Recent content by dejan

  1. D

    Polisi Moshi yazuia jeneza la mwili wa Ndesamburo kupitishwa barabarani

    Kwa hili hata Mimi sijapenda kweli nimeamini chadema hawajabadilika bado WaPo kwenye uanarakati. Mzee ashakufa mwacheni apumzike
  2. D

    Baada ya "Vuta Nikuvute" sasa mwili wa Mzee Ndesamburo kuagwa Uwanja wa Majengo badala ya Mashujaa

    Hiki chama ndo kitaleta machafuko nchini bora kifutwe kimekosa ustarabu kabisa
  3. D

    Sakata la kuzikwa Ndesamburo: Godbless Lema umetia aibu

    Kwani rambi rambi nani anakusanya
  4. D

    Lowassa kutinga Dar muda wowote kufatilia sakata la Mbowe!

    atazungusha na mikono ila angalie asijinyee wale ffu wakisogea pale
  5. D

    Manji asitumike kisiasa na wazinifu wa kisiasa

    Mada imewagusa wazungusha mikono hapa huwaoni
  6. D

    Rais Magufuli kuingilia mihimili mingine na kuvuruga taratibu kuna hatari mbeleni kuficha maovu!

    Acheni kulalamika tumepata raia mzuri Sana mtetezi WA wanyonge, halafu bavicha uchaguzi umeisha tujengeni nchi pamoja
  7. D

    Maoni yangu baada ya hitimisho la siasa za makonda!

    nilichojifunza msema kweli siku zote anakua adui wa watu
  8. D

    Wengine wametajwa, wengine wamefanywa siri, haki na usawa viko wapi hapa?

    acha kuimba taarabu wewe hii vita ni yetu sote makonda anapaswa apongweze kwa nini mnakua hamkosi visababu kwa kila juhudi zinavyofanywa
  9. D

    Salam za Mstahiki Meya Boniface Jacob kwa Mh Aikael Mbowe

    wazungusha mikono hamuishiwi hoja
  10. D

    Makonda ni kama Isaka, mtoto wa pekee wa Magufuli!

    Apewe kabisa wizara ya mambo ya ndani makonda Ni kiongozi watanzania tuliokua tunamuhitaji
  11. D

    Makonda ni Magufuli ajaye

    Wanywa viroba, nyumbu, wazungusha mikono au wazee WA kupinga kila kitu hawawezi kukubali ukweli makonda Ni chaguo sahihi kwa Dar
  12. D

    TABORA: Mkuu wa Wilaya ya Uyui abwaga manyanga!

    sasa bavicha mnashangilia nini
  13. D

    Lowassa: Njia ya Ikulu 2020 nyeupe

    fisadi kuu haliwezi kupewa ikulu
Back
Top Bottom