios ni neno la kigiriki lenye maana ya jua au Sun kwa akili ya haraka haraka Sunday manake ni siku ya jua ambapo mungu jua Helios huabudiwabhivyo tuko motoni hapa duniani na moto huo ni jua au mungu jua ndio mtawala wa hii dunia.

Helios huabudiwa hapa dunian ndio maana kuna Sun of God au imefichwa na kuwekwa son of god alafu ukiangalia picha ya yesu kwa nyuma kuna picha ya jua. Ukitazama picha ya yesu nyuma yake kuna jua au kichwani kwake kazungukwa na mwanga flani ki occult huo mwanga unaitwa Halo.Halo maana yake ni jua kwaiyo wewe ukienda kusali jumapili unaenda kusali kwa mungu jua.

Kitabu cha waislamu qurani kina jumla ya sura 114 na jumla ya aya 6666. Kumbuka 1+1+4=6. Hawa watu wamewateka wanadamu na kuwaaminisha wamuabudu mungu wa uongo. Sikulazimishi ubadilishe imani yako bali mwenye macho haambiwi tazama.

Turudi kwenye mada na tusitoke nje ya mada. Dakika moja ina sekunde 60, lisaa limoja lina dakika 60 na pia siku moja ina masaa 24 (2+4=6) hivyo kila jua linapochomoza na kuzama dunia inazungukia kwenye namba 666 hiyo ni namba ya mnyama bunadamu.

Mfano mwingine ukisoma saa kwa kiswahili mfano saa 12 kamili itasomeka 12:00 lakini ukisoma saa hiyo hiyo kwa kizungu itasomeka 6:00. Chukua 12 toa 6 itabaki 6. Mfano mwingine saa 3:00 kwa kiswahili ila kwa kizungu inasomeka 9:00 chukua 9 toa 3 itabaki 6. Dunia hii inaongozwa na namba 666.

Kila siku ya mungu wanadamu tuahangaika kutafuta pesa chini ya alama ya mnyama 666 kwa kingereza asili ya neno Money ni Moon. Hivo basi hapa duniani tupo hell au motoni na tunaongozwa na vitu viwili mwezi au moon na jua au sun dini zote kubwa mbili zinaabudu kimoja wapo. Wakristo wanaabudu Jua na waislamu wanaabudu Mwezi. Rejea miungu ya kiarabu ya Allat, Manat na Al Uza ndio utajua ukweli wa Al Kaba.

Hii syatem ya kidunia inaitwa matrix ambayo kila kitu kina kuwa controlled na jua pamoja na mwezi. Kila unachogusa lazima kiwe na uhusiano na jua iwe wanyama, mimea, mvua yani kila kitu ni Jua na Mwezi.

Tuguse kido kwa upande wa anti christ . watu wenye imani za kidini wamejengewa hofu ya kumuogopa anti christ na kumfananisha na shetani kitu ambacho sio kweli. Mfano wayahudi Walimkataa yesu na kumuita nabii wa uongo na mpaka sasa hivi wayahudi wanamsubiri nabii wa ukweli ambaye bado hajazaliwa.

Hivyo hivyo anti christ au moinga kristo ni mwanadamu tu wa kawaida ambaye atatokea kuwafungua watu akili na kuwaonyeaha ukweli wa kidunia na the most high god lakini atashambuliwa sana na watu wa dini na ata uawa bila kusahau anti christ atajengewa picha mbaya na vyombonvya habari kiwa ni shetani kumbe yeye ndio mkombozi wa yote.

Baada ya mpinga kristo kufungua watu akili kuhusiana na imani za dini na asilimia kunwa ya watu wa duniani watamkataa na kumuua ndipo atatokea nabii mwingine wa uongo na atajiita yeye ni yesu na amekuja kuwamwokozi.

Watu watamfata huyo yesu wakidhani ni mtu mzuri kumne ndio atawapoteza kwenye pandemonia World na kiwa watumwa wa nafsi maisha yao yote na hawatapata nafasi ya kuwa re-incarnated kurudia maisha yaonili kirekebisha makosa yao.

