Sakata la kuzikwa Ndesamburo: Godbless Lema umetia aibu

Kazi Mkuu

Member
May 24, 2017
21
100
*==AIBU KWAKO GODBLESS LEMA==*

_Na_ _Mwananchi wa_ _Moshi_ .

Nimeshangaa sana kumsikia Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema akidai maafisa usalama wanazuia shughuli ya kuaga mwili wa Marehemu Philemon Ndesamburo.

Huyu jamaa ameendeleza ugonjwa wake wa kukosa hoja za kisiasa na kuwahudumia wananchi waliomchagua na badala yake sasa anageuza misiba ndio mahali pa kufanyia siasa. Lema anataka kupanda mbegu mbaya kwa watanzania. Hivi Lema umefikia kutafuta kiki za kisiasa kwenye misiba?

Labda tuwekane sawa.
Kilichofanywa na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Moshi ambayo inaongozwa na CHADEMA ni uungwana Mtupu.

Kwamba uwanja wa Mashujaa ni mdogo na hauwezi kuhimili idadi kubwa ya watu wanaotaka kushiriki kuuaga mwili wa Mzee wetu Ndesamburo. Mkurugenzi ameshauri kwa tena yenye lugha ya upole na unyenyekevu kuwa utumike uwanja wa Majengo ambao ni mkubwa na upo jirani na nyumbani kwa Marehemu.

Na kwa taarifa yako Ndg. Lema Serikali inaposema hivyo inazingatia mambo mengi. Kuna kuepusha msongamano wa watu na magari, kurahisisha mambo ya usalama endapo jambo lolote likitokea na pia kulipa heshima tukio lenyewe hasa ikizingatiwa Marehemu Mzee Ndesamburo alikuwa mtu wa watu.

Nashangaa huyu Mbunge ambaye kama kawaida yake ya kukurupuka na kutoa hoja vioja anakuja na kutoa maneno ambayo hata wana CHADEMA wenzake wanashangaa.

Yaani sasa hivi Lema amekuwa mjuaji wa kila kitu.
Na nimemsikia mahali anamtaja hadi Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Bw. Mrisho Gambo, yaani kamshindwa Arusha sasa kaona aje abangaize kumshanbulia akiwa Moshi. Anamsema Kaimu Mkuu wa Mkoa Bw. Gambo ambaye hata Kilimanjaro hajafika.

Maamuzi haya yamefanywa na uongozi wa Wilaya kwa kushirikiana na Halmashauri. Na kama wafiwa ama CHADEMA hawaridhiki walikuwa wanaweza kuwasiliana na Mkuu wa Mkoa kabla ya Bw. Lema kukimbilia kwenye mitandao ya kijamii na kutafuta Kiki. Ndg. Lema chukua faida legacy ya Mzee Ndesamburo ndio muhimu kuliko kutaka kifo chake kikujenge kisiasa Kaka.

Ukijenga tabia hiyo utajikuta unamuombea kila mtu muhimu ndani ya CHADEMA afe ili upate nafasi ya kupata kiki ya kisiasa. Ulifanya hivyo kwa watoto wetu 32, walimu 2 na Dereva wa Lucy Vincent School waliopoteza maisha ajalini, ukidai umenyiwa nafasi ya kuongea msibani na leo unarudia kwa Mzee Ndesamburo? Nilidhani umejifunza kumbe Daaaa!!!! Hii ni Aibu kubwa. Tuache tumzike Mzee wetu Ndesamburo kwa Amani, mwache Mzee Ndesamburo alale mahali pema, mwache Mzee Ndesamburo azikwe na maombi ya Watanzania wote usilete ubaguzi, acha Watanzania wote wamlilie Baba yao.

Siasa zako tafuta pa kuzifanyia sio hapa aisee!!!!

Na kwa taarifa yako hata Mwenyekiti wako Freeman Mbowe anakushangaa. Ndio maana ulipojifanya kuamuru Makomandoo wa CHADEMA wapambane kuhakikisha shughuli inafanyikia uwanja wa Mashujaa Mbowe amekupinga na kuagiza maandalizi yakafanyike uwanja wa Majengo.

