Manji asitumike kisiasa na wazinifu wa kisiasa

GuDume

JF-Expert Member
Jan 18, 2015
6,652
14,268
Unapoingia kwenye ndoa maana yake umejikabidhi kwa mume na mke huyo husika. Unahalalishiwa tendo la ndoa. Linakuwa halali na kesho tukikuona una au mkeo ana mimba tunakupongeza.

Kinyume chake kama hujalalalishiwa mke au mume ukafanya naye tendo la ndoa unakuwa umezini. Na kama umeoa au kuolewa na ukatoka nje ya ndoa unakuwa mzinifu pia.

Nashangaa Leo kuna watu wanamtetea yusufu manji. Huyu ambaye awamu iliyopita alionekana ni
Mmoja ya mafisadi kwa kupewa tenda nying zenye maswal. Huyu ndo alinunua jengo la quality plaza kwa bei ya chini aka repair kwa rangi na kuja kuliuza kwa bei kubwa sana nssf. Na kisha kuja kukaa bure.suala la manji kuhusishwa na madawa halikuanza leo.

Lakin kwa kuwa amekamatwa magufuli na makonda ambao hatuwapend basi adui wa adui yako ni rafiki yako.

Watu wameshasahau na ufisadi uliokuwa ufanyike coco beach. Wamesahau ekali nyingi za kiwanja huko bagamoyo ambacho alipoona mambo mazito akaamua kukigawa kwa yanga. Nao kwa kutokufikiria sana wakashangilia sana.kumbe mwenzao alishaona ni chamoto.leo wanasiasa wazinifu wa kisiasa wanamtetea manji?

Hawa wanapata wapi ujasiri huu wa kishetani? Katika hili ni bora nijitoe upinzani. Hawa wapinzani si ndo walipita nchi nzima kusema edward lowassa ni fisadi bila kumpa nafasi baba ya watu kujitetea?

List ya mwembechai si ilitangazwa nchi nzima watu walihukumiwa kwa ile list kwenye mikutano mwembechai. Leo manji anatetewa na akina zippora na wanasiasa wengine wazinifu wa kisiasa. Ambao siku zote wanaangalia wapi kuna nafas nao wajitokeze.
 
Wakina zito ni madalali wa siasa na siku zote anatumika kufunika maaovu. Tuliona wakati anaongoza PAC, walioficha fedha uswisi na massaged report ya escrow
 
Tumuhukumu Manji kwa persecution inayoendela sasa kwa sababu ya list ya Mwembeyanga?
Poor you!
Hata kama Manji anatumia mihadharati kwa starehe yake kama afanyavyo Chidi Benzi ni suala la Mkuu wa nchi kulivalia njuga?
Je starehe ya Manji ni suala la kitaifa kuliko IPTL na hata t shs 8billion za boti ile au meli ya uvuvi ya Wachina au Escrow nk?
We ni mkewe?

Get your priorities right acha unazi mbuzi
 
Usipoacha kupumzisha akili huwez elewa hata kidogo. Huwez ona connection.
Anabanwa na sheria za nchi. Siyo mtu.Sheria zilitungwa ili zifanye kazi.Zitto anatania tu. Nikawaida yake kuja na hoja nyepesi ili apate chakula. Awamu hii madili ya mtindo huo yamechomwa moto. Atafute kazi nyingine halali. Hapa kazi tu!
 
Manji si ni ccm? Kwa hiyo tunajidhihilishia kuwa ccm ni majambazi.


swissme
 
Upinzani ni kama sigara kali (kote kote umawasha kote kote unavuta) , hata uwe genius kiasi gani huwezi kuelewa wanataka nini, wanasimamia nini, mara walalamike ufisadi baadaye wakalichukua kubwa la mafisadi likawa mgombea wao, mara rais lege lege tumempata mkali anayesimamia sheria wanamwita dikteta uchwara. Mara watajeni wauza madawa ya kulevya, kikwete akaamua kupiga kimya, makonda akaanza kuwataja akina wema na wenzake, mkalalamika wanawataja dagaa, haya wametajwa mapapa (watumiwa mbowe na manji) kelele ooh wanaonewa sasa sijui mnataka nn, yaani wanazunguka kama dawa ya mbu ya kuchoma, siwaelewewi au manji kishawapa mzigo mumtetee, manake mdee alisema wafadhili wakubwa wa mikutano ya CHADEMA na CCM ni wauza ngada eti, acheni kulalamika iacheni serikali ifanye kazi yake.MNAKERAAAAAAAAA
 
Unapoingia kwenye ndoa maana yake umejikabidhi kwa mume na mke huyo husika. Unahalalishiwa tendo la ndoa. Linakuwa halali na kesho tukikuona una au mkeo ana mimba tunakupongeza.

