Ndugu Mwandishi Unawadhimu, Bila Shaka Umetumwa/ Uyu mtoto wa Salumu, Kwenye 18 Ashafumwa/mill 3 tu Ataki Anywe Sumu/ Mbaka 24 Ndo Anatemwa/Eti Wanapanga Kutuhujumu, si Quba Ndo Tulisoma/ Zitabaki Kuwa fununu, Dg msamaha Ashatuomba/ Wanajangwani tukomae umumu, Na tripu ii 🏆 yote tunayakomba.😂😂