Kaka tunamzika Mzee wetu aliyefanya siasa za kistaarabu nawe fanya siasa za kistaarabu. Ubabe wako hauna maana. Unazidi kuwa kituko kila kukicha.
Wacha mimi niendelee kumlilia na kumuombea Mzee wangu Ndesamburo.

C&P
 
*==AIBU KWAKO GODBLESS LEMA==*

_Na_ _Mwananchi wa_ _Moshi_ .

Nimeshangaa sana kumsikia Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema akidai maafisa usalama wanazuia shughuli ya kuaga mwili wa Marehemu Philemon Ndesamburo.

Huyu jamaa ameendeleza ugonjwa wake wa kukosa hoja za kisiasa na kuwahudumia wananchi waliomchagua na badala yake sasa anageuza misiba ndio mahali pa kufanyia siasa. Lema anataka kupanda mbegu mbaya kwa watanzania. Hivi Lema umefikia kutafuta kiki za kisiasa kwenye misiba?

Labda tuwekane sawa.
Kilichofanywa na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Moshi ambayo inaongozwa na CHADEMA ni uungwana Mtupu.

Kwamba uwanja wa Mashujaa ni mdogo na hauwezi kuhimili idadi kubwa ya watu wanaotaka kushiriki kuuaga mwili wa Mzee wetu Ndesamburo. Mkurugenzi ameshauri kwa tena yenye lugha ya upole na unyenyekevu kuwa utumike uwanja wa Majengo ambao ni mkubwa na upo jirani na nyumbani kwa Marehemu.

Na kwa taarifa yako Ndg. Lema Serikali inaposema hivyo inazingatia mambo mengi. Kuna kuepusha msongamano wa watu na magari, kurahisisha mambo ya usalama endapo jambo lolote likitokea na pia kulipa heshima tukio lenyewe hasa ikizingatiwa Marehemu Mzee Ndesamburo alikuwa mtu wa watu.

Nashangaa huyu Mbunge ambaye kama kawaida yake ya kukurupuka na kutoa hoja vioja anakuja na kutoa maneno ambayo hata wana CHADEMA wenzake wanashangaa.

Yaani sasa hivi Lema amekuwa mjuaji wa kila kitu.
Na nimemsikia mahali anamtaja hadi Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Bw. Mrisho Gambo, yaani kamshindwa Arusha sasa kaona aje abangaize kumshanbulia akiwa Moshi. Anamsema Kaimu Mkuu wa Mkoa Bw. Gambo ambaye hata Kilimanjaro hajafika.

Maamuzi haya yamefanywa na uongozi wa Wilaya kwa kushirikiana na Halmashauri. Na kama wafiwa ama CHADEMA hawaridhiki walikuwa wanaweza kuwasiliana na Mkuu wa Mkoa kabla ya Bw. Lema kukimbilia kwenye mitandao ya kijamii na kutafuta Kiki. Ndg. Lema chukua faida legacy ya Mzee Ndesamburo ndio muhimu kuliko kutaka kifo chake kikujenge kisiasa Kaka.

Ukijenga tabia hiyo utajikuta unamuombea kila mtu muhimu ndani ya CHADEMA afe ili upate nafasi ya kupata kiki ya kisiasa. Ulifanya hivyo kwa watoto wetu 32, walimu 2 na Dereva wa Lucy Vincent School waliopoteza maisha ajalini, ukidai umenyiwa nafasi ya kuongea msibani na leo unarudia kwa Mzee Ndesamburo? Nilidhani umejifunza kumbe Daaaa!!!! Hii ni Aibu kubwa. Tuache tumzike Mzee wetu Ndesamburo kwa Amani, mwache Mzee Ndesamburo alale mahali pema, mwache Mzee Ndesamburo azikwe na maombi ya Watanzania wote usilete ubaguzi, acha Watanzania wote wamlilie Baba yao.

Siasa zako tafuta pa kuzifanyia sio hapa aisee!!!!

Na kwa taarifa yako hata Mwenyekiti wako Freeman Mbowe anakushangaa. Ndio maana ulipojifanya kuamuru Makomandoo wa CHADEMA wapambane kuhakikisha shughuli inafanyikia uwanja wa Mashujaa Mbowe amekupinga na kuagiza maandalizi yakafanyike uwanja wa Majengo.

