KAMPUNI ya Vodacom Tanzania Limited, hiki mnachokifanya ni wizi na unyang'anyi kama ulivyo ukabaji, kuvunja nyumba ya mtu na kumuibia au kumpora Mali yake kwa nguvu na hata kumjeruhi au kumuua. Kinachotia hasira na hasara zaidi ni kuona TCRA wanajua wizi na utapeli huu lakini wakijifanya kutoona...
Habari zenu wakuu
Nina shida kidogo nahitaji msaada wenu..kwa yeyote anefahamu shule za sekondari zilizopo morogoro anisaidie maana tunatafuta shule za kufanyia TP...Kama pia kuna mawasiliano yoyote asisite kuweka hapa ili niweze kuwasiliana na Mkuu wa hizo shule
Asanten
[emoji113]Nategemea DC PAUL MAKONDA atamshtaki Bishop GWAJIMA mahakamani kwa kosa la kumdharirisha.
[emoji113]Nategemea JESHI LA POLISI litamkamata na kumhoji Bishop GWAJIMA kwa kumchafua MTUKUFU DC PAUL MAKONDA.
[emoji113]Nategemea Waziri wa Elimu Prof JOYCE NDALICHAKO atajitokeza hadharani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.