Mpe uhuru afanye kile akitakacho,Wivu wivu wivu hautakufikisheni popote...BE POSITIVE NA USIANGALIE JAMII INAYOWAZUNGA
Hiyo jamii hakuna siku itakuja kutimiza ndoto za shemeji yetu..Kuwa naye bega kwa bega jitahidi kuwa positive kwenye ili jambo....
Wanajaribu kutulazimisha ili tufunge ndoa,uku kwetu uwa kuna ubatizo wa msamaha Paroko uwa anatusaidia sana yani chaaap kwa haraka mambo yanapita vile kwenye ubatizo ila mambo mengine lazima ushiriki jumuiya na utoe michango..Ambayo ipo kama 15 hv na kila siku inaibuka mipyaaa
Hiyo pesa ameshaipeleka kwenye mambo mengine au Kuna namna amehisi pesa yake haitarudi..Tafuta sehemu nyingine na kama unaweza mpaka kuweka nyumba bond
Una umri gani??Kama bado kijana wa chini ya miaka 25 ni sawa ukiichakata kila siku,Yani usiku unaweka alfajiri unaweka ila ukishakuwa na majukumu yakaanza basi unaanza kupiga kistaha
Mleta mada upo sahihi sana,Yani niliwahi kuwa na binti mmoja hakuna somo alikuwa anaelewa angalau umpe moja na asubuhi haujaondoka umuongeze moja..ilikuwa ni kama diet siku 7 za week siku 30 za mwezi.
Hata ukitamani nje unaanza kuwaza nikipiga tu uku nikirud kukaguliwa ni lazima hata hurudi saa...
Hadithi ni tamu sana sema kuna vipande unaviruka,nenda straight kuwa mlivyoshuka stand kutokana na uchovu mkaenda sehemu kupumzika then jioni ndio mliachana na akakulipa elf 30
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.