Kaka tunamzika Mzee wetu aliyefanya siasa za kistaarabu nawe fanya siasa za kistaarabu. Ubabe wako hauna maana. Unazidi kuwa kituko kila kukicha.
Wacha mimi niendelee kumlilia na kumuombea Mzee wangu Ndesamburo.

C&P
Wachaga msiba wowote huwa na msemaji wa familia aweza kuwa ndugu au Mzee wa ukoo lema kawapora madaraka ndugu na wazee wa ukoo wa ndesamburo
 
*==AIBU KWAKO GODBLESS LEMA==*

_Na_ _Mwananchi wa_ _Moshi_ .

Nimeshangaa sana kumsikia Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema akidai maafisa usalama wanazuia shughuli ya kuaga mwili wa Marehemu Philemon Ndesamburo.

Huyu jamaa ameendeleza ugonjwa wake wa kukosa hoja za kisiasa na kuwahudumia wananchi waliomchagua na badala yake sasa anageuza misiba ndio mahali pa kufanyia siasa. Lema anataka kupanda mbegu mbaya kwa watanzania. Hivi Lema umefikia kutafuta kiki za kisiasa kwenye misiba?

Labda tuwekane sawa.
Kilichofanywa na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Moshi ambayo inaongozwa na CHADEMA ni uungwana Mtupu.

Kwamba uwanja wa Mashujaa ni mdogo na hauwezi kuhimili idadi kubwa ya watu wanaotaka kushiriki kuuaga mwili wa Mzee wetu Ndesamburo. Mkurugenzi ameshauri kwa tena yenye lugha ya upole na unyenyekevu kuwa utumike uwanja wa Majengo ambao ni mkubwa na upo jirani na nyumbani kwa Marehemu.

Na kwa taarifa yako Ndg. Lema Serikali inaposema hivyo inazingatia mambo mengi. Kuna kuepusha msongamano wa watu na magari, kurahisisha mambo ya usalama endapo jambo lolote likitokea na pia kulipa heshima tukio lenyewe hasa ikizingatiwa Marehemu Mzee Ndesamburo alikuwa mtu wa watu.

Nashangaa huyu Mbunge ambaye kama kawaida yake ya kukurupuka na kutoa hoja vioja anakuja na kutoa maneno ambayo hata wana CHADEMA wenzake wanashangaa.

Yaani sasa hivi Lema amekuwa mjuaji wa kila kitu.
Na nimemsikia mahali anamtaja hadi Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Bw. Mrisho Gambo, yaani kamshindwa Arusha sasa kaona aje abangaize kumshanbulia akiwa Moshi. Anamsema Kaimu Mkuu wa Mkoa Bw. Gambo ambaye hata Kilimanjaro hajafika.

Maamuzi haya yamefanywa na uongozi wa Wilaya kwa kushirikiana na Halmashauri. Na kama wafiwa ama CHADEMA hawaridhiki walikuwa wanaweza kuwasiliana na Mkuu wa Mkoa kabla ya Bw. Lema kukimbilia kwenye mitandao ya kijamii na kutafuta Kiki. Ndg. Lema chukua faida legacy ya Mzee Ndesamburo ndio muhimu kuliko kutaka kifo chake kikujenge kisiasa Kaka.

Ukijenga tabia hiyo utajikuta unamuombea kila mtu muhimu ndani ya CHADEMA afe ili upate nafasi ya kupata kiki ya kisiasa. Ulifanya hivyo kwa watoto wetu 32, walimu 2 na Dereva wa Lucy Vincent School waliopoteza maisha ajalini, ukidai umenyiwa nafasi ya kuongea msibani na leo unarudia kwa Mzee Ndesamburo? Nilidhani umejifunza kumbe Daaaa!!!! Hii ni Aibu kubwa. Tuache tumzike Mzee wetu Ndesamburo kwa Amani, mwache Mzee Ndesamburo alale mahali pema, mwache Mzee Ndesamburo azikwe na maombi ya Watanzania wote usilete ubaguzi, acha Watanzania wote wamlilie Baba yao.

Siasa zako tafuta pa kuzifanyia sio hapa aisee!!!!

