Tatizo la wanawake ni kua mtu hujaolewa lakin unataka kupata huduma zote zinazo patikana ndan ya package ya ndoa. Unakuta mahusiano yapo kwenye level ambayo hata kutambulishana bado lkn mtu anataka codes zote zilizopo kwenye ndoa.. Upuuz tu acha muendelee kuliwa na kuachwa...
Ndio ndoa zipo hivyo skuiz.. Tusidanganywe... Tafuta mtoto mkali kikubwa muendane... Bro ukioa mwanamke ambae amuendani atakuboa tu.. We sio mtu wa ibada.. Mwenzako mtu wa ibada.. Akikwambia mkasali utaona miyeyusho tu atakua anakuboa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uelewa wangu upo hivi... Watu wanao onyesha hizi tabia ni wale ambao aidha ndo anaanza kupata pesa... Au karithi yaan kupata mali za mkupuo bila kutokwa jasho... Ila kwa wale ambao pesa zao sio za shortcut alipambana kupata noti moja hadi nyingine hadi kujijenga kupata pesa nyingi hawa watu hua...
Not everythng is for u.. Guess u shud teach ur mind to see those which are for u.. Vinginevyo utaumia na mambo mengi sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukifika wakat wa kuoa... Utaskia mwanamke sio urembo ni tabia.. Hii kauli me kwangu ipo tofauti kidogo.. Hata kama mwanamke anatabia nzuri vipi.. Kama hajakuvutia usioe.. Baada ya kuvutiwa ndio anza kuangalia tabia.. Wakat mwingine anae poteza ham na mwenzake ni mwanaume.. Huez piga mzigo kama...
Kuna namna hii nataka nikujibu mkuu.. Ww una iman kua Mungu hayupo.. Eleza points zako zinazopelekea kuamini mungu hayupo alaf mm ntakua nakujibu kwa hoja kulingana na tatizo lako.. Yaan ntakua nafanya kaz ya ku prove wrong.. Badala ya kuleta maelezo kede kede kuhusu uwepo wake... Nadhan...
Mungu yupo fair... Hukum zake si kama za binadam kua kutojua sheria sio sababu ya kuvunja sheria.. Utahukumiwa accordingly... Na hukum ya kwel ni yake Mungu maana kila kitu kipo wazi.. Huta hukumiwa kwa kitu usijo kijua.. Kwetu sisi waislam ukifanya kosa bila kujua kama ni kosa si dhambi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.