Makonda ni Magufuli ajaye

Makonda ni Magufuli ajaye

Huyu jamaa hafai kuwa kiongozi mkubwa kama raisi wa nchi,huyu jamaa anamsimamo wa kila kitu anaweza kuamua yeye binafsi,sifa za mtu kama huyu hawezi kuwa kiongozi.

kama atakuwa kiongozi cha kiwango cha raisi basi atakuwa dikteta,kiongozi mzuri ni yule anaejua matatizo ya wananchi na kuyaamua kihekima huju jamaa hana hekima,hekina ni kipaji.

Tazama huyu kiongozi wa sasa anavyowapelekesha watanzanzia,hafuati katiba,hafuati maaadili ya Tanzania,visasi nk.

Huyo makonda bora mwisho wake uwe hapo hapo.
Siyo yeye tu hata huyu aliyepo sasa hafai sababu hana hata kiduchu cha diplomasia.Wanafanya kazi kama Team Leader wa vibarua vile hawajui kuwa wanaongoza binadamu. Uliona wapi na nchi gani kuna order kama za siku saba hapa duniani. Rais anatoa siku saba, waziri mkuu siku saba, mkuu wa mkoa siku saba na mkuu wa wilaya siku saba. Upinzani wanatoa siku ishirini na moja kwa serikali utadhani ni al Qaeda ama ISIS wanasubiri Ransom. ni shaghala baghala tu
 
Huyu jamaa hafai kuwa kiongozi mkubwa kama raisi wa nchi,huyu jamaa anamsimamo wa kila kitu anaweza kuamua yeye binafsi,sifa za mtu kama huyu hawezi kuwa kiongozi.

kama atakuwa kiongozi cha kiwango cha raisi basi atakuwa dikteta,kiongozi mzuri ni yule anaejua matatizo ya wananchi na kuyaamua kihekima huju jamaa hana hekima,hekina ni kipaji.

Tazama huyu kiongozi wa sasa anavyowapelekesha watanzanzia,hafuati katiba,hafuati maaadili ya Tanzania,visasi nk.

Huyo makonda bora mwisho wake uwe hapo hapo.
Kwa mtanzania wa Leo anahitaji kusukumwa kwa vyovyote ili aweze kwenda,vipindi tulivyopitia vilikua vipindi vyakubembelezana sana jambo lililofanya kufikia tulipokua ambapo kwa sasa kiasi flani tunasonga mbele,Tanzania ilikua inahitaji aina mpya ya uongozi ambao tunashukuru Mungu tumeupata.Mtanzania amekua mtu Wä lawama tu hata kwenye mambo mazuri.Mtanzania hariziki kwa kila analofanyiwa,Mtanzania anahitaji kiongozi mwenye roho ngumu.
 
Kwa mtanzania wa Leo anahitaji kusukumwa kwa vyovyote ili aweze kwenda,vipindi tulivyopitia vilikua vipindi vyakubembelezana sana jambo lililofanya kufikia tulipokua ambapo kwa sasa kiasi flani tunasonga mbele,Tanzania ilikua inahitaji aina mpya ya uongozi ambao tunashukuru Mungu tumeupata.Mtanzania amekua mtu Wä lawama tu hata kwenye mambo mazuri.Mtanzania hariziki kwa kila analofanyiwa,Mtanzania anahitaji kiongozi mwenye roho ngumu.
Kaka mimi sioni kama tunasonga mbele naona kama tumerudi nyuma sana,katika maisha uhuru wa kujiamulia "Freedom of expression" nini muhimu sana,sababu kubwa ya kuishi hapa duniani ni kuishi vile unavyotaka,watanzia wa sasa wamekuwa wapofu,wajinga hajiamini tena,uzalendo umepungua.

