NGOGO CHINAVACH
JF-Expert Member
- Apr 8, 2011
- 943
- 368
Nimekusoma chief je kuna ambayo ni 6 cylinder lakini cc2700 kwa prado?zote izo ni four cylinders..petrol engines.....
Nimekusoma chief je kuna ambayo ni 6 cylinder lakini cc2700 kwa prado?zote izo ni four cylinders..petrol engines.....
matumizi ya petrol au dieselUtalitumia kwa matumizi gani? Mji gani? Etc
Mkuu vipi j120Tindikali diesel zake zina 4cylinder mbna hata kwa toleo la nne kuna injini moja kali sana ni 1GD FTV ni silinda nne na 177hp ni nyingi sana
shida si namba of cylinder shida ni output
kwa ww si ajabu ungechagua 1HD-FTE cruiser 4.2L 6cly with 164hp ukaacha prado j150 2.8L 4cly 177hp kisa idadi ya cylinder kumbe mashine ni hiyo prado
Engine peke yake inapatikana hapa bongo ? Bei ?hata j120 nzuri kwa wapenda diesel kuna 1KD FTV mafuta kunusa na 173hp
chukua RZJ120 ambazo ni four cylinder kama unaangalia maintenanceWakuu heri ya Mwaka Mpya!
Ninaomba ushauri wa kitaalam na uzoefu. Ninataka niagize Toyota Prado - Third generation (toleo la tatu), yaani hizi J120 series zilizotoka kati ya mwaka 2002 hadi 2009.
Ipi ni bora zaidi? Nimeweka baadhi ya matoleo na engine zake hapa chini.
TRJ120W 2,690cc (2TR)
RZJ125W 2,690cc (3RZ)
VZJ125W 3,370cc (5VZ)
VZJ120W 3,370cc (5VZ)
GRJ120W 3,950cc (1GR)
GRJ121W 3,950cc (1GR)
Shukrani
View attachment 454947
Ila zinaharibika haraka izo ford zako unaweza liaSijawahi kupenda prado.....
Ford ni nzuri....ipo vizuri kwa road....ulaji wa mafuta sio kivile....kitu everest
Hakuna gari isiyoharibika...Ila zinaharibika haraka izo ford zako unaweza lia
mkuu usipotoshe watu, 90% ya prado unazoziona mtaani zina 4 cylinders....,engine pekee yenye six cylinder kwaajili ya prado ni VZ series..hasa 5VZ. ....izo TR engine series, RZ series, 1kz, 5l, 3L zote ni 4 cylinder....iwe ya diesel au petrol. ....prado its a light landcruiser, haina nguvu kama mkonga inayotumia 1HZ. ni cruiser kwaajili ya matumizi ya kawaida tu. safari za hapa na pale na sio kwendea porini. na huwa inaingiana sana engine na toyota hilux
Nmekusoma mkuumi nakushauri nunua magari haya yafuatayo..
1. starlet
2. passo
3. Kirikuu kama unataka na kubebea matikiti shambani.
ayi ma prado hayana dili kabisa, gari gani ukitaja hadi damu inasisimuka?
Well said.... Kingine ambacho wengi hawajua,kimsingi Prado sio land cruiser,Gari hizi zimetoholewa kutoka kwenye platform ya Toyota Surfmkuu usipotoshe watu, 90% ya prado unazoziona mtaani zina 4 cylinders....,engine pekee yenye six cylinder kwaajili ya prado ni VZ series..hasa 5VZ. ....izo TR engine series, RZ series, 1kz, 5l, 3L zote ni 4 cylinder....iwe ya diesel au petrol. ....prado its a light landcruiser, haina nguvu kama mkonga inayotumia 1HZ. ni cruiser kwaajili ya matumizi ya kawaida tu. safari za hapa na pale na sio kwendea porini. na huwa inaingiana sana engine na toyota hilux
Pia zinaingiliana na Toyota surf na Hiace custom 1kz temkuu usipotoshe watu, 90% ya prado unazoziona mtaani zina 4 cylinders....,engine pekee yenye six cylinder kwaajili ya prado ni VZ series..hasa 5VZ. ....izo TR engine series, RZ series, 1kz, 5l, 3L zote ni 4 cylinder....iwe ya diesel au petrol. ....prado its a light landcruiser, haina nguvu kama mkonga inayotumia 1HZ. ni cruiser kwaajili ya matumizi ya kawaida tu. safari za hapa na pale na sio kwendea porini. na huwa inaingiana sana engine na toyota hilux
Kweli kabisa, hata chassis yake ni ya Toyota surf.Well said.... Kingine ambacho wengi hawajua,kimsingi Prado sio land cruiser,Gari hizi zimetoholewa kutoka kwenye platform ya Toyota Surf
Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app