Recent content by delako

  1. D

    JamiiForums Tanzania Anaandika Jemedari Said kuhusu sakata la Simba

    Kuweni makini sana na mapoli yaliyomo jirani wakipita tu hao jamaa wameyashusha
  2. D

    JamiiForums Tanzania Hili la kukosekana kwa huduma za kibenki NMB kwa zaidi ya saa 48 ni mateso kwa wateja

    Kuna maboresho madogo na MAKUBWA,Miezi kadhaa maboresho yalikuwa CRDB na system kuja kukaa sawa ni zaidi ya week 2...This is AFRICA
  3. D

    JamiiForums Tanzania Kuajiriwa ni utumwa

    Kuajiriwa ni utumwa na katu usitegemee kutajirika kwa kutegemea Ajira
  4. D

    JamiiForums Tanzania Ni kwanini ni vigumu kumngoja BWANA?

    Kwani alisema tumsubili??
  5. D

    JamiiForums Tanzania Mke wangu anataka kujiunga na chama fulani cha siasa. Nina hofu sana

    Mpe uhuru afanye kile akitakacho,Wivu wivu wivu hautakufikisheni popote...BE POSITIVE NA USIANGALIE JAMII INAYOWAZUNGA Hiyo jamii hakuna siku itakuja kutimiza ndoto za shemeji yetu..Kuwa naye bega kwa bega jitahidi kuwa positive kwenye ili jambo....
  6. D

    JamiiForums Tanzania Kwa wakatoliki huku parokiani kwetu ukiwa hujafunga ndoa ama wewe ni single mother/ baba ukifa hauzikwi na hata watoto wako hawabatizwi tena!

    Wanajaribu kutulazimisha ili tufunge ndoa,uku kwetu uwa kuna ubatizo wa msamaha Paroko uwa anatusaidia sana yani chaaap kwa haraka mambo yanapita vile kwenye ubatizo ila mambo mengine lazima ushiriki jumuiya na utoe michango..Ambayo ipo kama 15 hv na kila siku inaibuka mipyaaa
  7. D

    JamiiForums Tanzania Kuna kisa cha ajabu sana; Baada ya kunikopesha na kurudisha kwa wakati niripo rudi tena kukopa kagoma kabisa na kunipa sababu.

    Hiyo pesa ameshaipeleka kwenye mambo mengine au Kuna namna amehisi pesa yake haitarudi..Tafuta sehemu nyingine na kama unaweza mpaka kuweka nyumba bond
  8. D

    JamiiForums Tanzania Kwa mwezi nifanye mapenzi mara ngapi?

    Una umri gani??Kama bado kijana wa chini ya miaka 25 ni sawa ukiichakata kila siku,Yani usiku unaweka alfajiri unaweka ila ukishakuwa na majukumu yakaanza basi unaanza kupiga kistaha
  9. D

    JamiiForums Tanzania Kumbe kutafuta mtoto sio KAZI nyepesi

    Unatafuta mtoto ndani kwa mle hapati mimba unaenda kwa mchepuko umegusa leo ukirudia siku nyingine tu Imoooo
  10. D

    JamiiForums Tanzania Nawaambia wadada kuwa njia pekee ya kumtunza bwana ako, kumfurahisha na kumzuia kutoka nje ni kuwa malaya kitandani.

    Mleta mada upo sahihi sana,Yani niliwahi kuwa na binti mmoja hakuna somo alikuwa anaelewa angalau umpe moja na asubuhi haujaondoka umuongeze moja..ilikuwa ni kama diet siku 7 za week siku 30 za mwezi. Hata ukitamani nje unaanza kuwaza nikipiga tu uku nikirud kukaguliwa ni lazima hata hurudi saa...
  11. D

    JamiiForums Tanzania Orodha ya Taasisi za Umma na Binafsi zenye 'njaa kali'

    Green Acres International schools
  12. D

    JamiiForums Tanzania Nilipanda basi la usiku kulekea Bukoba, nikalala mapajani kwa mkaka, nilienjoy sana

    Hadithi ni tamu sana sema kuna vipande unaviruka,nenda straight kuwa mlivyoshuka stand kutokana na uchovu mkaenda sehemu kupumzika then jioni ndio mliachana na akakulipa elf 30
Back
Top Bottom