Pisi kali
JF-Expert Member
- Dec 31, 2019
- 1,215
- 2,418
Hello wapendwa
Wale tunaopenda kujiajiri inatuhusu hii
Ideas tofauti
Kama hauna mtaji
Unaweza kwenda kkoo ukachukua vitu kwenye maduka ya jumla ukapanga kwenye barabara then unapeleka hela ya bidhaa au kama hakijachukuliwa unarudisha, ili uaminiwe unaacha simu yako (sio maduka yote wanakubali) let say vibanio vya mapazia maua ya kupamba (ukizingatia ni msimu wa sikukuu) jumla unakuta vibanio vya mapazia 3,500 dukani reja wanauza 10,000 wewe unauza 8,000 kwa 9,000 unachukua faida yako unapeleka hela yao dukani ya bidhaa husika
Nyingine
Unaweza kwenda kwenye maduka ya jumla ukapiga picha labda vyombo vya kisasa ukavipost kwenye social media (status/ig) mteja akikuagiza unamwambia atoe kwanza advance then ukimpelekea anamalizia ile advance yake ndio unaenda kununulia
Letsay vikombe vya udongo vizuri vya kisasa vinauzwa dozen 22,000 hadi 14,000 wewe unaongeza 44,000 au hata 40,000
Nyingine
Kushonesha mapazia mashuka foronya
Vitambaa vya mapazia quality 11,000 hadi 10,000
Pazia la mita 2-5
Full
Unachukua mita 4 nzito au mita 3 unashonesha yanatoka mawili
Nyepesi nzuri bei 8,000 unakata mita 2 (16,000)
Ufundi pazia moja 2,000 kwa 3,000 kuweka urembo inategemea na unaouhitaji kuna wa 2,00@each/300 kwa 5,00
Kuuza unamuuzia mtu set kuanzia 85,000 to 150,000 tena ukitaka hela zaidi unatengenezA na curtains so dirisha moja unauza 250,000 (unachukua picha kweenye mitandao unapost
Foronya mita 6,000 kwa 10,000
Mita moja inaweza kutoa foronya hadi 10 it depends na size ya mito
Foronya za mito midogo kushona 1,000@each mito mikubwa 1,500 kwa 2,000 zipu 200 tu
Mashuka mita 5000/6,000 kwa 10,000
Shuka unakata mita 3 shuka linachukua mita 2 na foronya mbili kwenye mita moja
Kushona huko huko kkoo 2,000 kwa 3,000
Jumla kwenye 20,000
Wewe unauza 35,000
Nyingine
Kkoo kwenye maduka ya jumla ya lotions nywele (yanakopark daladala za mabibo manzese, opposite na msimbazi polisi) unaenda saa10 alfajir kuna watu wanakua hapo kila siku wanauza bidhaa kwa jumla, lotion ambazo zinazouzwa 15,000 unapata kwa 5,000 tu dawa za nywele, closures, nywele og na fake, muhimu kuwahi huo muda na uwe umechangamka
Nyingine
Tafuta 50,000 au 100,000
Nenda karume alfajiri kunakuwa na mnada wa nguo za mabalo wanazofungua, lengesha macho yako vizuri
Unaweza kupata jeans kali zimesimama kwa 3,000/5,000 nguo nzuri hadi buku tu tena zingine mpya
Mapochi mazuriiii 5,000 la 10,000 quality kabisaa hilo
Ukishapata mzigo wako unazipost kwenye social media mteja akihitaji unampelekea, au unapanga barabarani ushuru 2,000 tu au tafuta kitambulisho
Cha wamachinga 20,000 kwa mwaka
Tafuta sehem yenye watu kama kituo cha daladala, au unazipeleka kwenye minada kama bagamoyo wananunua vitu balaa
Nyingine
Tafuta laki moja
Nenda Tandika vitambaa hadi 1,500 unanunua mita 2 kwa mita 3 unashona na mitandio yake, ufundi ukishona nguo nyingi 3,000 tu au 2,000 unaweza ukatumia 7,000 wewe ukaiuza hiyo nguo kwa 15,000 hadi 20,000 kushona huko huko tandika wanakushonea (madira tu au magauni simple mikono ndio unaweka mbwembwe) kama madela ya kkoo mengi wanashona hayatoki mombasa
Nyingine
Nguo za harusi
Shela na suti, vitambaa manzese bei ni nzuri mnooo
Angalia kwenye mitandao aina tofauti za nguo chukua picha nenda manzese tafuta vitambaa waoneshe wauza maduka wanajua material nzuri na urembo (nakshi nakshi) kama wanaume suti full (suruali sana sana mita 1 au moja na nusu) inaweza ikachukua mita 3 ikizidi 3 na nusu tu kama kibonge 4+
Bei za vitambaa kuna vya 7,000, 14,000 vzr kabisa 20k kwa mita moja, unauza ama unakodisha haswa kuanzia june hivi sherehe nyingi
Pia mashela tengeneza dizaini tofauti hata kumi tu uwe unakodisha na kuuza, shela hadi kukamilika inaweza kukost 70k ikizidi 100k tu
Kitambaa inategemea na quality kuna cha 5,000 hadi 30,000 unamix vitambaa vya kawaida (cotton, hariri, satini) na lesi material
Ili shela lijae (cinderella) wengi wanaweka vitambaa vya neti shela linakua limejimwaga, unaweka urembo kama stones maua ua hivi, wengine wanapenda simple tu
It depends size, material (quality) unakodisha labda laki moja hivi, unazipost kwenye social media huku ukiwa karibu sana na wenye saloon