Na kwa taarifa yako hata Mwenyekiti wako Freeman Mbowe anakushangaa. Ndio maana ulipojifanya kuamuru Makomandoo wa CHADEMA wapambane kuhakikisha shughuli inafanyikia uwanja wa Mashujaa Mbowe amekupinga na kuagiza maandalizi yakafanyike uwanja wa Majengo.

Kaka tunamzika Mzee wetu aliyefanya siasa za kistaarabu nawe fanya siasa za kistaarabu. Ubabe wako hauna maana. Unazidi kuwa kituko kila kukicha.
Wacha mimi niendelee kumlilia na kumuombea Mzee wangu Ndesamburo.

C&P
Kwani INA maana hao akina Mbowe,Lema na familia yake ni wageni hapo MOSHI hawajui uwanja UPI ni mkubwa kati ya Mashujaa na viwanja vingine?
Suala la uwanja wa Majengo kuwa karibu na nyumbani kwa late Ndesamburo,kwani kuna MTU amewaomba pesa ya mafuta ya gari, hofu yenu nini? Hata wangetaka kwenda kumuagia Dar kisha waje kuzika MOSHI hakuna shida ya pesa wala mafuta.
Mkurugenzi wa wilaya ni mteuliwa wa rais na ni MTU wa kuja tu MOSHI,INA maana yeye anaujua mji wa MOSHI vizuri kuliko akina Lema,Mbowe na wanafamilia ya Ndesamburo waliokubali Mzee wao aagwe hapo viwanja vya Mashujaa?
Huo uwanja umetumika kwa shughuli nyingi kama kampeni,mikutano ya injili nk INA maana wakati hayo yote yakifanyika Mahakama na shule vilikiwa havipo au walikuwa wanavihamishia sehemu nyingine??
Tuache ushabiki maandazi kwenye mambo yanayohusu watu!
 
*==AIBU KWAKO GODBLESS LEMA==*

_Na_ _Mwananchi wa_ _Moshi_ .

Nimeshangaa sana kumsikia Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema akidai maafisa usalama wanazuia shughuli ya kuaga mwili wa Marehemu Philemon Ndesamburo.

Huyu jamaa ameendeleza ugonjwa wake wa kukosa hoja za kisiasa na kuwahudumia wananchi waliomchagua na badala yake sasa anageuza misiba ndio mahali pa kufanyia siasa. Lema anataka kupanda mbegu mbaya kwa watanzania. Hivi Lema umefikia kutafuta kiki za kisiasa kwenye misiba?

Labda tuwekane sawa.
Kilichofanywa na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Moshi ambayo inaongozwa na CHADEMA ni uungwana Mtupu.

Kwamba uwanja wa Mashujaa ni mdogo na hauwezi kuhimili idadi kubwa ya watu wanaotaka kushiriki kuuaga mwili wa Mzee wetu Ndesamburo. Mkurugenzi ameshauri kwa tena yenye lugha ya upole na unyenyekevu kuwa utumike uwanja wa Majengo ambao ni mkubwa na upo jirani na nyumbani kwa Marehemu.

Na kwa taarifa yako Ndg. Lema Serikali inaposema hivyo inazingatia mambo mengi. Kuna kuepusha msongamano wa watu na magari, kurahisisha mambo ya usalama endapo jambo lolote likitokea na pia kulipa heshima tukio lenyewe hasa ikizingatiwa Marehemu Mzee Ndesamburo alikuwa mtu wa watu.

Nashangaa huyu Mbunge ambaye kama kawaida yake ya kukurupuka na kutoa hoja vioja anakuja na kutoa maneno ambayo hata wana CHADEMA wenzake wanashangaa.

Yaani sasa hivi Lema amekuwa mjuaji wa kila kitu.
Na nimemsikia mahali anamtaja hadi Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Bw. Mrisho Gambo, yaani kamshindwa Arusha sasa kaona aje abangaize kumshanbulia akiwa Moshi. Anamsema Kaimu Mkuu wa Mkoa Bw. Gambo ambaye hata Kilimanjaro hajafika.

Maamuzi haya yamefanywa na uongozi wa Wilaya kwa kushirikiana na Halmashauri. Na kama wafiwa ama CHADEMA hawaridhiki walikuwa wanaweza kuwasiliana na Mkuu wa Mkoa kabla ya Bw. Lema kukimbilia kwenye mitandao ya kijamii na kutafuta Kiki. Ndg. Lema chukua faida legacy ya Mzee Ndesamburo ndio muhimu kuliko kutaka kifo chake kikujenge kisiasa Kaka.

