Kuna mtu nataka nimroge tena huyu namchanganyia quote ya kaburi la mtoto mchanga naenda kuifanyia kigoma, ya kisomo naenda kilwa na nyingine nitnafanyia tanga yaani nachanganya mizim na majini mshenzi yule aonje maumivu maana anajifanya hasikii
Ni vile nakutana na waganga feri nikipata mganga Og huyu baba natoka akamkumbuka hugo mwanamke maana kanitelekezea watoto hadi anawaita takataka kisa huyo mwanamke walah natafuta mganga
Mie nimewahi kuvunja yai njiapanda sema sasa sikujua kama ni njia panda sahihi au lah maana baadae sana baada ya kuvunja yai ndo nikaja kusikia kua kuna njia panda dume na jike na zina kazi tofauti
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.