Recent content by dedudu

  1. D

    Ni rasmi sasa sakata la mchanga litatugharimu

    mtu anajaribu kuwasaidia mn m discourg tena? mm wa tanzania nimeshindwaga kuwaelewa kabisa hakunaga jema kwenu hata moja? tuache siasa kwny kila kitu itatugharim sana atlist tumpe moyo mana akipita kwny miaka ijayo mwanao au mjukuu atakula mema ya nchi. ivi c ndo sisi watanzania tunao lalamika...
  2. D

    Chenge,Werema: Tume imedanganya kiasi kilichopo kwenye mchanga, wajivua lawama

    hatakama hawaibi kwa kiwango icho ila c wanaiba? we should be serious bana
  3. D

    Toyota Prado Ipi Bora?

    half cylinder ya kerosene ni bomba zaidi. hata service yake ni gricelyne tu kopo 1 unatembeakm 1000000
  4. D

    Toyota Prado Ipi Bora?

    matumizi ya petrol au diesel
  5. D

    Mheshimiwa rais, umechuma janga. Gwajima sio DUDE ila George H.W. Bush ni DUDE

    je kama watu wakubwa wanamiliki ndo wafanye upuuzi tu kwa kuwa ulikua unafanyika toka ckunyng? mbona chi zao nyie hata mkiacha mke unakua deoorted? wa tz tuwe wazalendo sometimes msipende matumbo yenu tu. mtu anapofanya jambo jema mpe big up.
  6. D

    ACACIA Mining PLC: We do not agree with President Magufuli Committee's findings...

    yes. hatakama but atlist we have tried sio wanaiba tu kijings
  7. D

    ARUSHA: Watu wawili wafariki kwa kuchomwa moto bila nyumba kuungua

    we umeiona iyo pisi yenyewe au una bonga tu. mi nishailga enzi izo ma school secondari kitu cha arusha meru inakatika balaa inatoa paka donati cku inanipiga chini nili lia kinyama nikali arifuu.
  8. D

    Ukikatazwa usitembee na mpenzi wa lecturer/mwalimu wako uwe unaelewa.

    yan kitendo cha yy kukaa apo tu jamaa kaingiza upepo hata kama anajua kitu kina yeyuka
  9. D

    Taja kazi moja ya huu mmea

    kufugia dread
  10. D

    Jeshi la Polisi lataja wahusika wa mauaji Kibiti mkoa wa Pwani

    kingereza chenyewe cha google translater mkuu
  11. D

    Mafundi simu wa upande wa hardware naomba tukutane hapa

    hapa cjaelewa file iki corrupt inaltaje short circuit? hapo afatilie tu mkanda wa display no isue ya bord kwanza ungemuuliza kama akitumia external monitor inafanya kazi
  12. D

    Mafundi simu wa upande wa hardware naomba tukutane hapa

    soma google and youtube kozi
  13. D

    Jeshi la Polisi lataja wahusika wa mauaji Kibiti mkoa wa Pwani

    ni bora kuwatangaza mana hawaja washika na bado wanaua watu. wakitangazwa itasaidia mauaji kupungua
Back
Top Bottom