Ukijenga tabia hiyo utajikuta unamuombea kila mtu muhimu ndani ya CHADEMA afe ili upate nafasi ya kupata kiki ya kisiasa. Ulifanya hivyo kwa watoto wetu 32, walimu 2 na Dereva wa Lucy Vincent School waliopoteza maisha ajalini, ukidai umenyiwa nafasi ya kuongea msibani na leo unarudia kwa Mzee Ndesamburo? Nilidhani umejifunza kumbe Daaaa!!!! Hii ni Aibu kubwa. Tuache tumzike Mzee wetu Ndesamburo kwa Amani, mwache Mzee Ndesamburo alale mahali pema, mwache Mzee Ndesamburo azikwe na maombi ya Watanzania wote usilete ubaguzi, acha Watanzania wote wamlilie Baba yao.

Siasa zako tafuta pa kuzifanyia sio hapa aisee!!!!

Na kwa taarifa yako hata Mwenyekiti wako Freeman Mbowe anakushangaa. Ndio maana ulipojifanya kuamuru Makomandoo wa CHADEMA wapambane kuhakikisha shughuli inafanyikia uwanja wa Mashujaa Mbowe amekupinga na kuagiza maandalizi yakafanyike uwanja wa Majengo.

Kaka tunamzika Mzee wetu aliyefanya siasa za kistaarabu nawe fanya siasa za kistaarabu. Ubabe wako hauna maana. Unazidi kuwa kituko kila kukicha.
Wacha mimi niendelee kumlilia na kumuombea Mzee wangu Ndesamburo.

C&P
Ulikuwepo Mkuu wakati Mkurugenzi akiongea kwa upole???
 
Mkuu inaelekea ulikuwa mshika boom saaa huyo mkurugenzi anaongea

Maana umetokwa povu ilhali huna unapo pajuwa moshi
 
HaMna kitu msiba ukiisha kama lema Ndio atajitia msemaji wa familia ajiandae kwa sekeseke mkuu wa msiba ndio mratibu pia wa rambi rambi zote kuhakikisha zinawafikia wafiwa lema kajiingiza kwenye mdomo wa mamba angewaachia familia
Kwa hiyo unataka kusema Lema ameanza kuongea hivyo ili maswala ya rambirambi yapitie kwake. Kwa maana

Nimemwona Lema akiwa nyumbani kwa marehemu na makaratasi mengi akijaribu kupanga na kuangalia uratibu wa mazishi unafanyikaje.
 
*==AIBU KWAKO GODBLESS LEMA==*

_Na_ _Mwananchi wa_ _Moshi_ .

Nimeshangaa sana kumsikia Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema akidai maafisa usalama wanazuia shughuli ya kuaga mwili wa Marehemu Philemon Ndesamburo.

Huyu jamaa ameendeleza ugonjwa wake wa kukosa hoja za kisiasa na kuwahudumia wananchi waliomchagua na badala yake sasa anageuza misiba ndio mahali pa kufanyia siasa. Lema anataka kupanda mbegu mbaya kwa watanzania. Hivi Lema umefikia kutafuta kiki za kisiasa kwenye misiba?

Labda tuwekane sawa.
Kilichofanywa na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Moshi ambayo inaongozwa na CHADEMA ni uungwana Mtupu.

Kwamba uwanja wa Mashujaa ni mdogo na hauwezi kuhimili idadi kubwa ya watu wanaotaka kushiriki kuuaga mwili wa Mzee wetu Ndesamburo. Mkurugenzi ameshauri kwa tena yenye lugha ya upole na unyenyekevu kuwa utumike uwanja wa Majengo ambao ni mkubwa na upo jirani na nyumbani kwa Marehemu.

Na kwa taarifa yako Ndg. Lema Serikali inaposema hivyo inazingatia mambo mengi. Kuna kuepusha msongamano wa watu na magari, kurahisisha mambo ya usalama endapo jambo lolote likitokea na pia kulipa heshima tukio lenyewe hasa ikizingatiwa Marehemu Mzee Ndesamburo alikuwa mtu wa watu.

