Biashara ya nguo za watoto za mitumba

honey bee

Senior Member
Nov 23, 2021
139
231
Habari za muda huu Wana jamii forums,

Naomba kuuliza kuhusu biashara ya kutembeza nguo za mitumba za watoto majumbani inalipa?

Na kwa hapa Dar niwapi naweza kupata robota kwa bei nafuu? Na ni maeneo Gani ambayo naweza kutembeza biashara yangu?

Na ni faida kiasi Gani nitatengeneza kwa siku? Na zipi ni changamoto za biashara hii? Vipi kuhusu mtaji wake??

Kwa wenye uzoefu na kazi hii msaada wenu tafadhari!!

Nawasilisha!!
 
Hii biashara inalipa kama utakua mzurulaji mzuri ,Kama wahitaji balo basi jitahidi kupata mjuzi wa kuchagua balo zuri ili usile hasara ,au kama unauwezo nunua balo mbilimbili ili uweze ku-balance faida na hasara, maana kupata balo zuri huwa ni bahati nasibu .
Vinginevyo anza kwa ku-point( 1500 - 5000 ) kwa nguo kwakuwa ni uhakika kupata mzigo mzuri unaoupenda na rahisi kuuzika kuendana na wateja wako.

Ukishindwa kabisa nenda ilala kanunue balo za kufungua ,utachagua mzigo kuendana na uzuri wa nguo unazoziona hakuna kubahatisha ,ila mapungufu yake ni kwamba : lazima uchukue mzigo wote mixer lonya na nguo nzuri, mara nyingi bei huwa ni 300 - 500 kwa nguo moja .

Balo la nguo za watoto bei huwa ni 550,000 - 900,000 ,ukipata muuzaji mzuri wa balo za kueleweka utaipenda biashara yako vinginevyo utaikosa pesa ya mtaji mchana kweupee
 
Hii issue Niko naifanya though sijaanza zamani sana, hiko hivi kuna kufungua balo (mzigo unakua hujui jinsi ulivyo) kuna balo za bei ndogo mpaka za laki 9 magauni ya kike. ili upate mchanganyiko mzuri inabidi ukate balo kuanzia 2_3. Njia ya pili kama alivyosema miss IQ wanaita kushusha mzigo bandani, wakishafungua balo wanauza zile Kali (wanawauzia kwa wale wanaopoint) then wanatundika bandani sasa wanawasubiria wale wa jumla mnaelewana kuhusi bei inaweza kua 300_900 kwa kila nguo, nguo ya 300 au 400 mpaka 500 sio nguo nyingine zinakua ronya, lakini ukipata wa 700-900 nguo zinakua nyingi japo ronya pia ziko nyingi sana.

Nguo zinazoenda sana na ambazo zinawahi kuisha ni za watoto wa kiume pensi, T-shirt n.k

Changamoto.

Unaweza shusha bandani mzigo wa laki 7 au laki 5 au laki 6 changamoto ya kwanza ni kurudisha hela yako kwanza nguo zuri lazima zitatoka zitabaki zile ronya na ajabu faida yako ndio hipo humo so itakulazimu upunguze bei hadi 500 ili upate faida yako humo.
 
Hii biashara inalipa kama utakua mzurulaji mzuri ,Kama wahitaji balo basi jitahidi kupata mjuzi wa kuchagua balo zuri ili usile hasara ,au kama unauwezo nunua balo mbilimbili ili uweze ku-balance faida na hasara, maana kupata balo zuri huwa ni bahati nasibu .
Vinginevyo anza kwa ku-point( 1500 - 5000 ) kwa nguo kwakuwa ni uhakika kupata mzigo mzuri unaoupenda na rahisi kuuzika kuendana na wateja wako.

Ukishindwa kabisa nenda ilala kanunue balo za kufungua ,utachagua mzigo kuendana na uzuri wa nguo unazoziona hakuna kubahatisha ,ila mapungufu yake ni kwamba : lazima uchukue mzigo wote mixer lonya na nguo nzuri, mara nyingi bei huwa ni 300 - 500 kwa nguo moja .

