Recent content by delako

  1. D

    JamiiForums Tanzania Rafiki yangu wa kike anataka nimuoe, je tutakua tumefanya maamuzi sahihi?

    Kwani shule zimefungwa??
  2. D

    JamiiForums Tanzania Hii ni muhimu kwa wanywa pombe wenzangu

    Nashangaa sana,sijui aliyemuambia sisi tunapenda kuchelewa ni nan
  3. D

    JamiiForums Tanzania Mshahara wangu Tsh. 600,000, nataka nikope milioni 15 nijenge na kuongeza mtaji wa biashara, naomba ushauri

    Una umri gan? Yani maswali kwako ni mengi sana
  4. D

    JamiiForums Tanzania Mshahara wangu Tsh. 600,000, nataka nikope milioni 15 nijenge na kuongeza mtaji wa biashara, naomba ushauri

    15 Milioni ni nyingi sana ukiwa huna na haujawai kuishika, Je una kiwanja??kama unacho unataka kujenga mjini au kijijini?(Mahali kiwanja kilipo kama kipo) kujenga mjini ni gharama sana kuliko kijijini ila kujenga ni gharama.. Kama ni mtu wa starehe achana na mikopo (Starehe yaweza kuwa ya Pombe...
  5. D

    JamiiForums Tanzania Msaada kwa Mama Mjane aliyehukumiwa kifungo cha miezi sita jela kwa kosa la kununua mihogo ya wizi ya shilingi elfu kumi .

    Ina maana amehukumiwa kifungo bila sehemu ya faini??ninachojua ni kifungo cha miezi 6 kama unavyosema au faini ya shilingi kiasi fulani....Binafsi naona kuna mapungufu makubwa kwenye maelezo yako..Futatilia faini ni kiasi gani ili kilipwe
  6. D

    JamiiForums Tanzania Anaandika Jemedari Said kuhusu sakata la Simba

    Kuweni makini sana na mapoli yaliyomo jirani wakipita tu hao jamaa wameyashusha
  7. D

    JamiiForums Tanzania Hili la kukosekana kwa huduma za kibenki NMB kwa zaidi ya saa 48 ni mateso kwa wateja

    Kuna maboresho madogo na MAKUBWA,Miezi kadhaa maboresho yalikuwa CRDB na system kuja kukaa sawa ni zaidi ya week 2...This is AFRICA
  8. D

    JamiiForums Tanzania Kuajiriwa ni utumwa

    Kuajiriwa ni utumwa na katu usitegemee kutajirika kwa kutegemea Ajira
  9. D

    JamiiForums Tanzania Ni kwanini ni vigumu kumngoja BWANA?

    Kwani alisema tumsubili??
  10. D

    JamiiForums Tanzania Mke wangu anataka kujiunga na chama fulani cha siasa. Nina hofu sana

    Mpe uhuru afanye kile akitakacho,Wivu wivu wivu hautakufikisheni popote...BE POSITIVE NA USIANGALIE JAMII INAYOWAZUNGA Hiyo jamii hakuna siku itakuja kutimiza ndoto za shemeji yetu..Kuwa naye bega kwa bega jitahidi kuwa positive kwenye ili jambo....
  11. D

    JamiiForums Tanzania Kwa wakatoliki huku parokiani kwetu ukiwa hujafunga ndoa ama wewe ni single mother/ baba ukifa hauzikwi na hata watoto wako hawabatizwi tena!

    Wanajaribu kutulazimisha ili tufunge ndoa,uku kwetu uwa kuna ubatizo wa msamaha Paroko uwa anatusaidia sana yani chaaap kwa haraka mambo yanapita vile kwenye ubatizo ila mambo mengine lazima ushiriki jumuiya na utoe michango..Ambayo ipo kama 15 hv na kila siku inaibuka mipyaaa
  12. D

    JamiiForums Tanzania Kuna kisa cha ajabu sana; Baada ya kunikopesha na kurudisha kwa wakati niripo rudi tena kukopa kagoma kabisa na kunipa sababu.

    Hiyo pesa ameshaipeleka kwenye mambo mengine au Kuna namna amehisi pesa yake haitarudi..Tafuta sehemu nyingine na kama unaweza mpaka kuweka nyumba bond
  13. D

    JamiiForums Tanzania Kwa mwezi nifanye mapenzi mara ngapi?

    Una umri gani??Kama bado kijana wa chini ya miaka 25 ni sawa ukiichakata kila siku,Yani usiku unaweka alfajiri unaweka ila ukishakuwa na majukumu yakaanza basi unaanza kupiga kistaha
  14. D

    JamiiForums Tanzania Kumbe kutafuta mtoto sio KAZI nyepesi

    Unatafuta mtoto ndani kwa mle hapati mimba unaenda kwa mchepuko umegusa leo ukirudia siku nyingine tu Imoooo
Back
Top Bottom