Nashangaa huyu Mbunge ambaye kama kawaida yake ya kukurupuka na kutoa hoja vioja anakuja na kutoa maneno ambayo hata wana CHADEMA wenzake wanashangaa.

Yaani sasa hivi Lema amekuwa mjuaji wa kila kitu.
Na nimemsikia mahali anamtaja hadi Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Bw. Mrisho Gambo, yaani kamshindwa Arusha sasa kaona aje abangaize kumshanbulia akiwa Moshi. Anamsema Kaimu Mkuu wa Mkoa Bw. Gambo ambaye hata Kilimanjaro hajafika.

Maamuzi haya yamefanywa na uongozi wa Wilaya kwa kushirikiana na Halmashauri. Na kama wafiwa ama CHADEMA hawaridhiki walikuwa wanaweza kuwasiliana na Mkuu wa Mkoa kabla ya Bw. Lema kukimbilia kwenye mitandao ya kijamii na kutafuta Kiki. Ndg. Lema chukua faida legacy ya Mzee Ndesamburo ndio muhimu kuliko kutaka kifo chake kikujenge kisiasa Kaka.

Ukijenga tabia hiyo utajikuta unamuombea kila mtu muhimu ndani ya CHADEMA afe ili upate nafasi ya kupata kiki ya kisiasa. Ulifanya hivyo kwa watoto wetu 32, walimu 2 na Dereva wa Lucy Vincent School waliopoteza maisha ajalini, ukidai umenyiwa nafasi ya kuongea msibani na leo unarudia kwa Mzee Ndesamburo? Nilidhani umejifunza kumbe Daaaa!!!! Hii ni Aibu kubwa. Tuache tumzike Mzee wetu Ndesamburo kwa Amani, mwache Mzee Ndesamburo alale mahali pema, mwache Mzee Ndesamburo azikwe na maombi ya Watanzania wote usilete ubaguzi, acha Watanzania wote wamlilie Baba yao.

Siasa zako tafuta pa kuzifanyia sio hapa aisee!!!!

Na kwa taarifa yako hata Mwenyekiti wako Freeman Mbowe anakushangaa. Ndio maana ulipojifanya kuamuru Makomandoo wa CHADEMA wapambane kuhakikisha shughuli inafanyikia uwanja wa Mashujaa Mbowe amekupinga na kuagiza maandalizi yakafanyike uwanja wa Majengo.

Kaka tunamzika Mzee wetu aliyefanya siasa za kistaarabu nawe fanya siasa za kistaarabu. Ubabe wako hauna maana. Unazidi kuwa kituko kila kukicha.
Wacha mimi niendelee kumlilia na kumuombea Mzee wangu Ndesamburo.

C&P
Kumuombea kwa nani? Na wewe ni nani? Umeguswa na nini mpaka umekuja kubwabwaja humu jf, unataka tusikilize na tuwe upande wako? Mbona sijakuelewa contents zako!! Hutaki Mh Lema aongee jinsi anavyoona inafaa, au haumpendi tu Mh Lema? Nikukumbushe kitu, usipende kuwaingiza watu kwenye hisia zako, eti wanachadema wenzako wanakushangaa kweli au umeandika upate uungwaji mkono!! Sijui ila ungejipanga upya.
 
*==AIBU KWAKO GODBLESS LEMA==*

_Na_ _Mwananchi wa_ _Moshi_ .

Nimeshangaa sana kumsikia Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema akidai maafisa usalama wanazuia shughuli ya kuaga mwili wa Marehemu Philemon Ndesamburo.

Huyu jamaa ameendeleza ugonjwa wake wa kukosa hoja za kisiasa na kuwahudumia wananchi waliomchagua na badala yake sasa anageuza misiba ndio mahali pa kufanyia siasa. Lema anataka kupanda mbegu mbaya kwa watanzania. Hivi Lema umefikia kutafuta kiki za kisiasa kwenye misiba?

Labda tuwekane sawa.
Kilichofanywa na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Moshi ambayo inaongozwa na CHADEMA ni uungwana Mtupu.

Kwamba uwanja wa Mashujaa ni mdogo na hauwezi kuhimili idadi kubwa ya watu wanaotaka kushiriki kuuaga mwili wa Mzee wetu Ndesamburo. Mkurugenzi ameshauri kwa tena yenye lugha ya upole na unyenyekevu kuwa utumike uwanja wa Majengo ambao ni mkubwa na upo jirani na nyumbani kwa Marehemu.