Katika maisha ogopa mtu mwenye madaraka mamkubwa anajitambulisha "Mimi",ukiona mtu mwenye madaraka anajitambulishe kwa waliomchagua awaongoze kisitaili hiyo basi jitayarishi kwa mabaya,mtu kama huyo anakuwa hana hekima hawezi kuwaongoza wenziwe, huyo ni mtawala sio kiongozi,Kiongozi mweneye hekima atajitambulisha kwa kusema "sisi"
 
Ipo siku itaeleweka hayo niyasemayo,kwa kua mh makonda anayatekeleza yale ambayo yataletea maendeleo jamii yake.Makonda ni jasiri hasa baada ya kuwajibu mawaziri wanaohoji kua anataka nini.
Bila kusita anasema ataifanyia jamii yake makubwa na mazuri pamoja na tofauti zinazoonekana juu ya umri wake mdogo,anasema atafanya mazuri ili kesho akumbukwe.
Makonda ni kiongozi shupavu na shujaa mwenye moyo wa usubutu
Are u serious!
 
Wapo vijana wenye maono ya mbali na wasiotereshwa na propaganda za wapinzani hapa ndipo unamkuta NAPE,MWIGHULU,MAKONDA,JANUARY na wengine hakika utawala wa tano tumewabahatisha viongozi
Hivyo sababu ya kwako ubora wa MTU ni yule anayenyanyasa Wapinzani. Hongera sana.

Kama ni hivyo hata Gambo anafaa sana kuwa Rais wa Jamuhuri maana ameweza kumnyanysa Lema.

Kama sifa ya kuwa Kiongozi bora ni hiyo basi CCM mnashida
 
Wanywa viroba, nyumbu, wazungusha mikono au wazee WA kupinga kila kitu hawawezi kukubali ukweli makonda Ni chaguo sahihi kwa Dar
 
Wema ni maarufu kuliko yy na yy anatafuta umaarufu ili awe waziri. Mahakama ndiyo itathibitisha kama kweli hao ni wahusika. siku nyingine usituletee Ugoro kama wa Leo.
 
Wanaopinga kila kitu hawakosi,ila ni nasema mh makonda ni MTU sahihi kuwa mkuu wa mkoa huu wa DSM,P.Makonda tupo began kwa bega mkuu
Huyo Makonda ni msanii tu mchumia tumbo anaua scandal ya mkoa wake kutoa shule 6 za mwisho.hiyo issue ya madawa wazee wa mjini tumemuona kituko.Hakuna Don wa unga aliyeguswa hata mmoja angekuja na Id yake halisi aombe msaada.alikuja na ile Id yake fake kuuliza vijiwe vya wauza madawa na wawe wanamshukuru Mero sio vyanzo vya upelelezi wanavipata humu hlf wanamkamata boss wetu
 
Ni mkuu wa mkoa mbovu kabisa kuwahi kutokea kwenye jiji la dar
 
Ubunifu endelevu katika utendaji/utekelezaji majukumu mbalimbali iwe kisiasa,kiuchumi,kijamii ni nguzo muhimu ktk mafanikio na maendeleo.

Vita ya kupambana na udhalimu,unyonyaji,uonevu,ufisadi,madawa ya kulevya si vita lelemama.mathalani ya madawa ya kulevya ni kubwa sana...wapo watuhumiwa viongozi wakubwa wa kisiasa,wabunge,waliokuwa wabunge,waliokuwa mawaziri,wapo viongozi wa dini,wapo majaji,wapo wanaoitwa wafanyabiashara maarufu,wapo wageni kwa wenyeji...wahindi,kwa waarabu,wayemeni kwa waburushi...

Uongozi uliotukuka ni pamoja na kujitoa kafara kwa ajili ya taifa kizalendo..Hakika ni uthubutu uliowashinda wengi.
 
ha ha watu wakujiongeza kwa majonjo ya sifa bila kudeliver waache waleane wasukuma bwana
 
Utakua umetumwa s bure

Ugoro mbona ni Makonda mwenyewe anajipigia upatu!!
Makonda hana lolote, he is just an opportunist! Asidanganye watu hapa. Mkuu wa mkoa utafanyaje kazi za Kipolisi na Mahakama kama siyo uzezeta wa kuingilia mihimili na idara nyingine????Makonda anajaribu kucheza ngoma asiyoielewa mdundo wake! Muda utasema tu!
Hatutaki kuongozwa na watu wenye kujipendekez na kujikombakomba!
Blood fool.
 
HaaaaahaaaaaaaAaaaahaaaaaaaa aaaaaa haaaaa haaaaa haaaa haaaaa haaaaa hAaAaAA iiiiiii
 
Back
Top Bottom