Angalizo ni kwamba anti krist ndio nabii wa ukweli na watu watamkataa na kumuua baada ya kuuliwa kwake atatokea nabii mwingine atajiita yesu au jesua au issa bin mariam ataziunganisha dini za kiislamu na kikristo kuwa kitu kimoja na atatawala dunia nzima kwa mkono wa chuma kwa yeyeto atakaye mpinga.

Huu ninufunuo chukua ulichokiona kina kufaaa mengine achana nayo. Huu ni ukumbusho kwa wenye akili.
Apa panaitaji maelezo zaidi kama hutojali protons 6 electrones 6 neutrons 6
 
You have no body in this earth hence you have no power. I am the most high chosen one. Huna mwili unafanya kazi kupitia NPC empty soul. I am the most high chosen one you got no power over me. I dont follow the bible teachings. And if you think nilivyoandika hapo ni vitu vya uongo prove me rwong. I dont follow mila ninazojua umezianzisha wewe. Huna mamlaka. I am a very rare humim earth born from a rock you dont even know where to find it. Prove me rwong. Nina siri nyingi sana kuhusiana na wewe i just drop it slowly so you can feel it.
***** nmekuelewa sana
 
Leo sita andika mada ndefu bali nitatoa ufafanuzi mfupi kuhusiana na hii namba ya mnyama 666. Nitatumia mstari ulioipa umaarufu mkubwa hii namba kutoka katika kitabu cha biblia.

Namba ya mnyama inayotajwa katika Ufunuo 13:18 humrejea Mpinga-Kristo. Ambapo pia kuna upotoshaji mkubwa sana kuhusiana na mpinga kristo kuonekana ni mtu muovu au kiumbe muovu na kumfananisha mpinga kristo na shetani. Hii sio kweli watu wengi wamefungwa macho na kujenga taswira mbaya kuhusu mpinga kristo lakini leo nitaweka machache kuhusu mpinga kristo ili watu wajue ukweli.

Katika nakala nyingi za mstari huo, namba hiyo ni 666 ambamo Maneno yenyewe ya kitabu hicho cha biblia ni ni haya: "Hapa ndipo penye hekima. Yeye aliye na akili, na aihesabu hesabu ya mnyama huyo; maana ni hesabu ya kibinadamu. Na hesabu yake ni mia sita, sitini na sita."

Sasa basi ngoja nikufungue akili kidogo ili ufahamu ni wapi ulipodanganywa toka upo madrasa na sunday school. Mwili wa mwanadamu ni Carbon Body umekamilishwa na vitu vitatu ambavyo ni 6 Protons, 6 electrones pamoja na 6 Neutrons hii kila mtu anajua kwaiyo mwili wa mwanadamu ndio mwili wa beast au Mnyama. Nakupa hekima leo ujue kuwa hapa ndipo penye hekima hesabu ya mnyama huyo ni 666 ikimaanisha 6 neutrons na 6 electrons pamoja na 6 neutrons.

Lugha yetu ya kiswahili sio lugha ya knowledge au maarifa lugha zenye nguvu za kiroho hapa duniani ni chache sana kama kigiriki, kiyahudi, kiaramaiki na kiingereza kwa mbali hivyo nitatumia lugha ya kiingereza kwa uchache ili mtu aweze kuelewa.

Toka ukiwa mtoto umeshawahi kufundishwa kuwa utaenda motoni ukifanya dhambi mf kuiba au kuzini hizo ndio zambi zao kuu. Lakini hapa nakufundisha motoni ni wapi. Helios ni neno la kigiriki lenye maana ya jua au Sun kwa akili ya haraka haraka Sunday manake ni siku ya jua ambapo mungu jua Helios huabudiwabhivyo tuko motoni hapa duniani na moto huo ni jua au mungu jua ndio mtawala wa hii dunia.

Helios huabudiwa hapa dunian ndio maana kuna Sun of God au imefichwa na kuwekwa son of god alafu ukiangalia picha ya yesu kwa nyuma kuna picha ya jua. Ukitazama picha ya yesu nyuma yake kuna jua au kichwani kwake kazungukwa na mwanga flani ki occult huo mwanga unaitwa Halo.Halo maana yake ni jua kwaiyo wewe ukienda kusali jumapili unaenda kusali kwa mungu jua.