Na kwa taarifa yako Ndg. Lema Serikali inaposema hivyo inazingatia mambo mengi. Kuna kuepusha msongamano wa watu na magari, kurahisisha mambo ya usalama endapo jambo lolote likitokea na pia kulipa heshima tukio lenyewe hasa ikizingatiwa Marehemu Mzee Ndesamburo alikuwa mtu wa watu.

Nashangaa huyu Mbunge ambaye kama kawaida yake ya kukurupuka na kutoa hoja vioja anakuja na kutoa maneno ambayo hata wana CHADEMA wenzake wanashangaa.

Yaani sasa hivi Lema amekuwa mjuaji wa kila kitu.
Na nimemsikia mahali anamtaja hadi Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Bw. Mrisho Gambo, yaani kamshindwa Arusha sasa kaona aje abangaize kumshanbulia akiwa Moshi. Anamsema Kaimu Mkuu wa Mkoa Bw. Gambo ambaye hata Kilimanjaro hajafika.

Maamuzi haya yamefanywa na uongozi wa Wilaya kwa kushirikiana na Halmashauri. Na kama wafiwa ama CHADEMA hawaridhiki walikuwa wanaweza kuwasiliana na Mkuu wa Mkoa kabla ya Bw. Lema kukimbilia kwenye mitandao ya kijamii na kutafuta Kiki. Ndg. Lema chukua faida legacy ya Mzee Ndesamburo ndio muhimu kuliko kutaka kifo chake kikujenge kisiasa Kaka.

Ukijenga tabia hiyo utajikuta unamuombea kila mtu muhimu ndani ya CHADEMA afe ili upate nafasi ya kupata kiki ya kisiasa. Ulifanya hivyo kwa watoto wetu 32, walimu 2 na Dereva wa Lucy Vincent School waliopoteza maisha ajalini, ukidai umenyiwa nafasi ya kuongea msibani na leo unarudia kwa Mzee Ndesamburo? Nilidhani umejifunza kumbe Daaaa!!!! Hii ni Aibu kubwa. Tuache tumzike Mzee wetu Ndesamburo kwa Amani, mwache Mzee Ndesamburo alale mahali pema, mwache Mzee Ndesamburo azikwe na maombi ya Watanzania wote usilete ubaguzi, acha Watanzania wote wamlilie Baba yao.

Siasa zako tafuta pa kuzifanyia sio hapa aisee!!!!

Na kwa taarifa yako hata Mwenyekiti wako Freeman Mbowe anakushangaa. Ndio maana ulipojifanya kuamuru Makomandoo wa CHADEMA wapambane kuhakikisha shughuli inafanyikia uwanja wa Mashujaa Mbowe amekupinga na kuagiza maandalizi yakafanyike uwanja wa Majengo.

Kaka tunamzika Mzee wetu aliyefanya siasa za kistaarabu nawe fanya siasa za kistaarabu. Ubabe wako hauna maana. Unazidi kuwa kituko kila kukicha.
Wacha mimi niendelee kumlilia na kumuombea Mzee wangu Ndesamburo.

C&P
ccm laana mliyo isababishia nchi yetu itawarudia nyingi na vizazi vyenu vyote
 
*==AIBU KWAKO GODBLESS LEMA==*

_Na_ _Mwananchi wa_ _Moshi_ .

Nimeshangaa sana kumsikia Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema akidai maafisa usalama wanazuia shughuli ya kuaga mwili wa Marehemu Philemon Ndesamburo.

Huyu jamaa ameendeleza ugonjwa wake wa kukosa hoja za kisiasa na kuwahudumia wananchi waliomchagua na badala yake sasa anageuza misiba ndio mahali pa kufanyia siasa. Lema anataka kupanda mbegu mbaya kwa watanzania. Hivi Lema umefikia kutafuta kiki za kisiasa kwenye misiba?

Labda tuwekane sawa.
Kilichofanywa na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Moshi ambayo inaongozwa na CHADEMA ni uungwana Mtupu.

