Hapa Jf hautapata majibu yenye uhakika,Cha kufanya nenda naye hospital akacheki then utajua nini ufanye nje ya hapo ni kusadikika tu..Na ukimpa pesa akacheki peke yake anaweza akakupiga tukio la kukuambia ana ujauzito na hataki kuzaa kwa sasa so umpe pewa akatoe ukimpa umeliwa..
UNA UMRI GANI??
Acha kujichua..Ondoa hyo kwenye brain yako ila ukijikubali kuwa huna nguvu za kiume basi umekwisha..
Amini ilo ni pepo tu na like meeting then tafuta pesa,tafuta pisi nzuri uone kama una ilo tatizo
Msomi mwenye shahada unashindwa hata kujieleza...ELIMU YETU NI CHANGAMOTO NA SISI WENYEWE PIA CHANGAMOTO..Ungejieza vzr ingekuwa rahisi kupata msaada mf useme umesomea nini??matarajio yalikuwa nini?na kwanini umeanza kukata tamaa mapema..
Ukiweza achana na vyeti jiajiri biashara ndogo ndogo...
Dini ni mtaj wa kwanza kwa watawala..maana kwenye Dini ndio tunafundishwa kumjua MUNGU na kuwa na hofu ya MUNGU..BILA DINI KUTAWALA NI KUGUMU ZAID MAANA MAASI YANGEKUWA MENGI KWENYE JAMII
I mtaji wa kwanza
Jibu ni ndio,kuna TIN namba ya biashara na TIN isiyo ya biashara..
Unatengeneza mwenyewe kwenye Google kule page ya TRA ndani ya dk 5 unapata namba...
HATA Wafanyakazi tulioajiriwa tunatumia TIN namba..Nami ninayo na si MFANYABIASHARA
Kuna mmoja alifanya kama huyu wako wala hakumaliza week, Nilishampelekea Moto wa kutosha tena toka 3 asubuhi mpaka 11 jioni alishanyooshwa vya kutosha...
Tambua hisia zake na UJITAMBUE WEWE PIA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.