Recent content by Daz denny

  1. Daz denny

    Uhaba wa Balimi Morogoro

    Vidude gan mkuu!
  2. Daz denny

    Uhaba wa Balimi Morogoro

    Aiseh! Kwel dunia uwanja wa fujo! Zaman ukiagiza castle light,safar, na serengeti unaonekana masikin! Henken ilikuwa bia ya midle level@ now balimi imekuwa almasi! Balimi mkomboz wa wanyonge
  3. Daz denny

    Bar nyingi zipo empty

    Duu mkuu una roho ngumu watu wanakutolea macho Umekauka! Hata mimi nipo nyumban nachek series kikubwa maisha yaende!
  4. Daz denny

    Askofu Kilaini: Hata sisi tunahofia kutekwa

    Labda wavamie kuchukua hela za mgao wa hescrooww
  5. Daz denny

    Wataalam wa bajeti za ndoa njooni hapa

    Hongera sana mkuu tukiongezeka watu wenye philosopher kama hii tutavuka haraka kwenda kwenye uchumi wa kati!
  6. Daz denny

    Madem kuweni na huruma basi vingine lipeni bili basi....

    Mkuu unakosea mi huwa namwita geto nachokifanya ni kununua viitu mfano samaki kilo 5,mguu wa mbuzi, mazagazaka nalipia na dstv pamoja na grand malt 3 napiga mzigo napikiwa,nafuliwa, na usafi juu siku ya kuondoka nampa buku ten! Nakuwaa nimesevu gharama kubwa sana! Kamwe siwez kumpeka demu guest...
  7. Daz denny

    Rais Magufuli uwe kiunganishi taasisi za umma na binafsi sio kejeli kila siku.

    kwa kiasi fulani imeiturudisha nyuma wamezalisha wataalam ambao wameishia kufanya paper work
  8. Daz denny

    Kwa mpango huu shule binafsi zianze kufugia kuku madarasa

    Kiama kwa vyuo binafsi! Kimeanza hata ujenzi wa reli utaondoka na wamiliki wa mabasi na malori!
  9. Daz denny

    Rais Magufuli azindua Hostel UDSM; TCU dhibiti lakini Wanafunzi wawe na haki ya kuchagua vyuo

    Vyuo binafsi sasa vinatakiwa kujiongeza hayawi hayawi yametimia!
Back
Top Bottom