Kinyume chake kama hujalalalishiwa mke au mume ukafanya naye tendo la ndoa unakuwa umezini. Na kama umeoa au kuolewa na ukatoka nje ya ndoa unakuwa mzinifu pia.

Nashangaa Leo kuna watu wanamtetea yusufu manji. Huyu ambaye awamu iliyopita alionekana ni
Mmoja ya mafisadi kwa kupewa tenda nying zenye maswal. Huyu ndo alinunua jengo la quality plaza kwa bei ya chini aka repair kwa rangi na kuja kuliuza kwa bei kubwa sana nssf. Na kisha kuja kukaa bure.suala la manji kuhusishwa na madawa halikuanza leo.

Lakin kwa kuwa amekamatwa magufuli na makonda ambao hatuwapend basi adui wa adui yako ni rafiki yako.

Watu wameshasahau na ufisadi uliokuwa ufanyike coco beach. Wamesahau ekali nyingi za kiwanja huko bagamoyo ambacho alipoona mambo mazito akaamua kukigawa kwa yanga. Nao kwa kutokufikiria sana wakashangilia sana.kumbe mwenzao alishaona ni chamoto.leo wanasiasa wazinifu wa kisiasa wanamtetea manji?

Hawa wanapata wapi ujasiri huu wa kishetani? Katika hili ni bora nijitoe upinzani. Hawa wapinzani si ndo walipita nchi nzima kusema edward lowassa ni fisadi bila kumpa nafasi baba ya watu kujitetea?

List ya mwembechai si ilitangazwa nchi nzima watu walihukumiwa kwa ile list kwenye mikutano mwembechai. Leo manji anatetewa na akina zippora na wanasiasa wengine wazinifu wa kisiasa. Ambao siku zote wanaangalia wapi kuna nafas nao wajitokeze.

Mkuu bora umeamua kusema what was needed to be said. Mtu na akili timamu hawezi kumtetea Manji unless kalipwa kumtetea.
Naamini kuna fungu lazima limetoka kumsafisha Manji - jambo ambalo ni la muda tu lakini ukweli uko pale pale
 
Unapoingia kwenye ndoa maana yake umejikabidhi kwa mume na mke huyo husika. Unahalalishiwa tendo la ndoa. Linakuwa halali na kesho tukikuona una au mkeo ana mimba tunakupongeza.

Kinyume chake kama hujalalalishiwa mke au mume ukafanya naye tendo la ndoa unakuwa umezini. Na kama umeoa au kuolewa na ukatoka nje ya ndoa unakuwa mzinifu pia.

Nashangaa Leo kuna watu wanamtetea yusufu manji. Huyu ambaye awamu iliyopita alionekana ni
Mmoja ya mafisadi kwa kupewa tenda nying zenye maswal. Huyu ndo alinunua jengo la quality plaza kwa bei ya chini aka repair kwa rangi na kuja kuliuza kwa bei kubwa sana nssf. Na kisha kuja kukaa bure.suala la manji kuhusishwa na madawa halikuanza leo.

Lakin kwa kuwa amekamatwa magufuli na makonda ambao hatuwapend basi adui wa adui yako ni rafiki yako.

Watu wameshasahau na ufisadi uliokuwa ufanyike coco beach. Wamesahau ekali nyingi za kiwanja huko bagamoyo ambacho alipoona mambo mazito akaamua kukigawa kwa yanga. Nao kwa kutokufikiria sana wakashangilia sana.kumbe mwenzao alishaona ni chamoto.leo wanasiasa wazinifu wa kisiasa wanamtetea manji?

Hawa wanapata wapi ujasiri huu wa kishetani? Katika hili ni bora nijitoe upinzani. Hawa wapinzani si ndo walipita nchi nzima kusema edward lowassa ni fisadi bila kumpa nafasi baba ya watu kujitetea?

List ya mwembechai si ilitangazwa nchi nzima watu walihukumiwa kwa ile list kwenye mikutano mwembechai. Leo manji anatetewa na akina zippora na wanasiasa wengine wazinifu wa kisiasa. Ambao siku zote wanaangalia wapi kuna nafas nao wajitokeze.
Hujaeleweka. alichoitiwa kwa makonda ni dawa za kulevya, hayo mengine yalikuwa na muda wake wa kuhangaikiwa. Hii nchi haikupata uhuru leo, hatutaki tuamini waliotangulia wote walikuwa ni wahuni tu wasiojua lolote
 
Back
Top Bottom