Balo la nguo za watoto bei huwa ni 550,000 - 900,000 ,ukipata muuzaji mzuri wa balo za kueleweka utaipenda biashara yako vinginevyo utaikosa pesa ya mtaji mchana kweupee
Kwani kwa mtaji wa 200,000 siwezi Fanya hii biashara!! Kama inawezekana,nifuate hatua zipi?
 
Hii issue Niko naifanya though sijaanza zamani sana, hiko hivi kuna kufungua balo (mzigo unakua hujui jinsi ulivyo) kuna balo za bei ndogo mpaka za laki 9 magauni ya kike. ili upate mchanganyiko mzuri inabidi ukate balo kuanzia 2_3. Njia ya pili kama alivyosema miss IQ wanaita kushusha mzigo bandani, wakishafungua balo wanauza zile Kali (wanawauzia kwa wale wanaopoint) then wanatundika bandani sasa wanawasubiria wale wa jumla mnaelewana kuhusi bei inaweza kua 300_900 kwa kila nguo, nguo ya 300 au 400 mpaka 500 sio nguo nyingine zinakua ronya, lakini ukipata wa 700-900 nguo zinakua nyingi japo ronya pia ziko nyingi sana.

Nguo zinazoenda sana na ambazo zinawahi kuisha ni za watoto wa kiume pensi, T-shirt n.k

Changamoto.

Unaweza shusha bandani mzigo wa laki 7 au laki 5 au laki 6 changamoto ya kwanza ni kurudisha hela yako kwanza nguo zuri lazima zitatoka zitabaki zile ronya na ajabu faida yako ndio hipo humo so itakulazimu upunguze bei hadi 500 ili upate faida yako humo.
Kwani kwa TSH 200,000 siwezi Fanya hii biashara?
Kama inawezekana nifuate hatua zipi!?
 
Unaweza kupata kwetu bo
Habari za muda huu Wana jamii forums,

Naomba kuuliza kuhusu biashara ya kutembeza nguo za mitumba za watoto majumbani inalipa?

Na kwa hapa Dar niwapi naweza kupata robota kwa bei nafuu? Na ni maeneo Gani ambayo naweza kutembeza biashara yangu?

Na ni faida kiasi Gani nitatengeneza kwa siku? Na zipi ni changamoto za biashara hii? Vipi kuhusu mtaji wake??

Kwa wenye uzoefu na kazi hii msaada wenu tafadhari!!

Nawasilisha!!
1900 tunauza Ila kuanzia PC 50
Tunauza sketi za watoto tu uzuri wetu ni kwamba unaweza badilisha mzigo mfano Umechukua PC 100 umeuza 75 ... Zile 25 ZILOBAKI unaruhusiwa kurudisha na ukachukua 25 zingine ambazo ni Aina ya wateja wako wanazo penda .. karbu sana
 
Habari za muda huu Wana jamii forums,

Naomba kuuliza kuhusu biashara ya kutembeza nguo za mitumba za watoto majumbani inalipa?

Na kwa hapa Dar niwapi naweza kupata robota kwa bei nafuu? Na ni maeneo Gani ambayo naweza kutembeza biashara yangu?

Na ni faida kiasi Gani nitatengeneza kwa siku? Na zipi ni changamoto za biashara hii? Vipi kuhusu mtaji wake??

Kwa wenye uzoefu na kazi hii msaada wenu tafadhari!!

Nawasilisha!!
Mkuu nakushauri usinunue robota maana nikama kucheza kamali vile yaani kubahatisha unaweza kuta manguo mabaya yakakupa hasara

Ushauri wangu kwako ni huu amka mapema nenda wanapo fungua ayo marobota chagua moja moja.
 
Unaweza kupata kwetu bo

1900 tunauza Ila kuanzia PC 50
Tunauza sketi za watoto tu uzuri wetu ni kwamba unaweza badilisha mzigo mfano Umechukua PC 100 umeuza 75 ... Zile 25 ZILOBAKI unaruhusiwa kurudisha na ukachukua 25 zingine ambazo ni Aina ya wateja wako wanazo penda .. karbu sana
Uko wapi boss
 
Back
Top Bottom