lukesam
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 13,199
- 28,080
niletee dadako, akirudi atakujibu.
Atanijibu nini zaidi ya kusema amekutana na "jidadapoa"
niletee dadako, akirudi atakujibu.
Huyu mzee bhanaa namuusudu sana he is special one
Kwa haya ninayoyaona kwa Hapa Kazi tu,namkubali sana Mnyika!
mzee wa kucheka cheka,hua najiuliza au ni yeye alieandika yale mashairi ya cheka cheka nini
maaamaaaeeeeeee kumbe vaco kitambo sana yupo kwenye game la safari?
anapumzika baada yakustaafu
mzee wa kucheka cheka,hua najiuliza au ni yeye alieandika yale mashairi ya cheka cheka nini