15 Milioni ni nyingi sana ukiwa huna na haujawai kuishika,
Je una kiwanja??kama unacho unataka kujenga mjini au kijijini?(Mahali kiwanja kilipo kama kipo) kujenga mjini ni gharama sana kuliko kijijini ila kujenga ni gharama..
Kama ni mtu wa starehe achana na mikopo (Starehe yaweza kuwa ya Pombe...
Ina maana amehukumiwa kifungo bila sehemu ya faini??ninachojua ni kifungo cha miezi 6 kama unavyosema au faini ya shilingi kiasi fulani....Binafsi naona kuna mapungufu makubwa kwenye maelezo yako..Futatilia faini ni kiasi gani ili kilipwe
Mpe uhuru afanye kile akitakacho,Wivu wivu wivu hautakufikisheni popote...BE POSITIVE NA USIANGALIE JAMII INAYOWAZUNGA
Hiyo jamii hakuna siku itakuja kutimiza ndoto za shemeji yetu..Kuwa naye bega kwa bega jitahidi kuwa positive kwenye ili jambo....
Wanajaribu kutulazimisha ili tufunge ndoa,uku kwetu uwa kuna ubatizo wa msamaha Paroko uwa anatusaidia sana yani chaaap kwa haraka mambo yanapita vile kwenye ubatizo ila mambo mengine lazima ushiriki jumuiya na utoe michango..Ambayo ipo kama 15 hv na kila siku inaibuka mipyaaa
Hiyo pesa ameshaipeleka kwenye mambo mengine au Kuna namna amehisi pesa yake haitarudi..Tafuta sehemu nyingine na kama unaweza mpaka kuweka nyumba bond
Una umri gani??Kama bado kijana wa chini ya miaka 25 ni sawa ukiichakata kila siku,Yani usiku unaweka alfajiri unaweka ila ukishakuwa na majukumu yakaanza basi unaanza kupiga kistaha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.