rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 22,164
- 43,859
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Amelinganisha na wa kwake akahitimisha kuwa yeye ni mvulana

















jamii forum kuna vichaa aisee![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Amelinganisha na wa kwake akahitimisha kuwa yeye ni mvulana

















jamii forum kuna vichaa aiseeVtu vingine mnavyovitetea muwe mnaangalia jamani mtakuja pigwa bureeeeee watu wana hasira ati unasema anamtamanisha? Tena mke mtarajiwa wa mtu umtumie mwanaume mwengne utupu wko kweli? HaaaaaaaaaaaaaaahaaaaaaaaaaaaaaaaHuu si ushauri wa kufaa kabisa. Kama tiyari kesha achana naye, nadhani sasa atakuwa mwaminifu zaidi kwa huyu wa sasa. Kutumiana picha tu, tena za viuchi vyao kama vilivyo tu wala si zana zikiwa kazini nadhani anamtamanisha tu kuwa; Umezira chitamutamu, sasa kuna mwenee
Haaaaaahaaaaaa utamuua jamaa na presha!Alafu hapo mbaya zaidi ukute huo mtulinga wa jamaa aliomtumia mpenzi wako ni mkubwa kuliko wako ndio hapo siku utaiona ni mwaka...
Vtu vingine mnavyovitetea muwe mnaangalia jamani mtakuja pigwa bureeeeee watu wana hasira ati unasema anamtamanisha? Tena mke mtarajiwa wa mtu umtumie mwanaume mwengne utupu wko kweli? Haaaaaaaaaaaaaaahaaaaaaaaaaaaaaaa
Kwenye soccer 31 tunawaita wazee yeye anajiona mvulana.Ila nawe 31yrs halafu mvulana unatuangusha mzee.
Wewe mwanaume banah.
Miaka 31 unajiita mvulana?? Ngoja tu atume uchi wake aseee sio kwa mvulana weweSalaam wanabodi,,,
Mimi ni mvulana mwenye umri wa miaka 31 niko kwenye mahusiano na mdada flani huu ni mwaka na miezi 4 na nilipanga mwezi wa 7 nipeleke posa nimuoe,,!!! Tatizo huwa hatukai pamoja tuko mikoa tofauti hivyo mara kwa mara yeye huwa anakuja kila akipata nafasi'' wiki 2 zilizopita alikuja kwangu kwa bahati mbay niliomba simu yake kuna kitu nilikuwa naangalia "Lahaullah" sikuamini nilichokiona. ,,nimekuta kuna jamaa wanatumiana picha za utupu,,yaani yy anatuma uchi wake na yy anatumiwa mtulinga wa jamaa!! Nashukuru sikufanya chochote kibaya zaidi ya kumpa nauli arudi alikotoka!! Napata wakati mgumu sana wandug
We waache tu yaani mm dalili naziona kabsaaaaa litakuja kufa toto la mtu cku moja hmu!Mtamuua mtu Siku moja humu
Wacha weeeeeMbona anaenda kuuonesha kwa dakitari endapo umechelewa kumpa mimba?? Kama hutaki uonwe na mwanamume mwingine, hama sayari hii.
Lipi bora, Ex wake azidi kukodolea macho au mtu mgeni?? Kuona ndizi iliyoiva sio kuila
Usisahau hili mkuuNitakachomfanyia hatakuja kuamini
Acha ushamba weweNitakachomfanyia hatakuja kuamini
Hahah!!Haaaaaahaaaaaa utamuua jamaa na presha!
Pole mkuu... Ila ndo ivyoo....unakuta kunamtu alikupeda ukamuona boya, mpuuzaa au ulimtenda sasa hayo ndo machozi ya yule mtu.... Mungu anajia nyingi mmoo. Jipange upya tena.Kweli dada,,, kinaniumiza zaidi muda niliopoteza kwake
Kwa umri huo wewe sio mvulana....