Recent content by delako

  1. D

    Sijui nifanyaje: Kuna dada nimempa ujauzito lakini sina mpango nae. Nawaza bwana ake akijua sijui itakuaje

    We bado ni mtoto sana,Yani unasema nyapu ni ile ile khaaaaaaaa..Haujakutana na mafundi wewe
  2. D

    Mke mwema anatoka kwa Bwana sasa kwanini asiwe na bikira yake?

    Bikra ya nini??anatakiwa aje akiwa na uzoefu ndoa sio BIKRA..
  3. D

    Naomba msaada na ushauri katika suala hili wana JamiiForums

    Hapa Jf hautapata majibu yenye uhakika,Cha kufanya nenda naye hospital akacheki then utajua nini ufanye nje ya hapo ni kusadikika tu..Na ukimpa pesa akacheki peke yake anaweza akakupiga tukio la kukuambia ana ujauzito na hataki kuzaa kwa sasa so umpe pewa akatoe ukimpa umeliwa.. UNA UMRI GANI??
  4. D

    Baraza la Vyama vya Siasa lakutana Morogoro, CHADEMA hawakuhudhuria

    Wangeudhuria tungeshangaa sana maana CHADEMA HAIJAWAI KUYUMBISHWA KISA TU VIPOSHO VYA KODI ZETU
  5. D

    Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Huo Unono ndio kiwango gani??Yamkini hata mimi nalipwa mshahara mnono
  6. D

    Amefika benki na kukuta deni ambalo halifahamu

    Nitacomment kesho baada ya hayo majibu Ila jamaa anadaiwa na bank nyingine
  7. D

    Tusio na nguvu za kiume tukutane hapa tupeana moyo na ushauri

    Acha kujichua..Ondoa hyo kwenye brain yako ila ukijikubali kuwa huna nguvu za kiume basi umekwisha.. Amini ilo ni pepo tu na like meeting then tafuta pesa,tafuta pisi nzuri uone kama una ilo tatizo
  8. D

    Ungekuwa wewe ungefanyaje? Nahisi kupotea

    Msomi mwenye shahada unashindwa hata kujieleza...ELIMU YETU NI CHANGAMOTO NA SISI WENYEWE PIA CHANGAMOTO..Ungejieza vzr ingekuwa rahisi kupata msaada mf useme umesomea nini??matarajio yalikuwa nini?na kwanini umeanza kukata tamaa mapema.. Ukiweza achana na vyeti jiajiri biashara ndogo ndogo...
  9. D

    TBC1 kuonyesha mechi zipi AFCON 2025?

    Kama walisema hivyo basi games za Taifa stars zitakuwepo then nyingine watakuwa wanaiba
  10. D

    Nafanyaje kumsaidia mdogo wangu kukabiliana na mabadiliko ya ukuaji wake kimwili?

    Nilidhani ameanza kuota na Maziwa kumbe ni sauti tu kuwa nzito...
  11. D

    PostGE2025 Padre Kitima: Natafutwa sana ili waniue, naomba uniombee Padre Chesco

    Dini ni mtaj wa kwanza kwa watawala..maana kwenye Dini ndio tunafundishwa kumjua MUNGU na kuwa na hofu ya MUNGU..BILA DINI KUTAWALA NI KUGUMU ZAID MAANA MAASI YANGEKUWA MENGI KWENYE JAMII I mtaji wa kwanza
  12. D

    Naweza kuwa na TIN namba hata kama sina biashara?

    Jibu ni ndio,kuna TIN namba ya biashara na TIN isiyo ya biashara.. Unatengeneza mwenyewe kwenye Google kule page ya TRA ndani ya dk 5 unapata namba... HATA Wafanyakazi tulioajiriwa tunatumia TIN namba..Nami ninayo na si MFANYABIASHARA
  13. D

    Nimejiunga siku ambayo JF imefungiwa

    Stay Calm upto next 90days
  14. D

    Hii imekaaje wataalamu??

    Kuna mmoja alifanya kama huyu wako wala hakumaliza week, Nilishampelekea Moto wa kutosha tena toka 3 asubuhi mpaka 11 jioni alishanyooshwa vya kutosha... Tambua hisia zake na UJITAMBUE WEWE PIA.
Back
Top Bottom