Recent content by Deco de sousa

  1. D

    Je, Mungu aliumba ulimwengu akiwa wapi?

    Anaesema hakuna MUNGU anatamba kwasababu ni nzima wa afya huyo, tusubiri aumwe alafu tutajifunza kitu kutoka kwake [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
  2. D

    Biashara yangu imefilisika mtaji kutoka milioni 50 hadi 15. Nifanye nini?

    Au imeongezeka kutoka milioni 15 hadi 50 unatuchora tu!
  3. D

    Kwa bahati mbaya mke ameshika ujauzito tena

    Duh! Mwanangu.. humuogopi hata Mwenyezi Mungu. Tena una-insist kabisa, we ndio unaotoa risky.. usiingiize kwenye madhambi ambayo hayakuhusu.
  4. D

    Mashindano ya Drafti kitaifa

    Kuna jamaa wanamuita IWOBI anaishi Toangoma Kigamboni anaweka.. kiukweli hao jamaa wengine sijui huwezo wao ila uyo mwamba IWOBI, cjui niiwekaje ktk kumsifia coz kila neno naona kama halitoshi. Ila itoshe kusema kwamba "HAKUNA" .
  5. D

    Mbinu za utajiri ni ubahili, bila kuwa bahili sahau utajiri. Faida yake naiona

    Unakuwa bahili mpaka unaibahiria nafsi yako na watu unaoishi nao pia unawabahilia, sio kweli..
  6. D

    Nilivyokwenda Afrika Kusini bila kuwa na Ndugu wala Rafiki kule

    South Africa ni kama Marekani ya Africa ndo mana kila Muafrica anataka akimbilie pale, na kinacho skitisha zaidi 100% ya wahamiaji 5% ndo wana kazi sahihi.. hawa wengine wanataka wakoke droo na wale local ambao wanaishi kule
  7. D

    Nilivyokwenda Afrika Kusini bila kuwa na Ndugu wala Rafiki kule

    Mleta story kama unataka TAKRIMA, sio dhambi sema tukuchangie.. kuliko kutungojesha mpaka tujiongeze wenyewe UNAZINGUA!
Back
Top Bottom