Asee wahanga poleni sana kwa kweli.....
Kweli cc wababa wa baadae tujpange na wake zetu tuone hii changamoto tunaikabili VP...
Ahsanten kwa kufunguka..wenye stories pia wekeni...we learn a lot from you
#thanksJF
Wakuu , nnaitaji kununua camera from eBay, sasa naulizia ikifika kwa njia ya posta.. Nackia kuna kulipia kodi,
Je, kwa makadirio kodi utakua kiasi gani, bei ya camera ni $300....laki sita naa..
Msaada jaman wataalam Mwalimu Rct na wengine...
THANKS
SI KWELI...kumiliki blog sio biashara
Kumiliki successful blog, yenye traffic ya kutosha na matangazo... Hii ndio biashara
Au ww unadhani kuwa na blog tu ndo unaprint hela??....
Yan nlipanga kuleta huu Uzi hapa, umeniwah mkuu !!
Hivi hawa watu mbona wanakurupuka hivyo??...AF wapo narrow minded kinoma...wanafikiri kila mwenye blog au online content maker...anapinga serikali au anafanya uchochezi (BIG NOOO)
Hawaangalii kuwa blogs zpo ktk sekta zote za maisha apart from...
Guys habari zenu,..
Naanzisha CMS based website soon, sasa naombeni ushauri juu ya domain na hosting
Kuna kampuni za kitanzania nimeona zinadeal na haya mambo, je zpo secured??.... Na VP speed ya site kuload na other related stuffs
AU it's better kuwatumia WordPress plus bluehost au host...
Je, wewe ni mwandishi wa habari??
Umesomea tasnia hiyo?...na hata kama hujasomea lakini unao UWEZO wa kuandika habari 2 kwa siku,
Yes, habari 2 kwa siku ktk sekta mbalimbali kama vile habari za kitaifa, kimataifa, michezo, burudani na sekta zingine kama biashara, teknolojia , mahusiano n.k...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.