Kitabu cha waislamu qurani kina jumla ya sura 114 na jumla ya aya 6666. Kumbuka 1+1+4=6. Hawa watu wamewateka wanadamu na kuwaaminisha wamuabudu mungu wa uongo. Sikulazimishi ubadilishe imani yako bali mwenye macho haambiwi tazama.

Turudi kwenye mada na tusitoke nje ya mada. Dakika moja ina sekunde 60, lisaa limoja lina dakika 60 na pia siku moja ina masaa 24 (2+4=6) hivyo kila jua linapochomoza na kuzama dunia inazungukia kwenye namba 666 hiyo ni namba ya mnyama bunadamu.

Mfano mwingine ukisoma saa kwa kiswahili mfano saa 12 kamili itasomeka 12:00 lakini ukisoma saa hiyo hiyo kwa kizungu itasomeka 6:00. Chukua 12 toa 6 itabaki 6. Mfano mwingine saa 3:00 kwa kiswahili ila kwa kizungu inasomeka 9:00 chukua 9 toa 3 itabaki 6. Dunia hii inaongozwa na namba 666.

Kila siku ya mungu wanadamu tuahangaika kutafuta pesa chini ya alama ya mnyama 666 kwa kingereza asili ya neno Money ni Moon. Hivo basi hapa duniani tupo hell au motoni na tunaongozwa na vitu viwili mwezi au moon na jua au sun dini zote kubwa mbili zinaabudu kimoja wapo. Wakristo wanaabudu Jua na waislamu wanaabudu Mwezi. Rejea miungu ya kiarabu ya Allat, Manat na Al Uza ndio utajua ukweli wa Al Kaba.

Hii syatem ya kidunia inaitwa matrix ambayo kila kitu kina kuwa controlled na jua pamoja na mwezi. Kila unachogusa lazima kiwe na uhusiano na jua iwe wanyama, mimea, mvua yani kila kitu ni Jua na Mwezi.

Tuguse kido kwa upande wa anti christ . watu wenye imani za kidini wamejengewa hofu ya kumuogopa anti christ na kumfananisha na shetani kitu ambacho sio kweli. Mfano wayahudi Walimkataa yesu na kumuita nabii wa uongo na mpaka sasa hivi wayahudi wanamsubiri nabii wa ukweli ambaye bado hajazaliwa.

Hivyo hivyo anti christ au moinga kristo ni mwanadamu tu wa kawaida ambaye atatokea kuwafungua watu akili na kuwaonyeaha ukweli wa kidunia na the most high god lakini atashambuliwa sana na watu wa dini na ata uawa bila kusahau anti christ atajengewa picha mbaya na vyombonvya habari kiwa ni shetani kumbe yeye ndio mkombozi wa yote.

Baada ya mpinga kristo kufungua watu akili kuhusiana na imani za dini na asilimia kunwa ya watu wa duniani watamkataa na kumuua ndipo atatokea nabii mwingine wa uongo na atajiita yeye ni yesu na amekuja kuwamwokozi.

Watu watamfata huyo yesu wakidhani ni mtu mzuri kumne ndio atawapoteza kwenye pandemonia World na kiwa watumwa wa nafsi maisha yao yote na hawatapata nafasi ya kuwa re-incarnated kurudia maisha yaonili kirekebisha makosa yao.

Angalizo ni kwamba anti krist ndio nabii wa ukweli na watu watamkataa na kumuua baada ya kuuliwa kwake atatokea nabii mwingine atajiita yesu au jesua au issa bin mariam ataziunganisha dini za kiislamu na kikristo kuwa kitu kimoja na atatawala dunia nzima kwa mkono wa chuma kwa yeyeto atakaye mpinga.

Huu ninufunuo chukua ulichokiona kina kufaaa mengine achana nayo. Huu ni ukumbusho kwa wenye akili.
Dunia imejaa porojo aiseeee
 
Back
Top Bottom