Recent content by deki

  1. deki

    Kwanini mbunge Musukuma anapenda kuwadharau wasomi wetu?

    Ukishakuwa na pesa,wasio nazo ni wadudu tu hata Kama kasoma dunia nzma mbona mtaani tunaishi hivyo Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
  2. deki

    TigoPesa kukaa kimya wakiwa na pesa zetu, tunashindwa kufanya miamala na hawatoi maelezo

    Yan hawa jamaa wanautani tangu Jana hakuna linalofanyika mchana huu napata sms et "tigo inakutakia heri ya siku ya karume " bado hawatambui hasara walotupatia tangu Jana watoe asilimia 3
  3. deki

    Kwanini vijana wengi wa kitanzania ni wajinga sana?

    Chema huzaa chema,kibaya huzaa kibaya,tusiwalaum vijana
  4. deki

    Vifungashio vinahitajika box

    Habarini wandugu zangu,naomba msaada wanaotengeneza mabox kubebea vifaranga ani pm tufanye kaz mi mjasilia Mali mdogo sana asanteni Sent using Jamii Forums mobile app
  5. deki

    Maongezi vijana wa Tanzania; 96% ni pumba

    joshua_ok, Kaka hapa jf ndo penyewe,weka Uzi wa mapenzi utachangiwa na kila MTU ukinogesha na kapicha ndo balaa,ila ukiweka mambo ya fursa Fulani wawili au watatu hii ndo Tanzania,eee mungu tuepushie hiyo corona Sent using Jamii Forums mobile app
  6. deki

    Nahitaji chanjo ya kuku ya IB, nimeitafuta bila mafanikio

    Nipo tanga mkuu Sent from my TECNO W2 using JamiiForums mobile app
  7. deki

    Nahitaji chanjo ya kuku ya IB, nimeitafuta bila mafanikio

    Nahitaji chanjo ya kuku ya IB Infecious coryza. Niko nahangaika hata sijui nitaipata wapi naombeni anaeijua inapopatikana aniambie na bei. Asanteni Sent from my TECNO W2 using JamiiForums mobile app
  8. deki

    Mapenzi ya wanawake watu wazima ni matamu sana

    Hahahaaa, Mimi pia nimeonja mama MTU mzima hakika sijutii, yani hasa uwe wamfikisha Kilimanjaro hutojutia pia sio mufrisi kama hawa wanaoweka kope na rangi za midomo kama makinda ya hondohondo Sent using Jamii Forums mobile app
  9. deki

    Unashindwa kuweka akiba ya kipato chako kidogo? Tumia njia hizi

    Mimi siweki akiba ndani na sijui kuweka akiba,ila nawekeza sana vitu vyakuuzika haraka kama kuku mbuz kondoo,sijui kama Niko sahihi Sent using Jamii Forums mobile app
  10. deki

    Ninawakosea nini hawa viumbe mimi

    Habar wandugu, Mimi ni kijana niko na 31 years naishi maisha ya kawaida sana. Najishughulisha na ujasiriamali, namshukuru Mungu kipato si haba lakini tatizo jamii inayonizunguka hawanikubali kabisa. Na mwanzo nikiwa boni pua maisha yalikuwa safi kabisa sasa niwafanyie nini hawa viumbe ili...
  11. deki

    Mwaka unaisha, umefanikiwa kufanya nini?

    Nashukuru mwaka huu nimeachana na mchepuko wangu laha sana sasa nashukuru natia nyama sasa
  12. deki

    Wazaramo acheni ukabila kwenye mambo ya maendeleo

    Yan nawe pia unaukabila ulijuaje wanaukabila,wewe ulitaka waongee lugha yako,wasioijua nasema sisi wazalamo ujinga hatutaki tutaongea lugha hadi mwisho
  13. deki

    Unapanda lift za magari ya watu? Hii inakuhusu

    Huu ni unafiki gari lako,sio lazima unipe lift na kwann uniongelee huku huniambii hutaki ,acha zako nibajet tu mkuu nitanunua langu ngoja vyuma viachie
Back
Top Bottom