Wale tunaopenda kujiajiri inatuhusu hii
Ideas tofauti
Kama hauna mtaji
Unaweza kwenda kkoo ukachukua vitu kwenye maduka ya jumla ukapanga kwenye barabara then unapeleka hela ya bidhaa au kama hakijachukuliwa unarudisha, ili uaminiwe unaacha simu yako (sio maduka yote wanakubali) let say vibanio vya mapazia maua ya kupamba (ukizingatia ni msimu wa sikukuu) jumla unakuta vibanio vya mapazia 3,500 dukani reja wanauza 10,000 wewe unauza 8,000 kwa 9,000 unachukua faida yako unapeleka hela yao dukani ya bidhaa husika
Nyingine
Unaweza kwenda kwenye maduka ya jumla ukapiga picha labda vyombo vya kisasa ukavipost kwenye social media (status/ig) mteja akikuagiza unamwambia atoe kwanza advance then ukimpelekea anamalizia ile advance yake ndio unaenda kununulia
Letsay vikombe vya udongo vizuri vya kisasa vinauzwa dozen 22,000 hadi 14,000 wewe unaongeza 44,000 au hata 40,000
Nyingine
Kushonesha mapazia mashuka foronya
Vitambaa vya mapazia quality 11,000 hadi 10,000
Pazia la mita 2-5
Full
Unachukua mita 4 nzito au mita 3 unashonesha yanatoka mawili
Nyepesi nzuri bei 8,000 unakata mita 2 (16,000)
Ufundi pazia moja 2,000 kwa 3,000 kuweka urembo inategemea na unaouhitaji kuna wa 2,00@each/300 kwa 5,00
Kuuza unamuuzia mtu set kuanzia 85,000 to 150,000 tena ukitaka hela zaidi unatengenezA na curtains so dirisha moja unauza 250,000 (unachukua picha kweenye mitandao unapost
Foronya mita 6,000 kwa 10,000
Mita moja inaweza kutoa foronya hadi 10 it depends na size ya mito
Foronya za mito midogo kushona 1,000@each mito mikubwa 1,500 kwa 2,000 zipu 200 tu
Mashuka mita 5000/6,000 kwa 10,000
Shuka unakata mita 3 shuka linachukua mita 2 na foronya mbili kwenye mita moja
Kushona huko huko kkoo 2,000 kwa 3,000
Jumla kwenye 20,000
Wewe unauza 35,000
Nyingine
Kkoo kwenye maduka ya jumla ya lotions nywele (yanakopark daladala za mabibo manzese, opposite na msimbazi polisi) unaenda saa10 alfajir kuna watu wanakua hapo kila siku wanauza bidhaa kwa jumla, lotion ambazo zinazouzwa 15,000 unapata kwa 5,000 tu dawa za nywele, closures, nywele og na fake, muhimu kuwahi huo muda na uwe umechangamka
Nyingine
Tafuta 50,000 au 100,000
Nenda karume alfajiri kunakuwa na mnada wa nguo za mabalo wanazofungua, lengesha macho yako vizuri
Unaweza kupata jeans kali zimesimama kwa 3,000/5,000 nguo nzuri hadi buku tu tena zingine mpya
Mapochi mazuriiii 5,000 la 10,000 quality kabisaa hilo
Ukishapata mzigo wako unazipost kwenye social media mteja akihitaji unampelekea, au unapanga barabarani ushuru 2,000 tu au tafuta kitambulisho
Cha wamachinga 20,000 kwa mwaka
Tafuta sehem yenye watu kama kituo cha daladala, au unazipeleka kwenye minada kama bagamoyo wananunua vitu balaa
Nyingine
Tafuta laki moja
Nenda Tandika vitambaa hadi 1,500 unanunua mita 2 kwa mita 3 unashona na mitandio yake, ufundi ukishona nguo nyingi 3,000 tu au 2,000 unaweza ukatumia 7,000 wewe ukaiuza hiyo nguo kwa 15,000 hadi 20,000 kushona huko huko tandika wanakushonea (madira tu au magauni simple mikono ndio unaweka mbwembwe) kama madela ya kkoo mengi wanashona hayatoki mombasa
Nyingine
Nguo za harusi
Shela na suti, vitambaa manzese bei ni nzuri mnooo
Angalia kwenye mitandao aina tofauti za nguo chukua picha nenda manzese tafuta vitambaa waoneshe wauza maduka wanajua material nzuri na urembo (nakshi nakshi) kama wanaume suti full (suruali sana sana mita 1 au moja na nusu) inaweza ikachukua mita 3 ikizidi 3 na nusu tu kama kibonge 4+
Bei za vitambaa kuna vya 7,000, 14,000 vzr kabisa 20k kwa mita moja, unauza ama unakodisha haswa kuanzia june hivi sherehe nyingi
Pia mashela tengeneza dizaini tofauti hata kumi tu uwe unakodisha na kuuza, shela hadi kukamilika inaweza kukost 70k ikizidi 100k tu
Kitambaa inategemea na quality kuna cha 5,000 hadi 30,000 unamix vitambaa vya kawaida (cotton, hariri, satini) na lesi material
Ili shela lijae (cinderella) wengi wanaweka vitambaa vya neti shela linakua limejimwaga, unaweka urembo kama stones maua ua hivi, wengine wanapenda simple tu
It depends size, material (quality) unakodisha labda laki moja hivi, unazipost kwenye social media huku ukiwa karibu sana na wenye saloon