Kwamba uwanja wa Mashujaa ni mdogo na hauwezi kuhimili idadi kubwa ya watu wanaotaka kushiriki kuuaga mwili wa Mzee wetu Ndesamburo. Mkurugenzi ameshauri kwa tena yenye lugha ya upole na unyenyekevu kuwa utumike uwanja wa Majengo ambao ni mkubwa na upo jirani na nyumbani kwa Marehemu.

Na kwa taarifa yako Ndg. Lema Serikali inaposema hivyo inazingatia mambo mengi. Kuna kuepusha msongamano wa watu na magari, kurahisisha mambo ya usalama endapo jambo lolote likitokea na pia kulipa heshima tukio lenyewe hasa ikizingatiwa Marehemu Mzee Ndesamburo alikuwa mtu wa watu.

Nashangaa huyu Mbunge ambaye kama kawaida yake ya kukurupuka na kutoa hoja vioja anakuja na kutoa maneno ambayo hata wana CHADEMA wenzake wanashangaa.

Yaani sasa hivi Lema amekuwa mjuaji wa kila kitu.
Na nimemsikia mahali anamtaja hadi Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Bw. Mrisho Gambo, yaani kamshindwa Arusha sasa kaona aje abangaize kumshanbulia akiwa Moshi. Anamsema Kaimu Mkuu wa Mkoa Bw. Gambo ambaye hata Kilimanjaro hajafika.

Maamuzi haya yamefanywa na uongozi wa Wilaya kwa kushirikiana na Halmashauri. Na kama wafiwa ama CHADEMA hawaridhiki walikuwa wanaweza kuwasiliana na Mkuu wa Mkoa kabla ya Bw. Lema kukimbilia kwenye mitandao ya kijamii na kutafuta Kiki. Ndg. Lema chukua faida legacy ya Mzee Ndesamburo ndio muhimu kuliko kutaka kifo chake kikujenge kisiasa Kaka.

Ukijenga tabia hiyo utajikuta unamuombea kila mtu muhimu ndani ya CHADEMA afe ili upate nafasi ya kupata kiki ya kisiasa. Ulifanya hivyo kwa watoto wetu 32, walimu 2 na Dereva wa Lucy Vincent School waliopoteza maisha ajalini, ukidai umenyiwa nafasi ya kuongea msibani na leo unarudia kwa Mzee Ndesamburo? Nilidhani umejifunza kumbe Daaaa!!!! Hii ni Aibu kubwa. Tuache tumzike Mzee wetu Ndesamburo kwa Amani, mwache Mzee Ndesamburo alale mahali pema, mwache Mzee Ndesamburo azikwe na maombi ya Watanzania wote usilete ubaguzi, acha Watanzania wote wamlilie Baba yao.

Siasa zako tafuta pa kuzifanyia sio hapa aisee!!!!

Na kwa taarifa yako hata Mwenyekiti wako Freeman Mbowe anakushangaa. Ndio maana ulipojifanya kuamuru Makomandoo wa CHADEMA wapambane kuhakikisha shughuli inafanyikia uwanja wa Mashujaa Mbowe amekupinga na kuagiza maandalizi yakafanyike uwanja wa Majengo.

Kaka tunamzika Mzee wetu aliyefanya siasa za kistaarabu nawe fanya siasa za kistaarabu. Ubabe wako hauna maana. Unazidi kuwa kituko kila kukicha.
Wacha mimi niendelee kumlilia na kumuombea Mzee wangu Ndesamburo.

C&P
Acha upuuzi, kama kungekuwa na wazo mbadala watu mnajadiliana na walio omba.

Ukweli ni kwamba, watu wanaona jina la "Mashujaa"!! Kwamba ataonekana no shujaa, upuuzi mtupu.

Askari walikuja kufanya nini kama kulikuwa na nia njema?

Hili jina "Serikali" mnalitumia kama Mungu, ni upuuzi mpya Tanzania,, Shem on you guys.
 
Mkuu unataka kusema CCM/Serikali hamkuliona hilo la udogo wa uwanja mlipokwenda kufanya maadhimisho ya May mosi mkuu.Punguzeni uzuzu mnatutia aibu wanafunzi wenzenu tuliopitia pale Tanga School aka Kiunga mkuu/au mkuu ulizidisha kwenda Kwanjeka nini???....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom