Recent content by DEGESWASWA

  1. DEGESWASWA

    Naomba mwenye History Form '3' Scheme of Work anisaidie

    Mambo n vp wadau wa "JF" Thumuni la uzi ni kuomba msaada toka kwenu kwa mwl yeyote mwenye scheme of work form 3 naomba anisaidie Natanguliza shukrani [emoji120]
  2. DEGESWASWA

    Nina wazo la kutengeneza App

    Vyema ukasoma vitabu vinavyo elekeza jinsi ya kumiliki wazo lako la kibiashara,anzia hapo kwanza then kila kitu kitakuwa clear Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
  3. DEGESWASWA

    Nahisi ugonjwa wa moyo unaniwinda baada ya kuachwa na mwanaume aliyenizalisha

    Pole my Sister...... Mbona simple sana hilo jambo lako Fanya mambo haya 1: Meditation 2:Yoga 3:Read personal development books 4:workout(Physical exercise) 5:Spend your alone time on Nature like Beach,Forest...... 6: positive words Affirmation ANZA LEO NA MAISHA YAKO YATABADILIKA For...
  4. DEGESWASWA

    Umesoma vitabu gani mwaka 2020?

    Kila kitabu hapa nimesoma zaidi ya Mara 5 1:The monk who sold his Ferrari by Robiin Sharma 2:48 laws of power by Robert Greene 3:Jab,Jab,Jab,Right hook by Gary Vaynerchuk 4:The Baron letter by Gary C Halbert 5:A perfect guide for personally development by David Allen 6: Think & Grow...
  5. DEGESWASWA

    Mwanamke kutokwa na mkojo wakati wa tendo la ndoa

    Nakubali sana[emoji23][emoji23]
  6. DEGESWASWA

    Confusion

    "Santa" he loss weight, congratulations [emoji23]
  7. DEGESWASWA

    Mapenzi haya tuyasikie kwa watu tu. Wanawake wa kihaya mmenishinda tabia naapa sitokaa nihusiane na binti kutoka hii pande

    Note:Usihusishe Hip hop na tabia binafsi Nini maana ya hii semi,si wanawake wote wa kihaya wote wanatabia chafu kama za huyo mwanamke wako hiyo ni hulka yake tu kwani wapo jamaa zangu wawili "wameoa" wanawake wa kibila hilo na wanaendelea vizuri sana ktk maisha yao ya ndoa takribani miaka...
  8. DEGESWASWA

    Tukutane hapa wapenda ujasiriamali

    Sauti yako iko sawa kabisa [emoji1690]
  9. DEGESWASWA

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Mm natafuta wimbo wa Gethoambassodor......"MTANGANYIKA🎶
  10. DEGESWASWA

    Ni sahihi mke kukaribisha ndugu zake nyumbani bila kushirikisha mume?

    HAPANA HAPANA HAPANA HAPANA HAPANA Naomba kuwakilisha kama Mwanaume nisiyependa dharau Sent using Jamii Forums mobile app
  11. DEGESWASWA

    MSAADA KWA COMBINATION YA HGE

    Sometimes wanachukuaga matokeo hata ya o level ya B/math sasa chunga Sana kutaka kusoma course zenye kuhitaji matokeo ya hesabu either ya o level or Advance ikiwa o level uko na "F" kupata "S" ya B/Math A level sio kitu kidogo ndugu yangu sababu ni nyembamba sana kwanza hilo somo ni subsidiary...
  12. DEGESWASWA

    Soma hii kwa tafakuri

    Bro hii issue imekuwa Ni debate ambayo haiwezi kuisha kamwe kwani hata hao walio soma pia na kufika vidato vya juu wengi wao wamegeuka kuwa watuma kwa whites baada ya kutengenezewa mfumo ambao huwezi ona kwa tafakuri za ndotoni Kuna muda huwa naonaga mtu ukipata maarafa na ukayaamini kuwa ni...
  13. DEGESWASWA

    Wema aachiwa, akamatwa tena, azua kizaa zaa mahakamani

    Bwana kimiminika nae in the house [emoji23][emoji23]
  14. DEGESWASWA

    Picha bora kwa mwaka wa 2019 kutoka Afrika

    Hii ni jamii ya kabila moja linalopatika ktk Jangwa la Namib lenye sifa kuu moja ya kukaribisha mgeni kwa kufanya nae mpanzi I meen wakitembelewa na mgeni muhimu basi mgeni huyo huchaguliwa binti ambaye ata mpa raha kama heshima ya ujio wake Kama ilivyo kwa makabila mengi ya kitanzania mgeni...
Back
Top Bottom