Anaesema hakuna MUNGU anatamba kwasababu ni nzima wa afya huyo, tusubiri aumwe alafu tutajifunza kitu kutoka kwake [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Kuna jamaa wanamuita IWOBI anaishi Toangoma Kigamboni anaweka.. kiukweli hao jamaa wengine sijui huwezo wao ila uyo mwamba IWOBI, cjui niiwekaje ktk kumsifia coz kila neno naona kama halitoshi. Ila itoshe kusema kwamba "HAKUNA"
.
South Africa ni kama Marekani ya Africa ndo mana kila Muafrica anataka akimbilie pale, na kinacho skitisha zaidi 100% ya wahamiaji 5% ndo wana kazi sahihi.. hawa wengine wanataka wakoke droo na wale local ambao wanaishi kule
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.