Recent content by debuli

  1. D

    Wafanyakazi Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii wafungiwa nje

    Mh. Suala la foleni kaliongeleaje, au watu watoke makwao 10 alfajiri na kurudi 2 usiku?!
  2. D

    Wazanzibar watajwa Wizara ya Fedha, Elimu

    "Rafudhi" unamaanisha nini?
  3. D

    Darasa kwa Kubenea na Wabunge wengine

    Soma Uzi wore uuelewe dogo. Usiwe mvivu Wa kusoma Sawa mzee
  4. D

    Darasa kwa Kubenea na Wabunge wengine

    ........... Wakuu Wa wilaya, wakuu Wa mikoa hata ulaya na marekani wapo. wabunge kote duniani siyo viongozi Wa kiutendaji (executive). ........ Hili neno marekani kwani si sawa na USA?!! Au akili yangu inaanza kuzeeka, maana mleta uzi unasema hujasema hicho kitu.
  5. D

    Wameteuliwa kwa sababu waliinadi sera ya Hapa Kazi Tu

    Hajamtosa, kuna wizara 4 bado.
  6. D

    Hon, Dr, Prof. JAKAYA MRISHO KIKWETE

    Apumzike wapi wakati tangu aachie madaraka kashagonga km safari tatu iv!!!
  7. D

    Usajili wa Majwega Simba S.C: Wathibitisha Undugu wake na Azam F.C

    Mifano uliotoa ni ya timu 2 za nchi 2 tofauti, lakini simba na azam zote za bongo.
  8. D

    Mapendekezo ya wananchi: Muundo wa Baraza la Mawaziri kwa Serikali ya Awamu ya Tano

    Huhuhu... Na huku akirusha mikono utamsikia, "kwa maslahi mappana ya nchi hii"
  9. D

    hii itakua nchi gani

    Hapa kulipa ni hiari
  10. D

    Umewahi kupitishwa kwenye huu moto?

    Dah! Long time kitambo! Nashika mswaki km saa kasorobo iv. Mamkubwa akija ni makwaju na kwenda mbele. Oh! Dear mama.
  11. D

    Hata Brazil walifungwa 7 na Germany

    Hakuna tatizo apo, Tanzania na Timor baba mmoja mama mmoja
Back
Top Bottom