Recent content by delako

  1. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume tuwapende wake zetu,Tusichepuke

    Ukikua ndio utaelewa why ni muhimu kuchepuka
  2. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sijui nifanyaje: Kuna dada nimempa ujauzito lakini sina mpango naye. Nawaza bwana wake akijua sijui itakuwaje

    We bado ni mtoto sana,Yani unasema nyapu ni ile ile khaaaaaaaa..Haujakutana na mafundi wewe
  3. D

    JamiiForums Tanzania Mke mwema anatoka kwa Bwana sasa kwanini asiwe na bikira yake?

    Bikra ya nini??anatakiwa aje akiwa na uzoefu ndoa sio BIKRA..
  4. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba msaada na ushauri katika suala hili wana JamiiForums

    Hapa Jf hautapata majibu yenye uhakika,Cha kufanya nenda naye hospital akacheki then utajua nini ufanye nje ya hapo ni kusadikika tu..Na ukimpa pesa akacheki peke yake anaweza akakupiga tukio la kukuambia ana ujauzito na hataki kuzaa kwa sasa so umpe pewa akatoe ukimpa umeliwa.. UNA UMRI GANI??
  5. D

    JamiiForums Tanzania Baraza la Vyama vya Siasa lakutana Morogoro, CHADEMA hawakuhudhuria

    Wangeudhuria tungeshangaa sana maana CHADEMA HAIJAWAI KUYUMBISHWA KISA TU VIPOSHO VYA KODI ZETU
  6. D

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Huo Unono ndio kiwango gani??Yamkini hata mimi nalipwa mshahara mnono
  7. D

    JamiiForums Tanzania Amefika benki na kukuta deni ambalo halifahamu

    Nitacomment kesho baada ya hayo majibu Ila jamaa anadaiwa na bank nyingine
  8. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tusio na nguvu za kiume tukutane hapa tupeana moyo na ushauri

    Acha kujichua..Ondoa hyo kwenye brain yako ila ukijikubali kuwa huna nguvu za kiume basi umekwisha.. Amini ilo ni pepo tu na like meeting then tafuta pesa,tafuta pisi nzuri uone kama una ilo tatizo
  9. D

    JamiiForums Tanzania Ungekuwa wewe ungefanyaje? Nahisi kupotea

    Msomi mwenye shahada unashindwa hata kujieleza...ELIMU YETU NI CHANGAMOTO NA SISI WENYEWE PIA CHANGAMOTO..Ungejieza vzr ingekuwa rahisi kupata msaada mf useme umesomea nini??matarajio yalikuwa nini?na kwanini umeanza kukata tamaa mapema.. Ukiweza achana na vyeti jiajiri biashara ndogo ndogo...
  10. D

    JamiiForums Tanzania TBC1 kuonyesha mechi zipi AFCON 2025?

    Kama walisema hivyo basi games za Taifa stars zitakuwepo then nyingine watakuwa wanaiba
  11. D

    JamiiForums Tanzania Nafanyaje kumsaidia mdogo wangu kukabiliana na mabadiliko ya ukuaji wake kimwili?

    Nilidhani ameanza kuota na Maziwa kumbe ni sauti tu kuwa nzito...
  12. D

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Padre Kitima: Natafutwa sana ili waniue, naomba uniombee Padre Chesco

    Dini ni mtaj wa kwanza kwa watawala..maana kwenye Dini ndio tunafundishwa kumjua MUNGU na kuwa na hofu ya MUNGU..BILA DINI KUTAWALA NI KUGUMU ZAID MAANA MAASI YANGEKUWA MENGI KWENYE JAMII I mtaji wa kwanza
  13. D

    JamiiForums Tanzania Naweza kuwa na TIN namba hata kama sina biashara?

    Jibu ni ndio,kuna TIN namba ya biashara na TIN isiyo ya biashara.. Unatengeneza mwenyewe kwenye Google kule page ya TRA ndani ya dk 5 unapata namba... HATA Wafanyakazi tulioajiriwa tunatumia TIN namba..Nami ninayo na si MFANYABIASHARA
  14. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naishi na binti ambaye kwao hawajawahi kuniona ila wananisikia tu kupitia binti yao

    Kuna kitu nimejifunza kwenye huu Uzi.
  15. D

    JamiiForums Tanzania Nimejiunga siku ambayo JF imefungiwa

    Stay Calm upto next 90days
Back
Top Bottom